Habari zenu Wakuu.
Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua.
Nawaomba sana, Nikipata kazi ya...
Amani iwe nasi Watu wa Mungu.
Nimerudi Tena Ndugu yenu, Bado sijabahatika kupata KAZI/kibarua.
Nimeandamwa na madeni ya Kodi, service charges na madeni mengi ninapoishi.
Naomba mwenye...
LIZONA ENTERPRISES LTD iliyopo mkoani Mwanza inawatangazia nafasi za kazi kwa watu wote wenye sifa.
Nafasi Za kazi ni kama ifuatavyo :-
Msimamizi mkuu na Mtawala(1)
Wauzaji wa bidhaa(15)...
Nina jamaa yangu amesoma BA with Education (Economics and Commerce) Ameajiriwa kama Mwl Secondary na Mwaka jana alipanda daraja TGS E.
kuna nafasi imetokea halmashauri anayofanyia Kazi wamemwabia...
Niende moja kwa moja katika mada.
I have business plan ambayo ninauzoefu nayo. Hii sio idea mpya bali ni idea ambayo inatumika sana nchi za China, Japan na Korea katika kutengeneza strong...
Exciting Internship Opportunity: World Vision Tanzania: Arusha
Are you looking for an exciting opportunity to start your career life? World Vision Tanzania now offers six month internship...
Habari wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, nimekuwa nikipiga simu ya utumishi wa umma ambayo ni 0262160240, tangu jana kutwa nzima nawapigia lakini simu yao inatoa maelekezo...
Habari wakuu.
Kama kichwa kinavyoeleza. Natafuta mdau aliyewahi kupiga kazi kama unskilled labour kwenye hiko kiwanda cha Almarai.
Niliwahi kuwa kwenye mchakato bahati mbaya nikapoteza...
Kufuatia uwepo wa taarifa za baadhi ya wananchi hususani kutoka Zanzibar kupigiwa simu na watu wasiowajua wakiwafahamisha kuwa wanatafutwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili waajiriwe...
Hello,
I hope all of you are doing fine, I am young boy 23 years old right now, I'm writing here for you brothers and sisters and all members of jamii forum to inform you that I need any kind of...
Habari!
Naitwa Mathei, umri ni miaka 26 ni graduate wa Education &information and Communication technology ( ICT)katika level ya degree.
Biashara inahitaji wateja ili kuweza kupata faida na...
Mwaka jana mwezi September nilienda usahili pale utumishi Dodoma na niliweka mrejesho hapa. Usaili wa utumishi (kwenye interview ya mchujo) unawalenga wanafunzi na wahitimu wapya
Kimsingi mimi...
Kama kichwa kinavyojieleza, mimi ni dereva mwenye uzoefu na hii kazi kwa muda mrefu.
Mkataba wa Kawaida hesabu 150,000 kwa wiki.
Mkataba mkuu 200,000 kwa wiki na huu tutatizama muda na upya wa...
Wakuu habari zenu. Naitwa Damian nipo Temeke Dar. Elimu yangu nina degree but kazi yoyote nitafanya. Wakuu NATAFUTA KAZI yoyote halali maana hali yangu ni ngumu sana kiuchumi yani kazi yoyote...
Wafanyakazi wanaofanya kazi chini ya hospitali za kidini, yaani muajiri wao ni FBO lakini wana check namba na wanalipwa mshahara na serikali,
Je Inawezekana mfanyakazi huyu kuhama kuhamia kituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.