Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kichwa cha habari chajieleza inahitajika anayeweza andaa loan proposal kali amcheki muhusika whatsapp 0658285874 na ofa yake.
1 Reactions
4 Replies
417 Views
Nilifanikiwa kukutana na bosi ya skretarieti ya ajira,.alinipa Siri ya maswali ya mitihani wanayotoa kwa Sasa! Moja ya Maswali wanatoa kwenye "head job tittle" Mfano; Agric tutor-crop science...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Wanahitajika walimu wawili wenye uwezo wa kujaza nafasi zifuatazo: 1. Mwalimu wa somo la kiswahili mwenye uwezo wa kufundisha darasa la 3 mpaka la 7 Sifa: awe na diploma au degree, mwenye uwezo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I have recently graduate at Mzumbe university taking Bsc in Production and operations management and i currently looking for job opportunities or internships. As the production and operation...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anahitajika declaration clerk mmoja na operation officer wa kiume... Wawe wazoefu na Kaz sio wa kuelekezwa... Ajue kutoa magari bandarin, loose cargo na container. Atakaeingiza documents kwenye...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Naombeni kujua tuliokwisha kuwahi kushiriki interview za oral ya Tax management officer 2 maswali yepi huwa wanatoa na yanakua mangapi na unatumia takriban muda gani kuhojiwa? Ivo
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari za wakati huu nduguzangu, nisiwachoshe ngoja niende moja kwa moja kwenye maada. Mimi ni mhitimu wa elimu ya afya katika Chuo cha Afya Kigoma 2022, level ni (CO) Clinical Officer, naombeni...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari! Naitwa Nazaely Shani natafuta shule ya kufundisha profession ni mwalimu wa Chemistry na Biology olevo hadi advance. Check me 0743303233 au 0673803233
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kumekuwa na tabia kama sio utaratibu wa nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania kutangazwa kwenye vyombo vya habari bila kutaja idadi ya nafasi zinazohitajika. Je, kuna siri au ubaya gani kama...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari Ndugu zangu, Nimekuja katika hili Jukwaa kuomba Msaada wa Kazi yoyote. 1- Specific Mission 2- Temporary 3- Permanent Nina taaluma nyingi nitazigawa kwa makundi mawili. 1- Social studies...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Job post (kwa haraka) 1. Bar Counter (02) 2. Wahudumu Location; KIMARA TEMBONI 0747160772
0 Reactions
1 Replies
479 Views
Job post (kwa haraka) 1. Bar Counter (02) 2. Wahudumu Location; KIMARA TEMBONI 0747160772
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Habari wakuu, Naitwa nurman nimemaliza Automobile engineering chuo Cha taifa Cha usafirishaji nit naweza. Motor...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko, Rudia kichwa cha habari hapo juu. Anahitajika msaidizi wa kike ambae sharti awe anaishi Kigamboni. Eneo la biashara ni Mikinda kwa Wapemba na Wamakonde. Maelezo zaidi inbox.
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Natafuta walimu wa hisabati kupitia mtandao wa zoom. Wanaoweza kufundisha kuanzia kidato cha kwanza na zaidi
0 Reactions
3 Replies
470 Views
Habari zenu, Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi Morogoro nimesomea mambo ya manunuzi na ugavi. Nina uwezo wa kufanya kazi tofauti na nlichosomea. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
319 Views
Habarini wana JamiiForums Ninatafuta kazi za ndani kwa yeyote ambae atahitaji mdada wa ndani ninapatikana Malipo kuanzia laki Asanteni
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni mhitimu wa chuo cha kati, nina diploma ya maendeleo ya jamii. Naombeni mnisaidie kupata connection ya ajira yeyote ile ambayo ninaweza nikafiti kutokana na elimu yangu, napatikana dar na...
1 Reactions
5 Replies
838 Views
Habar zenu ndugu nina swali kuhusu kuwekwa kwenye database baada ya interview kwenye private sector. Iko hivi, mtu kafanya interview baada ya mchujo akawa amefaulu interview ila akaambiwa kwa...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Back
Top Bottom