Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Ref. No.MU/SOPAM/CDC/GH20-2063/VOL.1/38 ANNOUNCEMENT OF EMPLOYMENT VACANCY BACKGROUND: The Centre of Excellence in Health Monitoring and Evaluation (COEHME) housed in the School of Public...
0 Reactions
1 Replies
609 Views
TUKIWA KAZINI NA JAMAA ZANGU MAZUNGUMZO YALIKUWA HIVI NI WAPI WANAONGOZA KULIPWA MISHAHARA MIREFU HAPA TANZANIA? NI UN WENGINE WANASEMA NI WORLD BANK NA FICSA WENGINE WANASEMA NO ni AMREF KUNA...
4 Reactions
132 Replies
63K Views
Wakuu naomba kujua aina ya maswali ambayo uwa yanaulizwa na utumishi kwa kada ya msaidizi wa hesabu daraja la pili both writen and oral.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za jioni, Nahitaji Desktop Ya kununua , Nipo Dar Es Salaam. Offer Yangu ,Tsh Laki 1
0 Reactions
13 Replies
653 Views
Mara ya mwisho nilipata Mtu humu akaniamini akanishika mkono na kunipeleka Porini/Hifadhini kwenye shughuli zinazohusiana na Utalii, nilijitahidi kufanya kwa uaminifu na kupata Exposure na...
10 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello Wanajukwaa. Natafuta tender ya kufundisha Kingereza au History au yote kwa Level zote za elimu yaani. Basic Level Intermediate Level Advanced Level Na pia nafundisha History na English...
1 Reactions
1 Replies
653 Views
Ajuae kuhusu FREELANCING naomba uchanganuzi, kuanzia vigezo na namna ya Ufanyaji kazi wake
1 Reactions
1 Replies
454 Views
Wakuu habar za mda? Hvi ni kwanini ajira nyingi za vyombo vya ulinzi wanahitaji watu waliopita JKT na JKU (kwa Zanzibar)? MTaani wapo vijana wengi waliosoma na hata ambao hawana elimu ambao...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari. Kama ni mwanafunzi wa UDSM na una muda mchache wa kufanya kazi fulani nicheki PM. Mwanafunzi anayesomea masomo ya kiswahili. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
448 Views
Majina ya kuitwa kazini TRA yametoka, hongereni mliofanikiwa kuitwa kwenye utumishi wa umma
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Kwema guys? Tusichokane jamani,nimetwa kwenye interview mbeya cement nafasi ya finance. Naomba kuuliza maswali gani huwa wanauliza,na mshahara wao huwa ni kiasi gani?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ONE OF THE NEWLY ESTABLISHED DAYCARE SCHOOL LOCATED WITHIN ARUSHA CITY MUNICIPALITY (MOSHONO) IS LOOKING FOR A DAYCARE TEACHER WHO WILL ALSO BE PERFORMING ADMINISTRATIVE ACTIVITIES WHERE...
1 Reactions
8 Replies
914 Views
Habari Tunatoa huduma ya uzoaji taka ngumu za majumbani,shuleni,makampuni na sehemu nyingi ! Kampuni ni kj cash point, kwa maelezo zaidi mawaailiano 0753215818 Tupo dar es salaam Asanteni sana!
0 Reactions
2 Replies
322 Views
Kampuni ya SMAI Group Limited ambayo ni wamilikiwa SMAI Express na SMAI Delivery, wanahitaji vijana wasiopungua kumi kwa ajiri ya internship kwa kipindi hiki cha miezi mitatu ambayo wamezindua...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu kutokana na maisha kuwa magumu, nimefikiria kulima bustani ya mbogamboga; bamia, mchicha, matembele, sukuma wiki, chainizi n.k. Changamoto sina eneo wala vitendea kazi, bomba la kupigia...
6 Reactions
26 Replies
969 Views
Kukaa bila kazi Ni changamoto kubwa sana, mwili unahitaji mavazi, tumbo linahitaji chakula, simu iwekwe Salio. Yote haya na mengineyo hayawezi kuja bila pesa, pesa haipatikani bila kufanya kazi...
3 Reactions
6 Replies
581 Views
Sifa za Muombaji: Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications Awe na umri kati ya miaka 18 - 25 Awe...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naombeni kuuliza katika uandikaji barua kule ajira portal ni lazima uandike kwa mkono au unaweza ukatype kwa compyta?
0 Reactions
4 Replies
352 Views
Habari ndugu zangu naomba mnisaidie mwenye uzoefu wa usaili kuhusu Jeshi la magereza kwa sisi Form Four tusiokuwa na fani. Je, usaili wake upoje? Au maswali yanayoulizwa mara kwa mara ni yapi...
2 Reactions
63 Replies
8K Views
Wakuu, Kuna nafasi ya kazi kwa mwanamke(temporary)ya kufanya usafi ofisini. Ofisi ipo Victoria/Regent Estate mtaa wa Migombani karibu na NEMC au Kairuki hospital. Muda wa kazi ni kuanzia saa...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom