Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari za wakati huu, suala la kusaka ajira za serikali haijawahi kuwa jambo rahisi kwa wale ambao hawana kazi hata wale ambao wapo kwenye private ila wanataka kuingia serikalini kwa ajili ya...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu. Jana nilikuwa na interview katika Kampuni fulani ila nimekuwa so disappointed baada ya kuulizwa sikujua walikuwa wanakusudia nini? Umezaliwa wapi? Kabila gani? Nani alikushawishi kutuma...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Msaada wakuu kwenye "oral interview" kuhusu majina ya vyeti Vyeti vya shule majina yanasoma; Jakaya Mrisho Cheti cha kuzaliwa na NIDA ID majina yanasoma; Jakaya Mrisho Kikwete. Ushauri wakuu...
0 Reactions
2 Replies
491 Views
Wakuu, Naomba kuuliza kama Tanzania kuna ma agent wa kazi za nje ya nchi. Shukrani.
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Habari wana ndugu, natumaini mpo salama kabisa na Bwana anazidi kuwabariki katika shughuli zenu za maisha ya kila siku. Kuna ndugu yangu ana magari mawili, moja ni Hiace na nyingine ni Tata...
0 Reactions
1 Replies
482 Views
NAFASI YA KAZI Habari, mtu yoyote ambaye amesomea au anajua masuala ya kudispense madawa (Duka la Dawa) aje inbox ASAP. Duka lipo Ubungo Kibangu. Conditions 1. Awe wa kike na Awepo Dar es...
0 Reactions
3 Replies
465 Views
Naomba ufafanuzi kuhusu hili ivi mfano Diploma umesomea procurement and supply na Umasha upload vyeti vyako ajira portal Alafu degree ukasomea accounting na vyeti uka upload ajira portal Je...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, mimi kijana mwenye elimu ya kidato cha nne. Naomba mnisaidie mtu yoyote mwenye uhitaji wa kufanyiwa kazi kama vile: 1. Kunituma kutoka sehemu 1 hadi nyengine...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Nitaenda moja kwa moja kwenye mada, natafuta mtu ambaye nitashirikiana naye katika biashara ya uchenjuaji wa marudio ya dhahabu. Marudio yapo maeneo ya Morogoro, marudio...
10 Reactions
60 Replies
4K Views
Greetings, My name is Gozibati Bayona, a 24 years old. I seeking for an employment opportunity in any related field that my particulars fit. Education level: Bachelor degree in Business...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Wakuu maisha ni safari ndefu na kuna mapito ila usiombe yakukute. Hapa nilipo nimefanya kila kitu kwa kutumia akili yangu na ujanja kama mwanadamu lakini mpaka leo sina ajira. Nilipopoteza kazi...
39 Reactions
159 Replies
10K Views
Habari, Naomba graduate wa sheria ataeweza kufundisha mwanafunzi wa Sheria Open University kwa njia ya mtandao tuwasiliane whatsap number +919535742292 (whatsap tu) kujadili utaratibu mzima...
0 Reactions
6 Replies
437 Views
Habari, Natafuta kazi ya kupika vitafunwa na chakula kwa ujumla Naishi Dar, naombeni msaada wenu.
2 Reactions
13 Replies
950 Views
Naitwa zaza Nina Miaka 23, Natafuta mke wa kuishi nae uchumba hadi ndoa, Umri asizidi miaka 25, , hofu ya Mungu kwake ni kipaumbele kwangu, awe mpambanaji na mwenye kujiheshimu. Seriously upweke...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
Kama uzi unavojieleza natafuta mdada wa kuniuzia duka langu la vinywaji kama nilivoainisha hapo juu🙄. Duka ni la jumla na reja reja lipo maeneo ya tabata muslim hapa jijini dsm. Sifa za...
1 Reactions
6 Replies
999 Views
Wiki iliyopita Jumaanne ilikua ni deadline kwa nafasi za Technicians pale Princess Casino Kuna yeyote humu kashapokea simu ya kuitwa kwenye usaili ? #Wasiwasi ndo akili
0 Reactions
1 Replies
409 Views
Habari wakuu. Hadi kufikia leo hii nimeshafanya interview kama tatu hakuna niliyopata. Wiki hiki hii ninayo nyingine. Hebu wanabodi mje mniambie nakosea wapi. Maswali matatu niliyokutana nayo...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
- Tangazo la kazi huandaliwa kwa kuzingatia sifa kwa mujibu wa Muundo wa kada husika uliowasilishwa na Mamlaka ya ajira husika. - Tangazo pia huzingatia masharti ya jumla yanayotolewa na...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu!! nauliza hapa kama kichwa cha ujumbe hapo juu, Matokeo ya usaili wa kuandika uliofanyika tarehe 14 january katika kanda tofauti tofauti yametoka au bado? natafuta sioni..labda kuna...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa sasa nafanya kazi sehemu nafikiria kuhama kabla ya kuhama naombeni mnishauri jamaa mishahara yao imekaaje kwa hawa jamaa
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom