Habari za leo wakuu.
Mimi ninaishi Kibaha, nina uhitaji sana wa ajira, nipo tayari kufanya kazi yoyote tu hata nje ya field yangu.
Nimesoma Agribusiness pale SUA ila ninaweza kufanya kazi yoyote...
Dear sir/madam
Natafuta naishi dar es salaam gongo la mboto natafuta kazi yeyote au kibarua cha kuendesha maisha
a) Nina umri miaka 24
b) Sijaoa
c) Taaluma yangu accounting & finance...
Naitwa Seif Maulid naishi Kinondoni, Dar nimemaliza kidato cha nne chet nnacho pia mm dereva nilikuwa naomba wanajukwaa tupeane connection wapi kazi zipo tupeane ramani.
Habari za mda huu ndugu zangu, poleni na hongereni kwa mapambano ya maisha ya Kila siku.Nisiwachoshe ngoja niende moja kwa moja kwenye lengo la hii mada
Mimi ni mfanyakazi katika moja ya vyombo...
Ajira portal kama hamuwezi kuwasaidia watu hamna haja ya kuwa na help desk, maana mtu anakuwa na shida anawapigia toka asubuhi mpaka jioni, simu ipo busy, na ikiita haipokelewi.
Kwanini msiajiri...
Wakuu habari za jioni!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nauliza mfano umepata barua ya uhamisho kutoka wizara moja kwenda nyingine mfano tarehe 15/02/2023 ndio umepokea barua ya uhamisho na...
Habari natafuta mtaalamu wa IT. Sepically software engineer au hadware engineers ambaye yuko eager kuwa part of our technical start up team in Clean Energy.
Contact me for farther discussion...
Siingiagi sana huku jukwaa la ajira lakini leo nimepitia post nyingi sana na nimesoma comments mbalimbali za watu.
Nachotaka nikwambie tu wewe unaeangaika muda mrefu kutafuta kazi na hupati...
Habari zenu.
Naitwa Steven Godlsten Natafuta ajira Mkoa wowote ajira ya halali... Elimu yangu ni Kidato cha Nne. Mofisini, Kampuni, Madukani hata Mashirika pia
Mimi niko Mkoa wa Kilimanjaro.
Habari,
Niko nataka nianzishe chanell youtube.
Natafuta mtu wa kupartner kuanzisha kufanya kazi. Video editing
sifa
Awe hana kazi
Kama ana kazi bas asiwe bize sana kiasi cha kukwamisha hii...
Habari za hapa.
Natafuta Manager wa shamba lipo Kigamboni Dar es salaam ambapo tumeanza kufuga mbuzi na baadae bata kisha samaki na kadhalika. Tutakuwa na kilimo aina tofauti ila hasa cha chakula...
Habari za humu wakuu nahitaji msaada wa kupata nafasi ya kujitolea katika makampuni au mashirika tofauti tofauti nikiwa nimemaliza bachelor of science in multimedia technology and animation...
Habari zenu great thinkers. Natafuta mshirika/washirika ambao tutafanya kazi kwa pamoja katika kutengeneza softwares zitakazotupa utajiri. Ukweli ni kwamba ajira zimekuwa ngumu lakini tuna...
Habari za uzima wadau? Bila kupoteza muda naomba niende kwenye maada directly.
Hili suala la ucheleweshwaji wa placements, hakika limekua tatizo kubwa sana ambalo moja kwa moja wanaoathirika ni...
Je Kujitolea ni sahihi kutumika kama kigezo cha kuajili nchini?
Juzi kuna mjadala bungeni mh spika Tulia Akson alitoa Rai kwa wizara ya Afya na tamjsemi na utumishi wa umma kuangalia zaidi watu...
Jamani nahitaji msaada wa kazi yoyote ya halali, maana hali ni mbaya kwangu. Niko tayari kwa kazi yoyote, maana ntaisha kwa njaa. Nisaidieni jamani.Nipi boko Dar.
Habari! Nimemaliza bachelor ya Account lakini piah nina diploma ya Account Msaada kwa yoyote mwenye ufahamu wa kampuni au ofisi inayohitaji mhasibu iwe nafasi ya kazi au volunteer kwa level ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.