Mimi nimuhitimu wa kozi ya afya (diploma in pharmaceutical sciences)city college dar es salaam nimemaliza mwaka jana pia nina Leseni ya pharmacy council..nilikuwa naomba either nafasi ya kufanya...
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s Central Bank is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant...
Habari zenu ndugu zangu poleni na majukumu nilikua naomba kufahamu interview za written zinakuaje utumishi upande wa electrical technician ikiwezekana na baadhi ya maswali ambayo huulizwa...
Ninauzoefu usiopungua miaka mitatu katika utengenezaji wa vipindi vya televisheni kama vile matukio kama harusi,mikutano,makala na talk shows .
Nina elimu ya chuo kikuu.
Nina weza kushoot events...
Nimeona katika taasisi nyingi sana Maafisa Utumishi wamekuwa na tabia ya kuingiza makato kuchangia vyama vya wafanyakazi bila ya idhini ya mwanachama.
Hii imekaaje Kisheria kwa wale wajuzi...
Najua huu ni wakati wa job hunting kwa wahitimu wengi. Moja ya hatua muhimu za kupata ajira ni kuitwa kwenye usaili yaani interview.
Kujiamini wakati wa usaili ni jambo la msingi na ambalo lazima...
Date: 23rd January,2023
Invitation for Tenders
1. This Invitation for Tenders follows the General Procurement Notice for this Project which appeared in TANePS Issue No.446 dated 14Th...
Bellow are the Common Job Interview Questions
1. Tell Me About Yourself
This is probably the most-asked interview question, and there is a reason for that. The answer to this question really...
Kazi: Msimamizi wa Ofisi
Mahali: Moshi - Kilimanjaro
Majukumu
Kusimamia shughuli za ofisi
Kutunza hesabu za ofisi
Kufatilia mambo ya ofisi kwa wadau mbalimbali
Sifa
Elimu ya kidato cha sita...
Hawa watu wanapenda sana kitonga, yani wanataka ufanye kazi kubwaaaa kwa ujira mdogo.
Sio hivyo tu pia wana tabia ya kufanyisha watu kazi masaa mengi bila kulipa overtime.
Kama unafanya nao kazi...
Kijana mtaalam wa kutengeneza na kuandaa kuku choma, lemon, sekela, na Aina zingine za kuku,
Pia mwenye utaalamu mkubwa wa kuandaa na kutengeneza chips Kali, mzuri,
Na kuandaa Yale...
Anaitajika mwanamke mmoja tu
Eneo la kazi ni Kariakoo Mtaa wa aggrey na Ndanda dukani/kwenye kampuni sanga kariakoo
Kazi yake ni kutengeneza matangazo madogo madogo na kuendesha account za ofisi...
Kilio cha connection kimekua kikubwa sana huku mtaani kiasi kwamba ishaaminika ndio njia ya uhakika kupata ajira mpaka kupekelea baadhi ya watu ambao wanashikilia vitengo vizuri uko maofisini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.