Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Naitwa Goodluck nina umri wa miaka 3, nimesoma NIT kozi ya Advanced Driver's Grade Two-VIP. Nina uzoefu wa miaka 4 katika kazi ya udereva na nina endesha gari za aina zote. License Class A, A2...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama Unaenda usaili wa utumishi hakikisha,una ID YOYOTE,COPY AU NAMBA YA NIDA HAZIFANYZI KAZI,UTAPOTEZA PESA NA MUDA WAKO BURE
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye paper ya written ya Assistant Tax Management officer huko sekretarieti ya Ajira yaweke hapa tujadiliane.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naitwa Khalifa Nassoro ninaishi Kitunda-Banana, Dar es salaam. Nimesoma Bachelors degree in Accounting and Finance (BAF) chuo kikuu Mzumbe, Morogoro 2021. Nina umri wa miaka 25...
2 Reactions
3 Replies
563 Views
Mpo wanajf. Kuna ndugu yangu ataka kuomba ajira za polisi si unajua njaa Kali! Amepita JKT akamaliza mkataba. Karudi kwao. Amesoma Hadi chuo Sasa anakosa usaidizi wa namna ya kuomba coz anasema...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Accountant Location: Dar es Salaam, Tanzania Company Description: Poltan Africa Limited is a leading provider of rental services for heavy construction equipment duly registered and incorporated...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu naomba kuuliza naweza kutumia transript ya chuo katika kuapply ajira za upolisi zilitoka 2022 Note nimemaliza chuo mwaka huu kwaiyo vyeti bado
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujua mshahara wa Lead generator kwa bank ya NBC
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya kutangaza nafasi za uakala wa mauzo ya kuuza majiko ya gesi ya kampuni ya M Gas tumepokea simu nyingi kila mmoja akitaka kuijuinga. Tumeona tuweke sawa hapa ili kama hauna kigezo au...
0 Reactions
0 Replies
974 Views
POST SECURITY ASSISTANT – 5 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION LEGAL EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Mambo vipi au niseme good evening. Ninatafuta kibarua/kazi, mimi ni binti nina degree ya business management na ujuzi katika mambo mbalimbali. Kama unamjua mtu au ofisi inahitaji mfanyakazi...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu, Habari za muda huu, Natanguliza shukrani. Kuna dada anatafuta kazi. Ana Certificate ya Usecretary na Computer. Anatafuta kazi ya Usecretary au Stationery. Nimeona niliwasilishe kwenye...
3 Reactions
16 Replies
865 Views
Habar wana JF mimi ni mkemia na pia ni mjasiriamali kindly nahitaji patner wa kuanza nae biashara ya vipodozi in a large scale. Faida atakazozipata *Mi mwenyewe na design formula za vipodozi...
0 Reactions
7 Replies
500 Views
Haya kwa wenye uhitaji wa ajira mkuje mtume CV zenu, pia kwa ambao watahitaji msaada wa jinsi ya kuandika CV mseme tuwasaidie. Alafu, nawakumbusha waombaji ambao bado hawana CV zilizo ene...
1 Reactions
69 Replies
20K Views
Wakuu, Mwenye kweza msaidia mzee wangu huyu akapate mkate wake wa kila siku ,amepata pa kujishikiza ila anahitaji wadhamnini wawili mmoja mfanya kazi serikalini na mwingine kawaida Huyu wa...
0 Reactions
2 Replies
321 Views
Ndugu wanaJF, kama upo Dar es salaam na una kazi yoyote inayohitaji mtu wa kusaidia, tafadhali naomba tuwasiliane. Iwe ni kufundisha watoto(msingi na sekondari), iwe ni manual works, iwe ni...
0 Reactions
3 Replies
500 Views
Habari wana JF, Nahitaji kazi yoyote halali itakayonipatia kipato naahidi kuifanya kwa weredi. Nimesema yoyote nikimaanisha sichagui kazi napitia hali mbaya sana msaada tafadhali. Nipo Dar...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kama kichwaa Cha habari kinavo jieleza hapo juu Mimi napenda sana mawala ya ulinzi lakini nilivo jiunga kwa mujibu wa sheria mwaka2019 sikubahatika kupata nafasi ya kuendelea na mswala ya kijeshi...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello Candidates, We have 2 position at Integral Tracking Limited for fresh from school candidates. -- About us INTEGRAL TRACKING LIMITED was established in 2012 and specialized in the provision...
1 Reactions
0 Replies
435 Views
Je, nini mtazamo wako juu ya wahitimu wengi wa vyuo kupenda kuajiriwa serikalini ilhali kampuni binafsi ndio zinazoongoza kwa kulipa mishahara minono? Mtu yuko radhi kuacha kazi kwenye kampuni...
8 Reactions
83 Replies
13K Views
Back
Top Bottom