Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kwa wanaotafuta kazi hii inawahusu sana.CV yako hakikisha haina haya makosa _______________________ Wiki iliyopita nilipata nafasi ya kuchakata maombi ya kazi ya taasisi moja binafsi hapa nchini...
24 Reactions
20 Replies
3K Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetangaza nafasi za kazi 42 katika taaluma mbalimbali kwa Watanzania wasiozidi umri wa miaka 45 kuanzia leo Ijumaa Aprili 21, 2023 na mwisho wa kutuma...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Nina carwash naitaji mtu ambaye atakua tayari kutafuta hata contract katika kampuni yeyote tuoshe magari yao ikiwa Kama truck kuanzia hata 50 kuendelea. Semi (aina Yoyote iwe body au mkeka)...
2 Reactions
9 Replies
768 Views
Tangazo la Nafasi ya Kazi Anahitajika Secretary Mwenye ujuzi wa miaka isiyopungua miaka 3 kazini, Awe amesoma kwenye vyuo vinavyotambulika hapa Tanzania au nje. Umri usiopungua miaka 35 na...
0 Reactions
1 Replies
428 Views
Hii ni sababu nimeona kwenye post imetawala English language tu kwa masomo ya Sanaa. Tafadhali ushauri.
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Tangazo la Nafasi ya Kazi Anahitajika Secretary Mwenye ujuzi wa miaka isiyopungua miaka 3 kazini, Awe amesoma kwenye vyuo vinavyotambulika hapa Tanzania au nje. Umri usiopungua miaka 35 na...
0 Reactions
1 Replies
428 Views
Kwenye nafasi hizi kuna ile ya kada ya afya ambayo ndani yake ipo nafasi ya ustawi wa jamio daraja la II. VIGEZO: Uwe umesomea social Works, sociology, na related education concerned post hiyo...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari, naomba kujifunza namna ya kuomba tender zinazo tangazwa na ukurasa wa Zabuni.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
i) C28 II) C40 III) Latra iv) Comesa v) Insurance vi) Fire safety sticker Kuna tangazo la kazi nimeona inahitaji mtu awe na mzoefu wa kazi katika vitu hivyo hapo juu. Kama kuna mtu yeyote anajua...
2 Reactions
1 Replies
394 Views
Tunahitaji Mhazili - Secratarial awe mwanamke kati ya miaka 20-35, mwenye cheti cha uhazili na uzoefu wa kufanya kazi kwa kujitegemea. Awe na uwezo wa kufanya muda wa ziada walau mpaka saa 2...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa. Naomba kupata ufafanusi wa Employment category : Grade H, level 1. Mshahara wao ukoje katika private sectors. Asante
0 Reactions
0 Replies
565 Views
Habari za kazi wakuu, Mimi ni dereva umri wangu ni miaka 25 na ni mkazi wa Dar es Salaam, ninahitaji ajira/kibarua cha kuendesha gari ya kampuni, shule, daladala au gari binafsi. Nina vyeti na...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanini account yangu kuna muda na log in inakubal ila niki log out kwa siku moja au mboli inakuwa tena inactive nikiwa na login msaada nifanyaje maan nimeshajarib ku activate lakin inasumbua...
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Jaman naomba msaada nimepata changamoto ajira portal Kwenye academic Qualification Kuna cheti nimekosea kuattach ila komesaviwa Sasa kinaonekana kwenye saved academic Qualification ,nataka kukitoa...
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Naomba kuelekezwa namna ya kutiki/ kuweka mshale wa declaration.
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna kipindi nilileta uzi wa kutafuta 'animators'/ watengenezaji wa video za katuni; Sikufanikiwa kupata wajuzi, ili niweze kuwapa ajira. Nimegundua hii 'field' wengi hawana ujuzi, kwa hiyo...
2 Reactions
44 Replies
1K Views
Aisee kwanza habari za asubui, niwapeni mikasa ya ili jambo la kuomba ajira mtandaoni. Kumbuka hapa siongelei ajira portal wala Taesa wala makampuni yenye kutangaza kazi. Naongelea ile mtu...
3 Reactions
5 Replies
832 Views
Mwenye connection ya jinsi ya kupata kazi za survey huko migodini, tushirikiane neema.
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Mimi ni kijana mwenye degree ya Human resources management natafuta kazi ndani ya taaluma yangu au hata nje ya taaluma yangu Uzoefu ni katika kazi nimeshawahi kuwa Sales officer na pia nishakuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii PDF niliyoweka hapo chini kila mmoja ha akikishe ameifungua n ame apply kazi anayoiweza maana Pana fursaa za kilaa aina, hizo ni kazi katika taasis za umma Tanzania, kazi zilizopo hapo n...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom