Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
My name is Patrick, and I am a holder of a bachelor's degree in Taxation since November 2022. I would like to ask for an opportunity to intern with any company that has titles related to tax...
0 Reactions
13 Replies
802 Views
Kwenye matangazo ya ajira za ualimu na afya kuna kipengele wameandika kua Kama umeshawai kuajiliwa na kuacha kazi, kufukuzwa, kuachishwa au kustaafishwa serikalini hautakiwai kuomba kazi tena...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana jamvi wa jf, Jana nilipost uzi nikiomba kujua ngazi za mishahara kwa shirika la reli la tz TRC kwa TRCS3 na TRCS4 kwasababu nina mdogo wangu kachaguliwa commercial assistance office...
3 Reactions
96 Replies
20K Views
Msaada. Kwenye Acc yangu ya ajira portal nadhindwa kuedit sehemu ya academic ninaweka upya vyeti vilivyosainiwa na mwanasheria Ila inanigomea
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wakuu poleni na majukumu. Naombeni Msaada Tutani Wakuu. Mwishoni kabisa mwaka Jana niliamua kufungua akaunti ya ajira portal na Mimi ili nikiona kazi niombe Ila Kuna changamoto so unajua...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Mimi nina ujuzi wa ufundi ujenzi nimesoma Veta kwa miaka mitatu, nimefanya kazi mtaani kwa muda wa zaidi ya miaka mitano kwahiyo nina uzoefu. Nasoma ramani, nachora ramani za majengo na pia...
1 Reactions
3 Replies
500 Views
Habari wanajukwaa, Mimi ni mtumishi halmashaur x, ila naomba ushaur wenu kozi nzuri ya kuwa planning officer Kati ya hizi. Project planning and management, population and development planning...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hizi nimezipata mahala so na wewe weka zako watafutaji vijana wanaweza wakazipata mana . 1.flexjobs.com 2. who is hiring .io 3. remoteml .com 4. freelancer .com 5. upwork.com 6. remoteok .io...
2 Reactions
9 Replies
779 Views
Hizi kazi zimekuwa nyingi na hakuna watu wa kuzifanya mpaka UK inatafuta wafanyakazi kutoka nje. Jaribu bahati yako, ukweli ni kazi za kuangalia wazee, sasa wewe kama unaona haikufai, pita...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari. Unajua ninashindwa kuelewa waajiri wametarget kitu gani katika kuajiri. Tangu nimemaliza chuo nimebahatika kufanya kazi sehemu tofauti nne ndani ya kipindi cha miaka mitatu. Sijawahi...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
KOZI AMBAZO SIMSHAURI MTU KUSOMA NI HIZI ZIFUATAZO 1. PROCUREMENT 2 .FOREIGN RELATION 3. BUSINESS ADMINISTRATION 4: HUMAN RESOURCE 5: ENGINEERING 6: BCOM 7: MD 8: SOCIOLOGY 9: ComMUNITY...
21 Reactions
180 Replies
21K Views
Habari Wana Jf, Mimi ni binti wa miaka 27 nimesoma diploma ya uhasibu na tangu nimemaliza sikubahatika kupata kazi zaidi ya kufanya biashara ndogo ndogo nazo zimekufa kwa kukata mtaji. Sina...
3 Reactions
8 Replies
661 Views
Mimi naamini hakuna binadamu aliezaliwa hapa duniani akashindwa kufanya chochote ambacho binadamu mwenzie anafanya bila shida, siongelei professionals ambazo zinahitaji special training hapana...
4 Reactions
6 Replies
505 Views
Je wajua hili dude (Advance Payment) linavyotumika kwenye taasisi nyingi za umma ikiwemo na tanapa? Nategemea kufanya uchambuzi soon kuwahabarisha lilivyotumika na linavyotumika hadi sasa...
1 Reactions
3 Replies
770 Views
Nimehudhuria usaili kadhaa wa utumishi kwa kazi nilizoomba kupitia ajira portal wiki hii. Ni kazi za ICT officers. Kwenye mchujo (written interview) wanauliza maswali ambayo ni ya wanafunzi, yale...
11 Reactions
58 Replies
9K Views
Hii kauli ameitoa leo Mh.Pombe akiwa viwanja vya furahisha jijini Mwanza Magufuli amesema bado anaendelea na zoezi la watumishi hewa ikumbukwe mwezi wa sita alitoa kauli ya kwamba amesimamisha...
19 Reactions
161 Replies
32K Views
Kama heading inavyosema wakuu, anahitajika mtu awe Dar hata akiwa na kazi yake hakuna shida. Mwenye sifa anicheck DM tuyajenge.
0 Reactions
5 Replies
897 Views
Nahitaji kuuliza kitu zile nafasi za kazi za TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania)wakati zimetangazwa zilifanya consideration kwa Nchi zote mbili yaani Tanzania na Zanzibar! Sasa leo hii nimekutana na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom