Habari wapendwa,
Kama kichwa cha habari apo juu.
Nilikuw na changamoto kwenye majina cheti cha form four
Nida
Chuo
Naomba ushauri kipi nibadilishe kati ya ivyo juu au kipi nichukue kiapo ili...
Requirements to the employee: Must know English, have an android phone and a desire to work and learn.
The employee must be from the city of "dar es salaam" and must be able to move freely around...
Wadau naomba kuuliza aliewahi fanya kazi kwenye hii kampuni ya usafi ya SPIK N SPAN. Nataka nipeleke maombi yangu. Kuna mdada mmoja kanambia nipeleke barua sasa kanitajia viambata vingi hadi...
Mambo zenu wakubwa,
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Mimi ni kijana mwezenu nina shahada ya fizikia na kemia. Shahada yangu nilifaulu vizuri sana kwa GPA ya 4.
A-level nilifaulu vizuri...
Adui wa msomi ni msomi
Kwa walio na degree za UDOM na UDSM ni kazi Sana kupata kazi kwenye taasisi ambazo wakuu wake wamesoma nje ya hivyo vyuo au Wana Diploma. Nafikiri labda huwa wanahofia...
Anahitajika matron wa nje na ndani wa primary shule iko Mbweni usaili utafanyika jumatano saa 2:00 asubuhi kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0623092982
Naitwa Andrew Timothy natafuta nafasi ya kazi ya kufundisha fani ya Secretarial.
Nina uzoefu wa miaka miwili katika ufundishaji katika masomo ya Shorthand, Hatimkato, Secretarial Duties, Office...
Habari wakuu
Tafadhali kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata fursa ya kazi iwe katika taasisi, kampuni au biashara yake au kwa mtu mwingine anayemfahamu nitashukuru sana.
Nina uzoefu katika...
Mimi ni mdada, mwenye uwezo wa kazi za receptionist, secretary, office attendant, Assistant administrator, Matron na pia ata storekeeper na hata mikoani naweza relocate Msaada
Habari wana JF wenzangu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nipo dar natafuta kazi halali ya kufanya ili niitunze familia yangu pia nina uzoefu na kazi za magari lorry basi daladala
Nina...
Kitaaluma Mimi ni Daktari wa mifugo, vet. kulingana na changamoto za mtaji ili niweze kujiajiri nafkiria kuomba mkopo halmashauri Kama million 5 hivi, kwa ajili ya kilimo na ufugaji, vitu gani vya...
Ndugu habarini.
Nina kamgahawa kangu.
Nahitaji kijana wa kike au kiume kwa kazi ya mgahawa. Mwenye uwezo wa kuchoma chapati zilizochambuka (zisizo na mafuta mengi), mwaminifu, itapendeza zaidi...
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma hivi karibuni inatarajia kuendesha usaili wa kuandika kielektroniki. Hivyo imeandaa mikutano ya kukusanya maoni na mahitaji ya mfumo wa kieletroniki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.