Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wakuu Mimi ni kijana ninaye jishughulisha na udereva mtandaoni hapa jiji Dar es Salaam . Nahitaji gari la hesabu kwa ajili ya kufanyia kazi. Mawasiliano 0656539177
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Habari, Je, kazi au wajibu wa AFISA TAWALA DARAJA LA II ni upi? Msaada
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Nadhani ni kuanzia mwaka jana serikali kupitia TAESA wamekuwa serious kuwatafutia vijana sehemu za kujitolea wakiwa kama interns. Za chinichini ni kwamba hawa vijana hawawezi kuachwa ajira...
7 Reactions
30 Replies
17K Views
Naitwa Edson Joseph malingumu natafuta kazi ya salon upande wa nail artist, pedicure & mancure. Kwa sasa naishi nchini uganda ndo nako nafanyia kazi Ila naitaji kurudi nchini kwangu. Nina uzoefu...
0 Reactions
1 Replies
570 Views
Habari wana jukwaa Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 Fundi welding napatikana dar es salaam, Mbagala natengeneza :- Milango Madirisha Vitanda Anger N.k wanajukwaa Naomba KAZI Kwenye Ofisi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wa ndugu, Mimi ni kijana wa miaka 29 nina degree ya ICT na pia nina advance diploma in education na nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka minne sasa kwenye shule fulani ya serikali hapa...
6 Reactions
39 Replies
5K Views
Wakuu, Fursa hiyo,wenye sifa tajwa tuchangamkie
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Habari wadau,nahitaji kufahamu kazi na majukumu ya afisa biashara selikalini.Mwenye uelewa anijulishe kwani nipo njia panda sielewi.. Natanguliza shukrani..
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mwenye Mwanga kuhusiana na nini cha Kusoma..Maeneo ya kuyapitia kwenye interview ya hii kada itakayofanyika apo siku za usoni.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari, Kama kichwa kinavyo sema hapo juu, mimi ni kijana nina miaka 26 elimu ya stashada ya maendeleo ya jamii kwetu ni mtwara kwasasa nipo Dodoma, Ujuzi nilio nao tofauti na elimu yangu: ...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
walioitwa REA kufanya interview tujuzane abc hapa naomba kuwasilisha
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Mimi naanza na ; Tanzania People's Defence force (TPDF) established? Ans: 1964
1 Reactions
83 Replies
16K Views
Habari wadau wa ajira, Naomba kuuliza hivi mtu akikuambia umpe CV yako yaani Curriculum vitae ana maanisha hiyo CV na vyeti au unaweza kutuma CV pekee yake?
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye Mwanga kuhusiana na nini cha Kusoma..Maeneo ya kuyapitia kwenye interview ya hii kada itakayofanyika apo siku za usoni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau wa ajira,. Naomba kuuliza hivi mtu akikuambia umpe CV yako yaani Curriculum vitae ana maanisha hiyo CV na vyeti au unaweza kutuma CV pekee yake?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana jamvi! Naomba mwenye ufahamu kuhusu TaESA anieleweshe, mimi nimeomba internship kupitia TAESA toka tarehe 29/11/2022 lakini mpaka saivi bado sijaitwa kwenye interview je nifanye nini...
4 Reactions
20 Replies
5K Views
ABOUT ME - Bachelor's degree in Education, majoring in Linguistics and Literature - Strong writing skills and expertise in content creation - Proficient in Microsoft Word, Excel, and PDF...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomben kujua mtu anayefahamu chochote kuhusu suma jkt electrical company dodoma wanapatikana wap.
1 Reactions
4 Replies
505 Views
Wakuu tusaidiene anae fahamu maswali ya Afisa utumishi tafadhari amwagike tunifunze wote
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom