Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari, Mimi naomba kama kuna mtu humu anaweza kupata nafasi za kazi nchi za uarabuni natafuta hizo nafasi
0 Reactions
39 Replies
6K Views
An experienced business subjects teacher for both O Level and A level is available for hiring.Very proficient in Commerce Book Keeping and Accountancy for both A level and O level respectively.Now...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Natumaini wote ni wazima. Imenibidi nianzishe uzi huu nikiwa naamini baadhi ya wahusika wa Utumishi wataona na wachangiaji wengine watatoa maoni yao. Utumishi wametangaza kazi nyingi sana, ambalo...
2 Reactions
64 Replies
5K Views
Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 6, 8, 9, na 10 Aprili, 2019 na...
1 Reactions
152 Replies
21K Views
Naskia kupata ajira Garda Security saivi lazima uwe na cheti cha Chanjo ya Covid...hivi nikweli ?!!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mara ya mwisho nilipata Mtu humu akaniamini akanishika mkono na kunipeleka Porini/Hifadhini kwenye shughuli zinazohusiana na Utalii,nilijitahidi kufanya kwa uaminifu na kupata Exposure na...
20 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwa wale wenye Nia za kuifungua ofisi ambazo zinahitaji network au mifumo ya hospitalini au kufunga camera za usalama kwa majumbani na ofisini au sehem za biashara.... Naomba tuwasiliane nafanya...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Mimi nina stashahada ya juu ya utabibu (ADVANCED DIPLOMA IN CLINICAL MEDICINE) nilisoma Kenya Medical training centre(KMTC) nilivyorudi nikaenda Bugando medical centre (BMC) kusoma Certificate...
5 Reactions
43 Replies
3K Views
Kupitia taarifa hapo juu anahitajika binti wa kazi za ndani maeneo Dar es salaam-chamazi.ukiwa na uhitaji wa kazi nitafte kupitia namba hii 0757804843
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Tunatafuta watu ambao watakuwa mawakala wa bidhaa yetu ya barakoa Tuna kiwanda cha kuzalisha barakoa za upasuaji" surgical masks/ medical masks" Hivyo kama unataka kuwekeza katika biashara hii...
0 Reactions
0 Replies
421 Views
The Board of Directors of Kairuki Health and Education Network (KHEN) is looking for a qualified and well experienced Tanzanian to fill the position of Vice Chancellor (VC) for Hubert Kairuki...
1 Reactions
3 Replies
991 Views
Wadau Leo jioni zmetangazwa nafasi za kazi WIZARA YA KILIMO, Sasa changamoto ninayokutana nayo na sijafanikiwa kuitatua Hadi Sasa ni kukataliwa kuapply.. Mfano kozi yangu Mimi inaitwa "General...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Naomba msaada, m nimetoka chuo mwezi wa nne mwaka huu VETA Shinyanga. Nina cheti kizuri na nina 4 ya 28 ya kidato cha nne. Naomba msaada kwa atakayekuwa na connection hata niwe msaidizi tu jamani...
2 Reactions
16 Replies
806 Views
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu. Ninategemea hivi karibuni kuitwa kwenye interview na PSPRS kada ya ICT OFFICER(QUALITY ASSURANCE). kama kuna mtu amewahi kufanya interview ya kada hiyo...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Je, umezunguka sana huku na kule bila kupata mfanyakazi ambaye ni professional, kwenye nyumba yako au biashara zako ? Je, umesumbuka sana na labda ulipata wafanyakazi ambao wamekupa hasara kubwa...
3 Reactions
3 Replies
709 Views
Habarini wadau na wapenzi wa JF na Mungu aendelee kutujaalia uzima na neema. Mimi ni me wa kitanzania naishi Songea. Malengo yangu makubwa ni kulitumikia Taifa kupitia driving a car. Bado...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani hili suala lifikishwe Mahali Husika, Interview Imefanyika two days ago Utumishi wana Tabia ya Kutoa Majina ya watu waiofanikiwa kuitwa Oral Interview Usiku....ambapo mtu wa mikoa ya Mbali...
7 Reactions
58 Replies
5K Views
Wakuu habari.... . Kuuliza sio ujinga... Nataka ku apply hizi nafasi za ajira katika jeshi la zima moto. Ila sijaelewa, kwenye kipengele, cha jinsi ya kutuma haya maombi, ili yaweze kufika sehem...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari , Tupeane possible practical question ya Mechanical Technician inayotarajiwa kufanyika tarehe 30
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Habari ndugu zangu...naombeni connection ya gari ya udereva mkoa wowote...na vyeti( certificate of secondary, veta advance driving) road license class C.. umri miaka 28.
4 Reactions
2 Replies
897 Views
Back
Top Bottom