Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wakuu kwa wale majobless kama mimi nawapa ujanja baada ya kupata uzoefu kidogo wa miezi kama mitatu hivi, kwa dar es salaam kuna masoko kama manne hivi ninayoyafahamu vizuri..yaani soko la...
37 Reactions
89 Replies
17K Views
Nurse Position at Milvik Bima Location : Dar es Salaam, Tanzania MILVIK BIMA Founded in 2010, MILVIK BIMA is democratising healthcare in emerging markets through technology that enables...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarin Wana JF heshima yenu wote 🙏🏾 natumaini wote ni wazima kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima anao tujaalia kila siku itwapo leo. Ndugu zangu mbele yenu ni kijana mtanzania nina ishi dar...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba serikali iliangalie hili. Katika utafiti niliofanya nimegundua jambo hili: Mfumo wa kuajiri kupitia ajira portal na kuita watu kwenye usaili wa mchujo physically mikoa ya mbali unamaliza...
9 Reactions
51 Replies
4K Views
Habar wakuu! Msaada wakuu niokoe apa jahaz apa nyumban Naomba mtu anae weza kunisaidia kuniunganisha nikapata kaz yoyote ya viwandan hapa mbeya au kaz ya ufundi ujenzi mimi ni fundi.
0 Reactions
7 Replies
960 Views
Habari Waungwana. Naitwa Diwani D.A. nina umri wa miaka 27, kitaaluma ni Mwalimu, nina uzoefu wa kufundisha tangu mwaka 2019. Nina uhitaji wa kazi ya kufundisha kwa muda (Kutwa), Shughuli hii...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Shindano la kuandika Insha kwa shule za Sekondari
1 Reactions
0 Replies
879 Views
Wakuu naomba mwenye tangazo la hizi kazi za MDAs & LGAs anisaidie. Hizi nafasi za kazi usaili wake wa written ulishafanyika na tangazo lake lilitoka mwaka jana. Naomba ambaye analo anipe wakuu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wanajukwaa, wakubwa shikamoni. Leo nimepata invitation letter ya mwajiri nchini Europe jiji la ireland Dublin ila nimeambiwa niendelee na procedure za application form kama; ~ Europass...
2 Reactions
11 Replies
670 Views
Kuna mtu alishawai kuniambia kwamba kama wewe unaona confidence yako ni ya mashaka sana kwenye oral interview bhasi kunywa bia/beer moja au 2 afu ingia kwenye oral the rest will be historia...
2 Reactions
9 Replies
883 Views
Natumaini wazima wa afyaa,Mm ni kijana wa Mika 29 ni mkazi wa jijini DAR nimejitokeza mbele yajukwaa ilii kuomba fursa ama connection yeyote ile ya kibishara Mana na amini kupitia jukwa ili Kuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji Graduate Electrical Engineers wa mwaka jana. Hawa wenye reg. 2018-04-.... Naomba unitumie CV yako na vyeti pia kama ukiweka na application letter ni nzuri pia.. Eneo la kazi ni KAGERA...
2 Reactions
3 Replies
850 Views
Mwenye fursa naomba tupeane connection
0 Reactions
0 Replies
970 Views
nafasi za kazi pdf nmewatumieni
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni msichana miaka 30. Naishi Tabata Segerea. Nilikuwa cashier wa kampuni kwa miaka 3 likatokea tatizo nikaomba ruhusa kurudi kawekwa mtu mwingine. Naombeni kazi ya duka kkoo sijajuwa...
0 Reactions
9 Replies
649 Views
Salaam wakuu. Natumai wote mpo wazima. Naomba kazi ya Graphic Design kama • Kudesign logo • Kudesign business cards • Kudesign presentation Yaani kiujumla any design kwa kutumia •...
13 Reactions
141 Replies
10K Views
Jamani shule zinafunguliwa kesho kutwa, Naombeni kazi ya kufundisha Kwa sekondari kwenye History na Kiswahili na Kwa shule za msingi ni masomo yote. Tangu nihitimu mafunzo ya shahada ya ualimu...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
TAKUKURU walitangaza ajira nafasi mbalimbali ikiwemo nafasi za "WACHUNGUZI WASAIDIZI" .Hatua ya kwanza watu waliomba wakajaza taarifa kwenye mfumo na kuambatanisha nyaraka zote zilizohitajika...
10 Reactions
32 Replies
8K Views
Habari Nauliza kama kuna anaefahamu hali ya uajiri wa LAKE GROUP na mishahara yao
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom