Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kuna watu wanapata pesa nyingi na hawapo katika mfumo rasmi wa ajira Ni kweli kuwa wazazi, ndugu na jamaa wanatamani upate ajira serikalini wakiaamini ndiyo njia sahihi ya kufanikiwa katika...
9 Reactions
28 Replies
662 Views
Kama ulimaliza chuo ukiwa na miaka 24 ukatafuta kazi bila mafanikio miaka ikaenda ukafikisha 30 Baada ya hapo ukajiongeza kielimu mpka masters au PhD lakini ukaendelea kutafuta kazi mambo magumu...
22 Reactions
37 Replies
7K Views
Iko hivi Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei. Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote...
34 Reactions
105 Replies
3K Views
Habari mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu UDSM natafuta kazi ya kufundisha majumbani (tuition), kuanzia shule ya msingi mpaka kidato cha sita masomo ni English, kiswahili na History kwa...
2 Reactions
1 Replies
121 Views
If you are confident in your ability to carry out the job, please check the person.
1 Reactions
3 Replies
206 Views
Wapendwa habari ya kazi? Poleni na majukumu ,nina mdogo.wangu wa mwisho wa kiume alimaliza Udsm ,geography and Environmental degree yake akamaliza 2014 ,changamoto.ikawa ajira hakuna ametafuta...
3 Reactions
14 Replies
659 Views
Wanahitajika walimu wa masomo yafuatayo; 1. BOOK-KEEPING/ ACCOUNTANCY na COMMERCE - ngazi ya shahada ( Awe amesoma ualimu au Course za uchumi na Account Lakini mahiri wa kufundisha 2...
2 Reactions
3 Replies
329 Views
Wakuu kuna sehemu boss kahitaji watu wa finance na account kwa ajiri ya auditing, sasa tunafanya nahitaji kuuliza wenye experience unapomaloza auditing kuna uwezekano wa kupata ajira hapohapo...
2 Reactions
4 Replies
173 Views
Mimi ni mwalimu mwenye shahada ya elimu baada ya kujiendeleza toka ualimu ngazi ya cheti,miaka 7 kazini, baada ya kuona mambo hayaendi kabisa hapa kwenye ualimu kuna ndugu yangu kanishauri...
0 Reactions
77 Replies
16K Views
Wakuu nisaidiwe apa, course ya political science na ile ya international relations ajira ni uhakika? Af ipi uhakika kutoboa apo
3 Reactions
24 Replies
668 Views
Kwa matokeo haya! Naipongeza sekretariati ya ajira
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari, kijana wa kiume natafuta bajaji ya mkataba au hesabu iwe kwenye hali yoyote muhimu iwe inatembea. Au mtu mwenye uwezo wa kunisaidia kazi yoyote ya kufanya kwa sasa nipo dar Elimu yangu...
1 Reactions
1 Replies
191 Views
Natafuta kazi ya kuhudumia na kutunza kuku hasa kuku wa nyama, Nina uzoefu wa kutosha wa kazi hii kwa miaka mitano sasa.. Kwa yoyote anayehitaji kijana anitafute WhatsApp kwa namba hii 0788109052.
2 Reactions
6 Replies
288 Views
Wakuu nimesoma telecommunication engineering st Joseph University in Tanzania. Naomba msaada wa kupata nafasi za kazi au kufahamishwa makampuni ambayo yanatoa nafasi za internship na volunteering...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Kwa ambaye anajua hii system ya TaESA atusaidie Ni kweli inatafutia watu kazi? Au internship?
12 Reactions
575 Replies
90K Views
Kampuni ni ya nje inamilikiwa na wa Bangladesh ina miradi inatekeleza nchini hivi sasa, kwa ambaye yuko tayari ana vigezo anaweza kuomba.
1 Reactions
1 Replies
131 Views
Wadau mwenye Kujua ama kuelewa juu ya binti anayefaa Kwa Kazi Za ndani ama house girl umri 15-25 basi tuwasiliane. Mahali Ni DAR Ila malipo ama mshahara Ni suala la maafikiano ya Pande mbili...
1 Reactions
2 Replies
167 Views
Na uhitaji wa haraka sana wa kijana wa Ulinzi katika ofisi yangu. Vijana wawili watakao kuwa wanaingia kazini saa 3 usiku na kutoka saa 1 asubuhi. Majukumu ni ULINZI wa Mali zinazolala Nnje ziwe...
5 Reactions
42 Replies
914 Views
Salaaaam wana JamiiForums Habari wakuu nina uhitaji wa kazi au nafasi ya uhasibu.. Nimehitimu shahada ya bank na fedha kutoka IFM.. 2023 Nimefanya intern ya uhasibu, kwa miezi nane kwenye...
1 Reactions
15 Replies
696 Views
Wakuu kama kuna yeyote aliyewahi fanya kazi za security au anayejua mazingira ya kazi za security maeneo ya Dubai na Oman anipe mrejesho maana kuna dili nimepata huko ili nijue kama pananifaa au laah
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom