Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
wakuu kama mnavyofahamu unapoitwa katika usahili utumishi matokeo hutolewa na kila mmoja huwa ana mbinu yake ya kuyapokea sasa leo hii. Hebu tupeane mbinu ya kuyapokea matokeo maana kama...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Wadau wa udereva na madereva walioitwa na ambao hawajaitwa kwenye mkeka wa TRA. Written interview itakua jmosi 17dec, wadau naomba tuunde group discussion tujadili possible questions (whatsapp...
3 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari za humu wadau, Naombeni ushauri juu ya hili, ndugu ni mtaalam wa ICT Programming position mtumishi wa umma amepata invitation ya kushiriki katika kutengeneza mfumo kutoka kampuni ya...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba kujuzwa bei ya mipira imara ya kuunganisha kwenye bomba la maji kwa ajili ya kujaza tenki la maji na vyombo vingine na mahali naweza kuipata kwa Dar es salaam hasa katika maeneo ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari naomba kuuliza Hawa ndugu zetu Dnata wanachukua mda gani kuita watu kwenye Interview maombi tulituma tokea December 5 Mpaka sasa kimya.
1 Reactions
4 Replies
898 Views
Ana hitajika mfanya Kazi wa ndani. Eneo la Kazi ni Comoros Kazi yake kubwa itakuwa kuwaangalia watoto wakati mama yao amesafiri. Mshahara kwa mwezi laki 3 Ticket ya ndege na gharama za passport...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Naomba niende direct kwenye point. Mimi ni mmojawapo niliefanya interview Wizara ya Ardhi kada ya Afisa Ardhi nikafika hadi oral, na nilikuwa miongoni mwa tunaosubiri placement maana tangu...
12 Reactions
112 Replies
14K Views
Habari za weekend? Mimi ni msichana Naombeni kazi ya kufanya usafi Nyumbani, restaurant, bar shuleni,ofisini na kwingineko Napatikana Dar es salaam ukinihitaji karibu pm pia nafatilia comments
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Saludo, Kila siku naendelea kumshukuru Mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zipo but all in all namshukuru...
9 Reactions
58 Replies
4K Views
Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta Vigezo Awe mkazi wa Arusha Mjini. Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta. Awe anajua vizuri spea za kompyuta na desktop na jinsi...
3 Reactions
13 Replies
635 Views
Habari za jioni, Nipende Kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uzima aliyoweza kunipatia. Nikirudi katika mada ni usiku wa manane usingizi umekata kijana Mtafutaji nikiwaza hali ya maisha inaendaje...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari!! Natafuta kazi ya kufanya kama muuguzi na mkunga nina diploma level kwenye hospital au dispensary sehemu yoyote kati ya kwanza, Shinyanga au Kahama. Mwenye connection anisaidie tafadhali
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Rasha rasha imeanza Bado mvua yenyewe ( tax na customs). All the best mlofanya vizuri
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimatumaini yangu JF wazima wa afya tele. Ningependa kuchukua nafasi hii kuwatangaa nafasi ya kazi kwa wakazi wa Dar es salaam. Mtu mwenye uzoefu na maswala ya ngozi (esthetician)...
0 Reactions
6 Replies
641 Views
Habr zenu wadau,km kichw knavojieleza hapo, kuna kaz ya usafi nataka niombe wa ktk vigezo vyao wanasema niwe na TIN number,kwhyo nawauliza wadau kwa yyte anaejua inakopatikana!! Na mchakato wake...
0 Reactions
7 Replies
727 Views
Ndugu zangu nahitaji dada wa kazi za ndani familia ya watu watatu, baba mama na mtoto wa miaka 4 mshahara 70k. Nipo Kimara Dar. Nipigie 0626097783.
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Yani leo katika pitapita zangu mtandaoni na ujobless wang nikasema ngoja nichungulie huku utumishi aisee hakuna tangazo la kazi hata moja aisee vijana tujiajili tu au tucheki private sector huku...
0 Reactions
7 Replies
659 Views
Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta Vigezo Awe mkazi wa Arusha Mjini. Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta. Awe anajua vizuri spea za kompyuta na desktop na jinsi...
0 Reactions
12 Replies
799 Views
Mwenye mahindi anayepatikana Mkoa wa Tanga tuwasiliane tuweze kufanya biashara. Ni mradi wa muda mrefu maana ni taasisi. Mm nina wateja wanaohitaji unga mwingi na nina mashine zangu za kusaga na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta dereva makini na mzoefu mwenye ujuzi na uzoefu njia ya kwenda Moshi achukue familia yangu tarehe 23 Desemba aipeleke Himo awaachie gari arudi DSm akitaka au aende Moshi. Wife anataka...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Back
Top Bottom