Habari zenu, Nimerudi tena baada ya kutafuta ajira bila mafanikio . Mimi ni kijana wa miaka 21. kazi katika Mashirika, Makampuni, Viwandani Maofisini na Madukani...
Elimu yangu kidato cha nne
Habari,
Nina jirani yangu amehitimu mwaka jana, hapo udsm anashikilia shahada ya elimu ya awali na makuzi ya watoto.
Kwasasa yupo Dar es Salaam, kama ni mmiliki au una-connection basi sio mbaya...
Kujitolea ni kwenye charity works sasa sielewi profitable organization kwanini zinataka mtu ajitolee.
Kujitolea ina maana graduates (ntaongelea hawa watu) hawana thamani kwahiyo ili kupata...
Habari wapendwa
Nimesikitika sana baada ya mdogo wangu ambaye kwa sasa ni jobless yapata miaka 4 akihangaika na nssf na psssf kwa kipindi cha miaka 3.
Huyu mtu amechangia kwenye mifuko miwili...
Hello,
Find bellow employment Opportunity at Callab Tanzania
Biomedical technician
Logistic and Admin Assistant
=========
Position title
Intern- Admin and Logistics Assistant
Description...
Wakuu, nawasalimu kwa jina la JMT. Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Ninahitaji vijana wenzangu watakaokuwa tayari tushirikiane kufanya kazi kwa kutafuta masoko ya bidhaa zetu ambazo ni...
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.
VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.
2. Dereva atalipwa na mwenye gari.
3. Tani 3.
4. Gari itakodiwa...
Habari wakuu, nina mdogo wangu wa kike ambaye ana shahada ya HR miaka 26, naomba msaada wenu apate kazi yoyote ndani ya Dodoma au Dar(sababu ya sehemu ya kuishi) pia ni mzoefu kwenye kazi za...
Habari wana JF,
Pasipo kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumishi kwenye Halmshauri X, nimeajiriwa kama afisa mtendaji, ila kwa bahati...
Habari,
Kama utumishi wataaamua kuchukua watu wote walioko kwenye database.
Je, hakutakuwa na umuhimu wa watu kuapplai upya.
Mfumo wa database ni mzuri Ila waupitie upya.
Wasalam wana jamvi,
Kokote nitakapo pita nikiziona fursa uwa nakuja na kuwaletea wadogo zangu wa JF wakati nipo bandarini niliziona fursa nikaja nazo humu nikazileta ila nilibezwa sana mara oooh...
Wakuu kwema wanahitajika vijana kwa ajili ya kufanya delivery katika jiji la Dar es Salaam umri ni kuanzia miaka 20 mpaka miaka 27 na lazima wawe na ujuzi wa kuendesha pikipiki
Kwa mawasiliano...
Habarini,
Nahitajika mtu aliesomea kozi ya addo na mwenye vyeti vyote kwa ajili ya uuzaji wa duka la dawa
- Jinsia awe ni wa kike
- Umri wowote ilimradi awe anajitambua sana
- Sehemu ya kazi...
Habarini wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale..Mimi ni kijana ninaye chafuta kazi ya udreva ..vyombo ambavyo Nina uzowefu navyo ni pikipiki,gari ndogo mf Noah na zinginezo, roli, bajaji mwenye...
Naombeni kujua nature ya maswali ya hivi karibuni kwa wale mliofanya interview utumishi kwa Kanda mbalimbali, zaman tulizoe kila usaili maswali ya research ,saiv kukoje nipen mwanga kidogo jamani.
Habari za wakati huu wana JF
Nitoe shukrani kwa mtu alienipatia wazo nianzishe thread hii hapa ili watu tofauti tofauti wasome na huenda nikapata mawazo au njia nzuri ya kusaidika.
Mimi ni...
Mchakato wa ajira ni utaratibu wa kupata mtumishi wa kumwajiri. Mchakato huu unaanza katika hatua ya kupata kibali cha ajira, kutoa tangazo la ajira, kupokea maombi ya kazi,kufanya uchambuzi wa...
Jamani naandika kwa uchungu sana, mwenzenu nina miaka saba sasa tangu nimemaliza chuo sijawahi bahatika kupata ajira popotee.
Nilisoma BBA baada yakuona mambo magumu nikaenda driving nasasa nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.