Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari, Nina shahada ya uhasibu na fedha 2022. Natafuta sehemu ya kujitolea, mkoani Mwanza.
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Habai, Natafuta dada wa kazi pande za Dar es Salam awe na sifa zifuatazo 1: Anajua kupika common food chapati,maandazi wali mboga,pilau vyengine atajifunza 2: Awe anajua usafi kufua ,kusafisha...
5 Reactions
71 Replies
3K Views
Habari wana JF! Natamani kufanya kazi kwenye private company au NGOs. Nina BSC. STATISTICS. Nimezitafuta sizipati. I work under minimum supervision.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za muda huu wadau, kama unahitaji kazi kuna kampuni inataka wafanyakazi, au kuna ajira zimetoka tufahamishane.
4 Reactions
47 Replies
6K Views
Wana jf habari za siku nyingi kidogo, umri nimiaka 29 kabila mchaga najua ili jukwaa Sio mahali kwake lakini nimelitumia Kwa sababu linawatu wengi sana wanaoenda kulitembelea. Ombi langu kwenu...
4 Reactions
9 Replies
685 Views
. Kunamtu ameomb nitume tangazo anaomba Bhaji ya mkataba
5 Reactions
9 Replies
908 Views
Ndugu ni matumaini yangu ni wazima. Kwa majina, naitwa KELVIN GODFREY, jinsia ni mwanaume wa miaka 25. Ni mhitimu kozi ya kilimo na mifugo(diploma). Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau hivi ukiwa na degree afu ukaajiriwa serikalini kwa Cheti Cha form four afu degree Yako ikawa haina kitengo kwenye hiyo taasisi unafanyaje?
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nina imani mungu amewabariki uzima na wale ambao afya zao si njema basi Mungu awaponye kwa uwezo wake. Turudi hapa, mimi ni Mhitimu wa shahada ya uchumi wa maendeleo ya jamii...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Habari za uzima wapendwa, Natafuta kijana mzoefu wa kufuga kuku wa nyama na mayai ambae anaweza kujisimamia mwenyewe. Kijana huyu atakuwa meneja wa mradi wa ufugaji wa kuku. Mradi huu ni mpya na...
5 Reactions
15 Replies
4K Views
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imetangaza ajira mpya 135 Cabin Crew 90 (Daraja la 2) Flight Operation Officer 7 (Daraja la 2) Senior Pilot (Captain) 17 First Officer 17 Procurement Officer 4...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za mida hii, napatikana mwanza nina uhitaji na kazi elimu yangu ni kidato cha sita ila sichagui kazi kikubwa iwe tu ya halali. Nina uzoefu na matumizi ya computer. Basic troubleshooting...
2 Reactions
0 Replies
470 Views
Habari jamani, Profile yangu imekamilika 100%. Na vigezo vyote navyo kama bachelor ya uhasibu na CPA lakini nikiapply kazi inanambia Job application failed, check professional requirements for...
1 Reactions
8 Replies
901 Views
Wakuu ni matumaini yangu mnaendelea vizuri. Naomba kuulizia sehemu ambazo mtu aliyemalizia masomo yake kwenye taaluma ya mechanical engineering anaweza kwenda na kupata experiences itakuwa poa...
1 Reactions
1 Replies
478 Views
Hello members, We are experienced and professional Project Managers. We offer services in various areas of project Management. We would like to offer services to an individual, or organization...
0 Reactions
16 Replies
894 Views
Natafuta kampuni au mtu binafsi , permanently, ambae nitafanya nae kazi ya ku Delivery, Documents, au bidhaa yoyote Kwa makubaliano .. Wale ma Agents wa kutoa mizigo bandarini, nipo hapa, Nina...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye jedwari linaloonyesha annua increment ya kila mwaka kwa kada ya ualimu tunaomba atupie hapa tuone kinachoongezeka maana ongezeko la mshahara hapo ni 50% 50%
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Hivi haya maongezeko na madaraja serikali hupandisha mwezi upi? Mara nasikia mwezi wa saba mara mwakani, haya wajuzi wa mambo naomba msaada nimeajiliwa mwaka juzi tu hapa misitu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habarini za leo. Natumaini mnaendelea vyema. Kiufupi ni kwamba nimesoma degree ya education (ualimu) na masters pia ya rural development. Nataka kupata nafasi jeshini na kwa bahati nzuri...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari zenu wadau ,samahani hawa jamaa wa Danida -ubalozi wa Dernmark walitoa tangazo la nafasi ya kazi post ni Accountant ,Naomba kama kuna Mtu ana any feedback aniambie.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom