Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari za Mwezi February wana-JF.!! Ndugu yenu Nina changamoto ya Kodi, chakula (kwa mtoto na Ndugu zangu tegemezi na kwangu binafsi). Naombeni mwenye kuweza kunisaidia kupata kibarua cha namna...
2 Reactions
5 Replies
605 Views
Habari Wananzonde jukwaani Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote ...
7 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari wana jukwaa, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 NATAFUTA KAZI yoyote ya halali owe Viwandani, Madukani, Makampuni n.k Elimu yangu kidato cha nne Fani WELDING (UCHOMELEAJI) NAOMBENI...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Three main types of jobs are Permanent Jobs, Temporary Jobs and Contract Jobs. Most of people go through more than one type of job during their lifetime. One is always in pursuit of a dream job...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Greetings, My name is Harrison Munuo, a 28 years old . A holder of a bachelor degree in Education(IT& Geography). I'm seeking for an employment opportunity on any field that my particulars fit. I...
2 Reactions
4 Replies
584 Views
Nasikitika kwamba uzi wangu wa US ambassador's self help fund ulifutwa sikuelewa sababu ni zipi. Nimepata lawama sana juu ya uzi huu nimeurudisha tena uzi huu. Vijana wenzangu ninawapenda sina...
0 Reactions
2 Replies
669 Views
Anahitajika mfamasia aliyepo mkoa wa DSM ili atumie cheti chake kufungulia pharmacy, mshahara kwa vile biashara inaanza ni laki7 kwa mwezi ila kadri biashara inavyokua kubwa utaongezwa huo...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Habari, naomba kuuliza mshahara wa tutorial assistant kwa vyuo vikuu ni shilingi ngapi? Pia naomba kujua mshahara wa Tutor wa VETA ni shilingi ngapi?
1 Reactions
65 Replies
16K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juuu.mnadhana mmewah kuskia hii kazi za unv wenyewe wanaziita volunteer assignments Mm kuna moja nmeomba nmetumiwa email nmeaambiwa "profile imekuwa submitted to...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji John Masunga, atangaza nafasi za kazi kwa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
1 Reactions
52 Replies
13K Views
MSAADA UNAHITAJIKA Kwanza kabisa niwape pole kwa shughuli zenu za hapa na pale. Mimi nimefanikiwa kubadilishana na Mtu wa Kaliua mkoa wa Tabora. Kwahiyo mda sio mrefu nahamia Kaliua. Tatizo...
0 Reactions
4 Replies
619 Views
Orodha ya majina walioitwa kwenye usaili wa ajira konstebo 500 haya hapaaa Ndugu zangu
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Inakuaje wazee? Mwenye experience ya interview za utumishi kada za auditor II pale NAOT na Loan officer II HESLB atuwekee hapa tujiandae.
4 Reactions
365 Replies
48K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika Msikiti wa Shifaa Mwembetanga, Wilaya ya Mjini, Unguja. Alhaj...
0 Reactions
4 Replies
358 Views
Je wewe ni kijana mwenye nguvu, mchapakazi, mbunifu na mwaminifu? Anatakiwa kijana wa kiume atakayeweza kufanya kazi za bustanini. Piga simu sasa ukiwa na barua ya mdhamini wako mwenye kadi ya...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarini wakuu mm ni kijana
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Kuna mabinti watatu wanatafuta kazi Umri ni miaka 21,20,18, Elimu kidato cha nne, Wanauzoefu wa kutosha na kazi zote za nyumbani. Mimi nafahamia na binti mmoja huyo wa miaka 21, hao wengine ni...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Jinsia (Ke) Amesoma Diploma in Pharmaceutical Science kutoka chuo cha Kilimanjaro School of Pharmacy Registered with the Pharmacy Council of Tanzania (Ana leseni) Ana uzoefu wa kazi kwa mwaka...
2 Reactions
7 Replies
992 Views
Habari, mimi ni Pharmtech Tech., nina liseni, nilikuwa nahitaji kazi. Naishi Dar es Salaam-mwenge, pia naweza fanya kazi as full time, part time and night shift. Napatikana kwa number...
1 Reactions
4 Replies
874 Views
Back
Top Bottom