Kuna nafasi za kuhamia kwenda awura kwa taasisi za serikali...
Wadau naomba kuuliza pale EWURA kwa INTERNAL AUDITOR II mashahara pamoja na posho makadirio sh. Ngapi?
Ahsante
Habari wakuu,
Naitwa Innocent Swai ninaishi Morogoro Mjini, Nimesoma Bachelor degree of Arts with Education.
Nina umri wa miaka 26.
Niwe mkwel sichagui kazi ilimradi tu iwe ya halali ijapokuwa...
Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta
Vigezo
Awe mkazi wa Arusha Mjini.
Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
Awe anajua vizuri spea za kompyuta na desktop na jinsi...
Jamani salama humu jamvini,
Mimi ni kijana niliyemaliza chuo jana, taaluma yangu ni umeme ngazi ya level 2. Sasa leo kuna jamaa akanipa wazo kuwa kazi itakayonilipa vizuri ni kazi ya Ubaharia...
Habarin wana JF,
Leo nmejaribu kuingiza particulars zangu nikakumbana na changamoto nikiingiza namba ya form4. Yaani wananiambia Necta particulars doesn't match.
Sjiu shida ni nini maana NIDa...
Nawahitaji mawakala wa mauzo kwa mkoa wa Morogoro na Wilaya zake zote.
Bidhaa Ni JikoKoa, Aina ya majiko ya kisasa yanayopunguza matumizi ya mkaa kwa hadi 70%.
Majiko Ni mazuri na yanapendwa...
Wakuu karibuni kwa finishing nzur za nyumba na za kisasa Kama wallpaper ,silkoat ,drewa,decoo,,moulding ,wall panel ,camsilver,wall master ,cotton paint belka ,skiming na rangi za kawaida za...
Naomba kufahamu kama sio kujua.. kuhusu interview za Tutorial assistance zinakuwaje mfano Tutorial assistant ya Community based conservation maswali yanavyoulizwa msaada tafadhali walau nipate...
Kama mada inavyojieleza hapo juu, leo imebidi nitenge muda wangu kidogo kuongelea vitu muhimu vinavyotakiwa ili uweza fanikiwa kuwa shortlisted utumishi katika interview zote bila kukwama. Kama...
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kuuliza kwa mtu aliyewahi fanya usaili au paper kada ya TRANSPORT OFFICERS natahitaji kujua maswali wanayotoa yanabase upande gani? au kama unayakumbuka tupia...
Kijana wangu aliomba nafasi ya Afisa utalii hii ni Baada ya kutangazwa, akaweka kila kichohitajika isipokuwa picha ikakataa ku upload.
Nilifika ofisi za skretariati ya ajira Dodoma wakaweza...
Ndugu zangu nipo Kahama hapa mambo yameniendea ovyo kabisa. Nimepoteza mtaji wote katika biashara za kimachinga sina hata nauli ya kurudi Mbeya nilipotoka kuja hapa KAHAMA.
Natafuta kazi yoyote...
Habarini ndugu zangu wa JF natumahi nyote ni wazima! Tafadhali naombeni ushauri juu ya hiki kisa changu.
Mimi ni mtumishi mpya wa serekali ,nafanya kazi taasisi A ambayo haiko kwenye mfumo wa...
Hello! Wana JF.
Anahitajika afisa masoko na mauzo kwa ajili ya biashara ya vifaa vya keki na upambaji wa keki. Maombi yapo wazi kwa jinsia zote ila wanawake watapewa kipaumbele. Tangazo kamili...
Habarini za usiku wadau,
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza PSRS kwa hatua ambazo wamechukua juu ya maoni yetu sisi wasaka tonge.
Kwan jion ya leo nimejaribu kuingia kwenye tovuti yao...
Wakuu kuna haka kausumbufu ka kupokelwa kituo cha kazi baada ya kupangiwa na PSRS natole mfano kwa taasisi ambayo nilibahatisha ya JKCI sijajua huko kwingine.
Leo ni zaid ya siku kumi na nne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.