Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Me naitwa calvin Nina miaka 21 Nina elimu ya chuo kwa ngazi ya certificate (ugavi) Nina lesen daraja A na D Kwa sasa nipo gereji kama fundi umeme wa magari NAOMBENI KAZI YOYOTE
3 Reactions
5 Replies
163 Views
Natafuta dereva mzoefu wa bolt/ uber Awe Dar es salaam Mzoefu na awe na account ya bolt/uber Nicheck inbox
1 Reactions
4 Replies
233 Views
Kipi bora kati ya kuajiriwa na hawa viumbe watatu?yani yupi ana afadhali? 1.Mchina 2.Mhindi 3.Mswahili
5 Reactions
25 Replies
580 Views
African Union Vacancy – English Interpreter/Translator African Union Vacancy – English Interpreter/Translator African Union (AU) Arusha Location: Tanzania Organization: African Union AU...
0 Reactions
2 Replies
420 Views
Kama anahitajika mfanyakazi wa shift ya usiku...anapatikana. Ana elimu ya Degree katika Biashara marketing and hospitality Mjuzi na mwenye uzoefu wa matumizi ya COMPUTER, kwenye;- Ms Word Ms...
3 Reactions
0 Replies
194 Views
TMDA VS TRA Habar wadau mpo pouwah. Naomba mwenye kujua ni Agency ipi kati ya hizo yenye kulipa vizur? A) Mishahara ipoje B) Allowance wapi ni nyingi zaid.. Maana kuna rafk yangu wa karibu...
8 Reactions
106 Replies
17K Views
Habarini wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, anahitajika kijana wa kusimamia shughuli za bustani ya mbogamboga hii ni kulima na kumwagilia, mashahara laki moja kwa mwezi, awe na uzoefu...
8 Reactions
10 Replies
322 Views
Ndugu zangu wana JAMIIFORUMS hapo mwanzo nilikuwa muhanga wa kutafuta Ajira hapa nchini kwakweli nilihangaika sana. Nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni mbali mbali ikiwemo GARDAWORLD baadae...
13 Reactions
140 Replies
18K Views
Habari zenu ndugu zangu. kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 . Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka...
18 Reactions
212 Replies
4K Views
Mshahara wa instructor wa public sector ambao ni ptss 3 unaweza ku range shilling ngap naomba mnifahamishe niweze fanya maamuz
2 Reactions
6 Replies
483 Views
Habari za wakati huu wanajami mwaka jana mwezi wa 11 niliemda utumishi kwa ajili ya usahili lakini kutokana na changamoto ya majina katika vyeti vyangu nikalazimika kutafuta affidavit ili iwe...
0 Reactions
30 Replies
795 Views
Leo nilikua nimekaa kwenye Cafe flani nikasikia mazungumzo ya watu nyuma yangu wanabishana kuhusu malipo na mishahara ya watumishi wa serikali kati ya wanawake na wanaume. Kwamba wanaume...
2 Reactions
5 Replies
188 Views
Habari wana-JF. Mimi ni binti Kwa sasa makazi yangu yapo Dar es Salaam Natafuta Kazi au ajira katika taasisi au Kampuni zinazojihusisha na maswala ya umeme. Nimesomea Fani ya umeme hadi Level...
16 Reactions
83 Replies
2K Views
Habari za weekend wakuu? Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona...
17 Reactions
95 Replies
3K Views
Heshima kwenu nyote. Nimeamua kuanza maisha mapya baada ya kukaa nyumbani kwa muda sasa. Sina chochote ninachomiliki kama asset na comfort zone imekuwa kikwazo kikubwa sana kwangu kiasi cha...
21 Reactions
264 Replies
27K Views
Nimetafakari hapa nimegundua kuna baadhi ya kazi serikali inazidharau sana. Imagine hapo muhimbili watu wanapiga kazi kama kawaida coz ni sehemu nyeti, hapo international school of Tanganyika...
8 Reactions
26 Replies
832 Views
Habari zenu Madereva 20 Wanahitajika Ni Kiwanda cha Mafuta ya Alizeti Mahali pa Kazi: Dar es Salaam /Dodoma. Wanahitajika wenye uzoefu wa kuendesha Magari makubwa Mwenye Kujua kuzungumza...
8 Reactions
5 Replies
388 Views
Natafuta gari ya kufanyia taksi mtandao - maarufu Bolt au Uber. Uzoefu ni miaka mitano hapa Dar es Salaam. Kwa mwenye gari anipigie kwa namba 0759280756. Gari ni IST, Sienta, Passo, Ractis...
1 Reactions
8 Replies
492 Views
Ufafanuzi wakuu hapa kuhusu hiki kiwango cha mshahara .
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu asiyekubali kushindwa sio mshindani . Nipo hapa mnishike mkono najua JF ni familia kubwa. Nahitaji Ajira ya office attendant Elimu yangu ni Advanced diploma. Ila sijafanikiwa kupata Ajira...
2 Reactions
14 Replies
366 Views
Back
Top Bottom