Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari za majukumu, Mimi ni kijana wa kiume miaka 26 nimemaliza Shahada ya Ualimu masomo Geography na Kiswahili ninaomba mwenye nafasi yoyote ya ajira aweze kunisaidia. Mimi ni muaminifu na...
2 Reactions
12 Replies
705 Views
wakuu habari za majukumu naitwa yohana naomba kutumia forum hii kutafuta kazi y Mambo ya yanayohusu miradi nina degree ya project planning and management pia nina diploma ya community...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu . Mwenye info zozote kutoka MDH tabora data officer post kuhusu interview ?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
VACANCIES ANNOUNCEMENT Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) invites qualified Tanzanians to fill vacant posts as shown below: 1.0 INVESTIGATION OFFICERS...
18 Reactions
3K Replies
314K Views
Habari wana jf Ninaomba msaada wa kupata nafas ya kuitwa interview pale pcci kama kuna mtu anafahamiana naye pale anaijua mianya maana nimeshatuma sana maombi bila mafanikio.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi nilimaliza degree yangu mwaka 2011 lakini mpaka leo sijapata ajira. So what can I do?
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Msaada wakuu kwenye "oral interview" kuhusu majina ya vyeti Vyeti vya shule majina yanasoma ; jakaya mrisho Cheti cha kuzaliwa na nida ID majina yanasoma ; jakaya mrisho Kikwete. Ushauri wakuu...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari ya weekend wakuu. Kuna kozi mbalimbali za saikolojia (afya ya akili) zinazotolewa na vyuo vyetu hapa Tanzania kwa ngazi mbalimbali. Kuna wahitimu wengi ambao wanafaa sana kuwa kwenye...
5 Reactions
17 Replies
986 Views
Nimemaliza chuo tangu 2019, nimekuwa niki apply kazi kupitia ajira leo, na sehemu mbali mbali zinazotangazwa, ila hadi sasa ivi sijabahatika kuajiriwa. Sasa sijui ni hii course niliyosomea, au ni...
6 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wana jukwaa, Kwa anayehitaji dada/binti wa kazi za ndani yupo anapatikana mkoani Dodoma(Kibaigwa). Sifa zake Umri miaka 19 Dini: Christian Mwenyeji: Dodoma Ana uzoefu wa kutosha wa kazi...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Natafuta kazi za viwandani, madukani na kwenye makampuni. Elimu yangu Kidato cha nne.
1 Reactions
0 Replies
938 Views
Hayo ameyasema leo kuwa baada ya kuhakiki watumishi hewa na kuhakiki matumizi ya mishahara kwa watumishi wa umma zoezi litakalofauta ni kubadili muundo wa utumishi wa umma. source. utumishi
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Tunatafuta dada wa kazi za salon..mwenye ujuzi wa kusuka mitindo mingi ya kisasa.. Salon iko Tabata mwananchi Vigezo÷ Awe na umri kuanzia 18 Awe ameshafanya kazi za salon karibuni Awe karibu na...
2 Reactions
3 Replies
912 Views
Kwa majina naitwa Mikel lesta kiukweli utumishi katika upande wa ajira wapo hovyo sana nafikiri wanaofanya kazi hapo wanajisahau sanaa, nitatoa mifano mitatu na nitashauri kitu na sitoishia huku...
8 Reactions
49 Replies
7K Views
Haya ndugu zangu wapambanaji. Mwamba wa Magazeti nchini huyu hapa kaachia na Kazi nafasi Moja. Wenye Bachelor zenu mtume maombi muendelee kulinda mali za watu kwa weledi mkubwa
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Habari wakuu? Mimi nimejifunza ufundi magari na kazi nishaweza changamoto yangu ni kuwa kwa sasa Sina sehemu ya kufanyia kazi mana kunasehemu nilikuwa nimejishikiza ila kwa sasa hii sehemu...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari? Samahani naomba kujua ni kada zipi zaidi zinapewa kipaumbele/nafasi kwenye kuajiriwa kwenye NGO's mbalimbali? Pia je, watu wa marketing au public relations wana nafasi za kuajiriwa huko?
3 Reactions
12 Replies
914 Views
Habarini ndugu zangu, Kuna tangazo la ajira la Redpath mining contractor kila nikilitazama kwa marakadhaa linanipa ukakasi pia ukiongeza na ile email yao ya ajira ya Gmail nashindwa kuwaelewa kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nilikua naomba msaada wa jinsi ya kutuma maombi JWTZ kwa njia ya Email. Naomba mnielekeze jinsi ya kutuma unavyo upload barua na viambata vyote. Asanteni.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Mfumo wa Tamisemi uko wazi. Kulikoni
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom