Habari,
Mimi ni mwalimu ninaefundisha Civic and Moral Education, Social Studies na Kiswahili kwa primary schools. Additionally, naweza kufundisha matumizi ya Computer.
Lakini pia ninaweza...
Watu wa Mungu mpoo?
Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.
Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu...
Habari zenu wadau.
Katika kusaka mkate wa kila siku kuna fitna na roho mbaya tunafanyiana huku makazini zinazopelekea either kufukuzwa kazi mazima au kusimamishwa.
Mimi bana nilikua kwa jamaa...
Imekuwa kawaida Mtumishi kusema ''nina mwaka 2,3 ,4 nk, nahangaikia swala la uhamisho na ugumu upo katika Ofisi za halmashauri hawataki kuruhusu mtu kuhama'', Mtu unaweza jaza kwenye mfumo (ess...
Kupeleka ajira za ualimu ni moja ya maamuzi ya ovyo ambayo serikali imewahi kuyafanya.
Sitoshaangaa hapo baadae mwanasiasa mwingine atakapokuja na kuamua kuzirudisha tena Tamisemi au akatumia...
Habari Wanajamvi la JamiiForums,
Samahani naomba kuulizia kiwango cha msharahara (Pesa) ambayo mfanyakazi anaweza kulipwa kwa kwango hiki hapa.
> Salary Scale OSHA-Scale 6.1
POST: PLANT INSPECTOR II – 1 POST
POST CATEGORY(S): ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYER: Occupational Safety and Health Authority (OSHA)
APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 to 2020-02-05
JOB...
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.JA.9/259/01/98 15th November, 2021
On behalf of Tanzania Railways Corporation (TRC), Public...
Wana JF Kuna mtu anafaham kuhusu swala la mishahara ya watanzania wanaofanya kazi GGM?
JE Ni kweli mishahara yao Ni mikubwa Kama tunavyoskia au ndo propaganda za vijiweni?
Sent using Jamii...
Wakuu ni hivi kama nilivyoeleza hapo awali Kuwa Nina umri wa 26 na elimu ya form six na pia Nilisoma NTA level 4 in mechanical engineering nilikua naomba kuuliza endapo kama nitaamua kurisk pesa...
Wakuu ningependa kujua mshahara wa mechanical technician kwa mtu mwenye elimu ya diploma na hii ni kutokana ni interview moja niliyofanya huku wakinilalanikia kuwa nimetaja kiasi kikubwa sana...
Ninauhitaji wa Mechanical Engineers wenye sifa na uwezo kama nilivyoonyesha hapa chini.
Mechanical Engineers, with CSWIP 3.1 certification and NDT qualification (VT;PT;MT;UT & RT).
Naomba kama...
JE, KILA MTIHANI NI FURSA YA KUFANIKIWA ?
Nataka uweke hili kwenye akili yako: Unaweza kufaulu Aptitude Test au Written kwa maksi za juu sana kiasi cha kuwa wa kwanza ila ukakosa ajira. Naam...
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia...
Nipo hapa kuomba fursa ya ajira au connection ya Kazi hasa kuhusu kitengo cha mazingira, Afya na usalama mahara pa kazi
Kuhusu Mimi
Mimi ni : ME
Umri : 26
Elimu : Degree of Geography...
Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.
Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.