Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Anahitajika fundi umeme wa viwanda aliepo maeneo Zanzibar Fuwoni au maeneo ya karibu na hapo.
0 Reactions
3 Replies
800 Views
Kazi yoyote inayohusu mafuta na gesi (petroleum) watangazieni wote waliosomea mafuta na gesi na mwaite wote wafanye usaili atakayepita ndio huyohuyo. Kazi hizi ni: Production, Reservoir...
0 Reactions
8 Replies
952 Views
Naitaji kijana Mwaminifu na Mchapa kazi kwa ajili ya kusimamia stayionery Awe amesoma na mzoefu wa majukumu ya stationery Eneo: MBEYA MJINI, Anaeitaji anicheck 0716854680
1 Reactions
0 Replies
457 Views
Habari, naomba kufaham kwa mwenye kujua TSG10 NI kiasi gani cha mshahara, asanteni
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Anahitajika msichana mwenye uzoefu na uuzaji vifaa vya ujenzi awe mkazi wa Dodoma. Sifa Awe anajua kusoma na kuandika Awe na uzoefu kwenye mauzo ya vifaa vya ujenzi Mawasiliano :0712206032 NB...
1 Reactions
2 Replies
821 Views
Nisaidieni wakuu.. kuna kazi za serikalini nimeziona nataka kujitosa ila sasa scale ya mshahara ni PRSS 1.. Sasa nataka kufahamu hiyo ni pesa ngapi.. Je itatosha kufanya maisha na kuhonga?
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Wakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching...
9 Reactions
98 Replies
13K Views
Habari, Naitwa Emanuel. Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24. Niko mkoani Arusha kwa sasa. Nahitaji msaada wa kazi yoyote ya mikono ambayo itanisaidia kuendesha maisha. Niko tayari...
0 Reactions
6 Replies
866 Views
Habari za leo, Tunahitaji Engineer wenye kampuni ya Civil Class 4 kwajili ya mradi wa kusambaza maji. Kama una kampuni yenye sifa hiyo piga no 0674899696.
1 Reactions
3 Replies
498 Views
Natafuta vijana 10 wenye uwezo wa kutengeneza sabuni za unga na kipande. Wawe na umri wa kuanzia miaka 23-33. Wawe wanaishi Dar es Salaam. Kama upo njoo PM.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
POST SUPPLIES OFFICER II – 1 POST EMPLOYER The Agricultural Seed Agency (ASA) APPLICATION TIMELINE: 2022-08-16 2022-08-29 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To Assist supervision of...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Peking Healthcare limited,a newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her...
0 Reactions
0 Replies
512 Views
  • Closed
Naomba kujitambulisha Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 22 kutokea mkoani Mwanza. Kwa sasa ninaishi Manzese jijini Dar es salaam. Elimu yangu ni kidato cha sita. Sina familia na wala...
9 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari zenu. Mimi ni Dada wa miaka 32 naishi Dar es Salaam natafuta kazi za ndani au dukani, elimu yangu kidato cha sita ni mwaminifu na mcha MUNGU nimeokoka nasali Reality of Christ Sinza Mori.
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimehitimu Bsc in petroleum geology,natafuta nafasi ya kujitolea migodini au sehemu yoyote inayohusu geology
3 Reactions
4 Replies
926 Views
Binti anatafuta kazi ya kuuza duka au kazi ya saluni. Elimu yake: Ana elimu ya kidato cha nne na cheti ya ususi na urembo. Uzoefu wa kazi: Amefanya kazi za ususi na urembo kwenye saluni...
1 Reactions
7 Replies
894 Views
Naitwa nashon Joel nafuta kazi yeyote natafuta kazii Elimu: Diploma in marketing and public relations Other skill 1 Normal Computers skill 2 teaching ability masomo kama Mathematics kwa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jF, Majina: Rashid Jinsia: Kiume Mahali ninapoishi: Dar Es Salaam Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT, ili niweze kujikwamua na uchumi. Nina Uzoefu...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari.. Msininukuu vibaya na SIONGELEI WALA SIINGILII MIFUMO ya makampuni ila ni Maoni tu kama dereva kwasababu kuna vitu vinatukatisha tamaa sana baadhi ya madereva wenye uzoefu wa miaka 0-5...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom