Kama tangazo kichwa kinavyojieleza. Nahitaji mtu ambaye anajua React JS kwa ajili ya kazi ya contract miezi mitatu.
Kama kuna mtu yupo interested anicheki PM.
Habarini za jioni hii
Je, unapokutana na jopo la inteviewers (wanaokuuliza maswali) na kuanza kukuuliza maswahili ni ishara gani itaonyesha kuwa umefanya vizuri
1. Ni kujibu maswali yote kwa...
Jamani nimeshikika, Nadaiwa Kodi ya miezi mi3 na nimepewa Notice ya kuondoka tarehe 15
Tafadhali nisaidieni mchongo wa Kibarua chenye malipo kwa siku.
Nipo tayari kufanya kazi yoyote Ile.
Mungu...
Habari wakuu?
Poleni na majukumu ya hapa na pale pia hongereni kwa kupambana. Kutokana na kichwa cha habali hapo juu, Ndugu zanguni, wakuu naombeni yeyote ambaye ana connection au anazijua...
Habari wandugu. Naitwa Saidi napatikana pugu wilaya ya ilala mtaa wa bombani.
Natafuta gari(Noah) ya kufanyia kazi hapa wilaya ya kisalawe natoa elf 30 kwa siku isipokuwa j.pili ndo sifanyi kazi...
Hatimae ile Aptitude Test iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kutoka PCCB imemalizika dakika chache zilizopita.
To be honest Test ilikuwa nyepesi but very Technical,kiasi kama ukiangalia kimapepe...
Achana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi.
Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za...
Habari wakuu, Mimi ni kijana mwenye Bsc IT & Systems, Nna ujuzi wa kutengeneza mifumo ya kompyuta, tovuti, UI\UX Design & Graphics.
Nakukaribisha tuweze kufanya kazi na kuweza kutatua matatizo...
Kuna mshikaji wangu mmoja kanipa story hizi pesa za hao viumbe wasio onekana kama.majini n.k nowdays ndo zinawapa watu maisha.
Najuwa humu kuna wajuzi wa mambo ebu mimi na wengineo tusio elewa...
Habari za Mahangaiko Members.
Mimi ni kijana wa kiume (27), Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu ni ya Form Six
Nimekuja mbele yenu kuomba Msaada wa Kazi iwe Kibarua kwa siku au kwa mwezi...
Habari watu wa humu.
Nilikuwa nataka kujua hawa wanaojiita WAHUDUMU channel ni kweli wanaunganisha watu na ajira? Siyo matapeli?
Wananiambia ofisi zao zipo Manzese, kama Kuna mtu ashawahi...
Hivi ndugu zangu nimeomba nafasi ya assistant operation officer nafasi zipo 10 tumeitwa 1592 inamaan nafasi 1 inagombaniwa na watu 199 na hapo hzo nafasi kumi utakuta nafasi 5 tayari kuna watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.