Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wote tunafahamu utaratibu huu baada ya msailiwa kufanya usahili wa mahojiano na ikitokea amefaulu na nafasi hazikutosha hua anabaki kanzidata na ikitokea nafasi anapangiwa kutokana na kada yake...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
Tamisemi... Kwanini wanatumia kigezo cha kujitolea katika kutoa ajira??
0 Reactions
5 Replies
512 Views
Wadau ni njia ipi ya uhakika ya kutuma barua za kuomba kazi kati ya EMS na posta kawaida, Naombeni ushauri! EMS ni Huduma ya Posta pia Ambayo yenyewe huwa ina malipo makubwa ukilinganisha na...
1 Reactions
21 Replies
31K Views
Wana jf habar zenu,,, jaman mi muda mwingi sina kazi na Nina smartphone kutwa nashinda online lakini ni jobless ni kuunga bando tyu na kuslide duniani . Nisaidieni jinsi bando langu kupitia...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Wadau naomba anayejua ku edit cheti kwenye Academic qualification anielekeze kwangu nkibadili wananmbia failed to upload
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Moja kwa moja kwenye mada... Vijana wengi wanamaliza vyuo kila mwaka ilihali wengine bado tuko mtaani hawajui hatima ya maisha . Kwa interview baadhi yao wanaitwa lakini nyingi ni kama danganya...
28 Reactions
404 Replies
81K Views
Naomba kazi wadau elimu ni kidato Cha nne naish ruvuma/songea kwa mweny connection au Kaz Niko yoyot ile ya duka,kampuni me Niko tayar namba zangu 0688272847
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Nina akaunti kwenye mfumo wa TAMISEMI, ambayo kwa miaka ya nyuma nimekuwa naitumia kuomba UALIMU, mwaka huu nimeamua kubadili niombe nafasi upande wa AFYA, ambako nina sifa pia baada ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni dereva natafuta kazi ya udereva. Nipo Dar Es Salaam, Kijichi Leseni Yangu ni Class C1,E,D. Nina Uzoefu Wa Miaka Miwili Cv (1)Elimu Form 4 cheti (2)Cheti Cha Udereva Umri wangu miaka 26...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu hii imekaaje? Mh tuwe makini jamani sio kiivyo
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Kampuni ya mabasi ya ABC imetangaza nafasi za kazi kwa wahudumu wa mabasi (Bus Hostess) ambapo kuna vigezo kadhaa unatakiwa kuwa navyo. Kigezo kimoja wqpo ni Bachelor Degree in Public Relation...
9 Reactions
32 Replies
5K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Nimehitimu shahada (degree) ya Community Economic Development (CED) hivyo mimi pia nimuhusika mkuu katika kazi za Social Works, Social science, Community fields...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Wanajamvi kweny hili sakata la kujaza maombi ya hizi nafasi zilizotangazwa na TAMISEMI. Ninatengeneza account lakin taarifa za NIN napoweka naambiwa sio sahihi ama majibu yangu sio Sahihi. Je...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuu huu mfumo ni mimi tu au kwa wote? Yani nimeweka chaguo 1 tu nashangaa sioni option ya kuongeza wala kufuta
2 Reactions
6 Replies
872 Views
Wakuu humu kuna wakubwa zetu mlio tangulia, msaada vyeti vya kuomba kazi tunaweka vilivyokuwa certified au original. Natanguliza shukurani hasa kwa wale waliopo kazini kupitia tamisemi.
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari wana jamii forum, Natafuta kazi yoyote ile iliyo ndani au nje ya field yangu. Details zangu kwa ufupi. Age:25 Education level: Bachelor degree in Bussiness Administration. Work...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu napenda kuomba msaaada namna ya kutuma haya maombi ya ajira mpya ,je anwani za barua ni zipi?na kwa walioomba awali wanatumia mfumo upi asnth
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu msaada wa haraka mwenye uwelewa, nimetuma maombi yangu kuanzia jana nimekwamia hapa kwenye kuchagua mkoa wa kupangiwa kazi. Kila nikiclick hapafunguki kunipa option ya kuchagua ni kama...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Jinsia: Mwanaume Elimu: Degree 1 Uzoefu wa kazi: Miaka 5 na miezi kadhaa sekta binafsi Naweza kuja mkoa, wilaya yoyote kufanya kazi UZOEFU WA KAZI Administration officer records and cashier...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Nahitaji kurenew Leseni ya MCT. Naomba procedures. Sina access na account niliyofungua mwanzo! Naomba msaada!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom