Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Who We Are Girl Effect builds youth brands and mobile platforms to empower girls to change their lives We’re a creative non-profit empowering girls to change their lives. Started by the Nike...
0 Reactions
1 Replies
592 Views
Nimecheki net tamisemi ajira za walimu nimekuta hi statement au ujumbe huu user account locked. Mwaka huu hawajaongeza siku.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Mwezi huu tangazo la nafasi za kazi lilitolewa na dirisha kufungiliwa. Nilichangamkia. Lakini Leo wakati tukielekea mwishoni mwa zoezi nimetembelea account yangu. Shule yenye ushindani mkubwa tupo...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni udaktari Kilimo na uvuvi Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi...
26 Reactions
81 Replies
6K Views
Habari wakuu! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja, hivi kweli wizara kubwa nchini ambayo inashughulika na maslai ya watumishi nchi nzima inakuwa na ufanisi mbovu kiasi hichi? tunashida lakini...
1 Reactions
4 Replies
393 Views
Je, kupitia hii taaluma ya Kiswahili na kingereza, nawezaje Kupata Kipato? Hasa Kupata Kipato kupitia lugha yetu ya Kiswahili. Najua ntapata msaada hapa JF panapo Majaliwa.
1 Reactions
4 Replies
560 Views
Kwa muda wa siku tatu kuapload profile picture tu imekua ngumu, wanasema ishu ni mtandao, nimeamka saa 7 usiku kuapload, imekua ngumu pia.
0 Reactions
10 Replies
845 Views
MHE. EZRA CHIWELESA - AJIRA 21,200 KILA HALMASHAURI INAWEZA KUPATA WATUMISHI WAPYA 115 KAMA ZIGAWIWE KWA USAWA Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mhe. Eng. Ezra Chiwelesa ameunga mkono hoja na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wana jamii Naitwa Oliver Prosper Elimu kidato cha 6 (St. Anthony) Umri 30 Wanajamii mimi binti ambaye ni yatima tokea baba yangu afariki maisha yamekuwa magumu sana Nawaomba mwenye...
3 Reactions
52 Replies
2K Views
Habari wakuu , naomba msaada hapo wakat naingiza taatifa za chuo inaniambia hivyo
1 Reactions
4 Replies
873 Views
Naomba msaada kwenye kujaza hii ajira portal. Kila kitu nimeshaweka, pamoja na vyeti vya masomo ambavyo vimethibitishwa na mwanasheria. Lakini mwishoni pale chini kwenye Academic qualifications...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari ndugu, Ninaomba msaada wa kufahamu utaratibu wa kuomba tenda za kazi ndogo ndogo zinazotolewa na Ubalozi wa Marekani . Nimefuatilia kwenye website yao, lakini maelezo yao hayajitoshelezi...
1 Reactions
0 Replies
847 Views
Hivi unatambua kuwa hizi ni ajira kubwa sana mtandaoni kwa sasa? Authors, trainers, motivators, consultants, councillors, inspirers, and teachers in any field. Kama una uwezo au ujuzi katika...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini za saa hizi. Nimejiunga muda mrefu sana hii portal ya ajira ila mpaka naandika hii thread haijawahi kukubari ku-upload picha. Nimekuwa nikiapply inaniandikia Job Appl... FAILED nikajua...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Nasumbuliwa na Dogo langu nashindwa kuelewa, je majina wanayotoa Utumishi kwa ajili ya kuwapangia vituo vya kazi yanahusiana na interview iliyofanyika mwezi wa pili mwaka huu? Au ndiyo...
1 Reactions
6 Replies
950 Views
Leo tupeane A, B, C za kujiinua kiuchumi, unadhani ni kazi ipi inadharaulika mtaani kwako lakini ndo inayokuweka mjini?
6 Reactions
74 Replies
7K Views
Habari zenu ? Matumaini yangu nyote ni wazima wa afya mimi ni kijana wa kiume wa miaka 25,elimu yangu ni kidato cha sita nina uwezo wa kutumia computer vizuri sana na nishafanya kazi za research...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
NAFASI ZA KAZI Posts: 2 -Elimu kuanzia form four -Uwe unajua kutumia computer, nb kama hujui computer usiombe plz -Ukiwa na certificate ya computer ni kigezo cha nyongeza -Kama una degree au...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
1. Conduct Research on the Employer, Hiring Manager, Job Opportunity. Success in a job interview starts with a solid foundation of knowledge on the job-seeker's part. You should understand the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom