Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habar wakuu, Bila kupoteza muda ELIMU +SIFA ZANGU Nina diploma ya Medical Laboratory science Expirience more than 5 years Nina valid medical lab licence Nina other training certificates kama...
0 Reactions
7 Replies
532 Views
Kama kuna mtu anatafuta driver Yupo mzoefu na mchapakazi kwa Mawasiliano zaidi piga 0717751175 Naendesha gari za aina zote na popote naenda karibuni sana.
1 Reactions
0 Replies
553 Views
Ni kijana wa miaka 26, mwenyeji wa mbeya ambae kwa sasa ninaishi Bagamoyo-Pwani. elimu yangu ni.kidato cha sita PCB, ninaweza computer vizuri katika shughuli za video library, kuflash simu na...
2 Reactions
12 Replies
540 Views
Degree yangu ni B.A . education but Nina experience in customer care lakin nko tayar kufanya kazi yoyote mbali na professional yangu,,,,,, makazi yangu ni tegeta
2 Reactions
6 Replies
402 Views
Mimi ni tabibu (Clinical Officer) mwanamke. Nipo Mbinga Ruvuma. Nahitaji wa kubadilisha naye vituo. Awe wilaya yoyote ya Mkoa wa Kagera, wilaya ya Bukombe au Chato mkoa wa Geita au wilaya ya...
0 Reactions
2 Replies
674 Views
Habari za wikiendi wakuu. Naandika uzi huu kuwakumbusha vijana wote walioajiriwa na TRA katika zile nafasi mpya 400: na hapa nitaegemea kwa wale ambao hawajawahi kufanya kazi katika utumishi wa...
8 Reactions
64 Replies
11K Views
Habari zenu wakuuu, Mimi ni muhitimu wa water supply chuo cha maji Dar es salaam. Pia continuous student wa water resources engineering degree hapa hapa chuo cha maji, tumepata rikizo ya mwezi...
1 Reactions
4 Replies
610 Views
Kwenye tangazo lenu la ajira mlisema kuwa mnataka kuanzia Div 1 mpaka IV!!,Si mngesema tu kipaumbele chenu ni Div III na IV na wale walioko kwenye kambi za JKT ambao wanajitolea?
2 Reactions
6 Replies
556 Views
Habarini wakuu, Kumekuwa na Changamoto ya Graduates kuomba kazi lakini hawaitwi kwenye udahili kutokana na CV pamoja na Coverletter kukosa ushawishi kutoka kwa Mwajili. Pia inawezekana Muda wa...
0 Reactions
2 Replies
733 Views
Habari wakuu ningependa nieleweshwe taratibu kamili za kufuata ili uweze kuhama sekt moja kwenda nyingine. Mfano.sekta ya maji kwenda sekta ya madini.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu hivi kazi za kutwa pale bandari malipo yake yanakuwaje kuna hizi position 1)Operator 2)Makalani 3)madereva 4)wafanya kazi za mikono (sio ujuzi) Sina uelewa Sana ila hizi kazi Kama...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
0612912296 (eneo la kazi ni Kisasa,Dodoma)
0 Reactions
1 Replies
439 Views
Habari za mida wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada. Nahitaji kupata kazi yoyote ya kufanya itakayo nisadia kupata chochote kitu, yaani nipo tu kitaa, sina kazi. Pia hatakama una kazi yako...
1 Reactions
3 Replies
420 Views
Wakuu, nilikuwa nauliza anayejua ronja ya interview ya polisi na uhamiaji ni lini.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama ni mtafuta ajira ambaye umewahi kupata bahati ya kuitwa kwenye usaili, bila shaka swali hili sio geni. Ni swali la “wewe ni nani” ambalo mwajiri anauliza ili kufahamu taaluma, ujuzi na...
2 Reactions
25 Replies
9K Views
Habari za humu ndani, Nina ndugu yangu yeye ni dereva wa canter, kuanzia tani 2, 3 mpaka magari makubwa anaendesha. Ni mzoefu wa kazi husika kwa miaka mingi, Leseni hai iliyokamilika. Kwa sasa...
0 Reactions
15 Replies
944 Views
1.Njoo Mafia-Mkoa Pwani katika hospital ya Wilaya MAFIA. -Nije Mwanza Wilaya Nyamagana,Magu na Ilemela. -Nije Mbeya Wilaya yoyote au Manispaa -Nije Arusha Wilaya yoyote au Manispaa -Nije Dar...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni Mwl wa Chemistry na biology O level natafuta kazi. Nina uzoefu wa miaka 15 kazini. Nipo Dar es Salaam. Contact: 0764 727890
1 Reactions
2 Replies
680 Views
Habari wakuu. Ni mwezi wa nne Sasa tangu utumishi watangazi ajira kwa kada tofauti katika LGs and MDs Ila hadi mwezi huu hawaja ita watu kwenye saili. Tatizo ni utumishi kuwa na watumishi...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari wakuu! Kuna chuo cha Veta kinatafuta mwalimu wa Life skills na Entrepreneurship! Wanahitaji mtu mwenye diploma na kuendelea.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom