Nafasi za kazi zinatoka lakini haziwafikii walengwa ambao wengi ni mafundi wazuri waliohitimu VETA. Mnazipenyeza kwa ndugu zenu nafasi hizo na zote mnagawana maofisini. Jamani wengine ambao...
Ikumbukwe sasa hivi manunuzi yote serikalini yamesimama kwa sababu ya mafungu kuisha hivyo kupelekea kusubiria hadi mwaka wa fedha wa unaokuja.
Na mwaka wa fedha wa serikali ni kuanzia mwezi wa...
Kuna tatizo la kujieleza wakati muomba kazi anapoenda kwenye usaili. Uzoefu unaonyesha kuwa wasailiwa wengi huwa wanachanganyikiwa na kushindwa kujibu maswali kwa ufasaha na kujikuta wanakosa...
Habari.
Naomba Tusaidiane kuhakikisha kila mmoja mwaka huu anapata kicbaka chake cha kujificha nwaka huh(Ajira).
Sasa Nakaribisha swali gani ushawahi kukutana nalo kwa interview na uljlijibuje...
Ninatengeneza akaunti ya kuombea ajira kwenye website ya TAMISEMI.
Lakini kwenye kuhakiki taarifa zngu za nida nimeombwa number niliyosajilia NIDA ila nimesahau hyo imepelekea nishindwe...
Poleni na majukumu Wana JF,
Ni matumaini yangu mpo wazima wa afya tele.
Mm ni mtumishi wa mamlaka ya maji X. Ombi langu kwenu ni kunisaidia zaidi kimawazo kwamba nitumie njia gani hasa niweze...
Hello Wapendwa !
Naomba Msaada wenu kwa wale waliofanikiwa kuendelea na kumaliza mchakato wa maombi ya ajira kada ya UALIMU.
Nimejaribu kufanya usajili (registration) lakini mfumo unagoma "...
Hivi ikitokea kaz moja wamepewa nafasi ya kuomba watu wenye kada tofauti tofauti, maswali ya interview hubase kwenye nini? Mfano watu wa Law na business adiministration wakiomba kazi moja...
Wanajamvi naomba msaada kwenye barua ya maombi ya kazi kwenye ajira portal pale kwenye barua unawaadress utumishi au unawaandress ile taasisi iliyotangazwa pale inayoitaji wafanyakazi mfano labda...
Nimeona waliopata nafasi za Tamisemi(Ualimu na Afya) wameanza kuhamasishana ili wabadilishane vituo vya kazi. Unaanza kukosoa kazi uliyopata ambayo uliiomba? kweli! acheni masikhara..
Kuna watu...
Kutokana na nyuzi nyingi kuja humu jukwaani kwa minajili ya kuomba kubadilishana vituo vya kazi kwa kada ya Afya, ipo haja ya kuwa na uzi mmoja utakaokusanya, kujadili na kujibu maombi yote ya...
Kwa wale wajuzi wa mambo tupeane maujuzi ya jinsi ya kupata tenda ndogondogo na kubwa kubwa mfano tenda za ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali kama zahanati katika halmashauri za wilaya zetu.
Habari zenu wanajamii,
Mimi ni kijana wa Kitanzania, nina miaka 25, mhitimu wa chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU). Nimesomea shahada ya sanaa katika Uchumi wa Maendeleo ya jamii (Bachelor of...
Kama waziri alivyotangaza nami naomba niseme nimechangamkia fulsa. Kwenye akaunti nilitakiwa kuweka barua na machaguo tu. Niwapongeze kwahili maana adha ya kuscan mavyeti Kila wakati imeondoka...
Jaman hebu mwakahuu kwenye hizi muwakumbuke waliosoma stashahada ya uzamili. Wengine wamemalza Tangu mwaka 2014. UDSM kwanini mnawaacha?
Hakuna mtu anatafuta special seat ya mshahara ila walisoma...
Location - Tanzania
Salary - USD3000 to USD4000 plus accommodation, vehicle and medical aid, depending on experience
Our client is a large established agricultural organisation who is looking for...
Hello wadau,naombeni msaada kidogo,huwa ninaomba ajira za nmb bank kupitia site yao https://careers.nmbbank.co.tz/ lakini cha kushangaza sijawahi kuitwa hata katika interview au hata kuambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.