Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Hakikisha una upload vyeti ambavyo ni certified ( Vyeti vyenye muhuri wa Mwanasheria ) Cover Letter ( Barua yako ya maombi ) inakuwa na sahini yako chini/mwishoni mwa barua.
10 Reactions
258 Replies
23K Views
Wakuu Salaam! Kuna kamsemo wazungu wanakipenda kukisema 'If you not making money then your making nonesense. Naomba wenye highlights na dondoo chache just in brief summary watufahamishe ni jinsi...
0 Reactions
2 Replies
728 Views
I'm Doto from Temeke Toangoma Dar es salam, 26 yrs old. I'm here looking for housemaid job please can you help me, I have 5 yrs experience for housekeeping and 1 yr babysitter. I know to cook...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu humu, Mimi ni kijana wa kiume umri wangu 24 ni fundi umeme wa magari nimejiajiri ila game ni ngumu sana huku mtaani hvyo natafuta kampuni au taasisi yoyote yenye uhitaji na fundi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
we are seeking to recruit very aggressive self motivated persons as sales representative in our company based on commision , we are a very reputable insurance company in east and central africa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27,nimekuwa nikijaribu kutafuta kazi ya udereva kwa muda mrefu bila mafanikio mpaka nafirikia kwenda kusoma tena operator ili kuongeza wigo wangu katika soko la...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za wakati huu Wana JF, naitwa bless nina miaka 24, elimu yangu kidato Cha 6. Natafuta kazi viwandani, supermarket au kampuni binafsi nina uzoefu na u- cashier yeyote ataeweza nisaidia...
0 Reactions
4 Replies
791 Views
Wadau kuna tangazo la kazi serikalini pamoja na kutuma vyeti Online kuna Kuweka na Picha yangu.Naomba msaada namna ya kuiweka hiyo picha hatua zake ili niweze kuituma. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
9 Replies
14K Views
Ndugu zangu ningeomba tutumie huu Uzi kutoa maoni Kwa kuwaomba TAMISEMI kuongeza Muda wa watanzania kutuma maombi ya Kazi za ualim na Afya. Kwanza muda uliotolewa no siku ambazo sio Chini ya 20...
6 Reactions
83 Replies
6K Views
Shule ya msingi Nzivi Green Star English Medium iliyopo Mufindi Iringa inatangaza nafasi ya ualimu. Mwalimu wa kike wa masomo ya kiingereza/primary anahitajika haraka. VIGEZO 1. Awe na uwezo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, -> nipo dar (kibamba) Napenda vyombo vya moto kijumla sana, nina ujuzi wa mechanical engineering diploma. Pia nina ujuzi mambo ya marketing (masoko) - online & offline Biashara ya...
2 Reactions
3 Replies
452 Views
Naombeni msaada, mwenye ujuzi wa kuweka barua ya maombi kwenye ajira portal?
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wakuu, Kwa mliowahi kutuma maombi ajira portal ya sekretarieti ya ajira. Hivi unaweza kuitwa interview sekretarieti ya ajira bila kusatifai vyeti.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wadau habari, nilikuwa napenda kufahamu kuhusu trc salary scale kwa ngazi ya diploma inakuwa vipi
2 Reactions
18 Replies
7K Views
Rejea kichwa cha uzi, mimi ni kijana mwenye degree ya ualimu natafuta kazi ndani ya field na hata nje ya field ya Elimu. Uzoefu ni katika kazi ya ualimu, cashier katika hospitali na Supervisor...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari zenu naomba kujua kuhusu hii kampuni ya asilia kwa aliewahi kufanya kazi hapo anisaidie kufahamu kuhusu mikataba yao interview zao na mazingira yao ya kazi Shukran
2 Reactions
9 Replies
601 Views
Kufanyakazi kwa bidii zote. Usimssikikize mtumishi mwenzio fuata sheria za kazi. Jambo usilolijua la kiutumishi kabla ya kuchukua hatua uliza. Usiwaulize watumishi wapya uliza wale senior. Fomu...
30 Reactions
47 Replies
4K Views
Kwa kutambua mapambano ya ajira katika uzi huu basi niwatakie wapambanaji na wana JF kwa ujumla , heri ya kufurahia sikukuu hii ya EID EL FITRI Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
431 Views
Nawasalimu ndugu zanguni , napata changamoto ajira portal , awali niliupload vyeti vikiwa havijasainiwa na kuwekwa muhuri wa mwanasheria , sasa leo nimefanya hvyo nikawa nataka kuviupload kule...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom