Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
JOB HUNTING TACTICTICS Kijana wa kiume unaetafuta kazi bila mafanikio usiache kupitia hii post. Wanaume muda mwingine muache kuandika CVs ovyo ovyo Sometimes Save some money. Shiriki kwenye hizi...
18 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi ni kjana mwenye miaka 30+, nimekuja Dar kutafuta maisha kutokana na hali niliyokutana nayo mkoani. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ile ya halali nijikwamue kiuchumi. Elimu yangu ni diploma.
1 Reactions
8 Replies
726 Views
VACANCIES RECRUITMENT OF 19 REGIONAL POSITIONS RECRUITMENT OF 19 REGIONAL POSITIONS Closing Date Fri, 10/28/2022 - 12:00 Background The Southern African Development Community (SADC) is a...
6 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari wakuu. Naomba mnisaidie kazi Elimu yangu Diploma Nursing and Midwifery. Uzoefu wa miaka miwili Hospitali na Mashirika. Nje na Fani. Nimefanya biashara na kusimamia biashara za watu...
3 Reactions
4 Replies
572 Views
Tunazaliana usiku na mchana ila nashangaa eti walimu hawana kazi, Nchi inachekesha sana Mzungu ana watoto wawili ila walimu hawatoshi pamoja na jitihada za serikali, ila sisi Tangazo la kazi...
0 Reactions
2 Replies
409 Views
Habari sana wakuu! nakuja katika jukwaa hili kuuliza suala nililolitaja hapo juu katika anuani ya ninachotaka kuuliza. Mimi niliombewa kibali na mwajiri wangu kwa katibu mkuu utumishi baada ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Many greetings to everyone. We are currently looking for Software Developers in Africa. We welcome applications from all African countries. Consideration will be placed on a...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa, naomba kama kuna mtu anafanya kazi ya uhasibu kwenye kampuni za mabasi makubwa anisaidie ndio nmemaliza chuo, nimefanikiwa kupata kazi ila sina mtu wa kunielekeza. Boss...
10 Reactions
119 Replies
8K Views
Habari wakuu, Huu ni uzi ambao wadau wanaweza kuweka uzoefu wao ilikuaje siku ya kwanza kuingia kazini? Ulifika kazini muda gani? waliompokea walikuaje? Mambo yapi yalikufanya uzoee mazingira ya...
7 Reactions
48 Replies
5K Views
Habari wakuu, Naomba ushauri kidogo, kwa upande wako unashauri nini? Kazi mkoani (iringa) kwa mshahara wa take home ya 1M au kazi ndani ya dar es salaam kwa take home ya 700k. Yote ni makampuni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mzuka, Kindly refer the heading! Mimi John kimario kalungeyeye natakufa kazi yoyote Ile wakuu mimi ni mhitimu master degree in business administration kutoka chuo cha st. Stewart University cha...
1 Reactions
7 Replies
651 Views
Habari uwaungwa naombeni msaada wa kujaza hii form
1 Reactions
3 Replies
356 Views
Shule ya Nzivi Green Star English Medium primary school iliyopo Mufindi-Iringa, inatangaza fursa ya ajira za ualimu. 1. Nafasi mbili za walimu wa hisabati na sayansi. 2. Mwalimu mmoja wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Kuna dereva wa kike anatafuta gari kwa ajili ya biashara ya bolt/Uber/paisha etc Leseni yake ni daraja D ana uzoefu mkubwa wa kuendesha hapa dar es salaam. Ni mstaarabu na na mtunzaji...
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Habari Wana JF. Natafuta mtu mzuri kwa ajili ya Masoko, Mimi n mfanyabiashara Nina kampuni yangu inajihusisha na ku supply bidhaa za chakula Kama unga, Maharage, Mchele, Mbogamboga, Matunda n.k...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
RFP: Salesforce Support Partner January 2022 Who We Are Girl Effect is a non-profit that builds media that girls want, trust and need – from chatbots to chatshows and TV dramas to in-person...
0 Reactions
1 Replies
515 Views
Kutokana na janga ya COVID-19, nchi nyingi zimefungua mipaka yake kwa wafanyakazi sekta ya AFYA kupata ajira, lakini Kutokana pia na changamoto za kutopata taarifa sahihi, tunashindwa kujua wapi...
7 Reactions
41 Replies
8K Views
Naomba msaada kwa wale amba walishafanyaga interview Tanroads nafasi ya Weighbridge Shift Incharge.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada mwenye connection na shule yoyote naweza fundisha nitashukuru hata kwa kujitolea ili mradi niwe napata posho kidogo haijalishi private au government, pia iwe secondary au primary...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau napenda kuuliza barua za kazi kwa hawa jamaa wa uhamiaji tunatumia lugha gani sababu tangazo lao naona lipo kwa lugha ya kiswahili. Je nikiandika kwa lugha ya kiingereza inaweza kuwa na...
1 Reactions
20 Replies
29K Views
Back
Top Bottom