Habari zenu, mimi ni mwandishi wa vitabu, natafuta mtafsiri wa vitabu vyangu kutoka Kiswahili kwenda lugha ya Kiingereza, malipo kwa makubaliano maalum.
Nicheki PM kwa mawasiliano zaidi.
Gold City Company LTD iliyoko Geita Mjini inapenda kuwatangazia nafasi za kazi watanzania wote wenye sifa kuomba kazi katika kada zifuatazo;
1. Daktari daraja la ii ( MD) nafasi 3
Sifa kuu...
Naitwa Muhammed naishi dar umri wangu miaka 30 Nina familia na mtoto mmoja hali yangu kiuchumi nimbaya sana nilisomea Ualimu masomo ya Geography na History ila kazi cjapata.
Hivyo naomba kwa...
Habari, anahitajika kijana mwenye certificate au diploma ya Clearing and forwarding.
Kwa mwenye uhitaji atume VYETI kweny email hii
hamishusna07@gmail.com
NAFASI NI MOJA, OFISI ZIPO POSTA DSM...
Habari ya Jumapili, kwa mara nyingine tena nimekuja nahitaji vijana kwa batch ya pili,batch ya kwanza tayari wapo kazini.tunafanya website promotion on social media utalipwa kutokana na kaz...
Habari Wana jf..Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili kutokan na ratiba ya masomo yang kuisha mapema (saa nane mchana) mdogo wenu naomb Kaz yoyote Ile kuanzia mda huo mpka saa tatu au nne usiku...
TANGAZO LA AJIRA
PAX BROTHERENS CAMPANY LTD iliyopo mkoa wa Songwe wilaya ya Mbozi inawatangaza nafasi ya kazi kwa watanzania wote wenye sifa
Cheo – msimamizi MKUU na mtawala.
SIFA
muombaji...
Habari wanjf,
kutokana na tatizo la ajira linaloendelea hapa nchini, ujuzi wa ufundi ndo suluhisho pekee la kuondokana na changamoto hii.
Hivyo natafuta vijana ambao wako tayari kujikwamua...
Wakuu habari,
Naomba msaada wa maelekezo ya kufika hapo Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Udom nikitokea stand ya dalala...
Bado nahtaji mfanyakazi wa kike wa kazi za ndani,,wa kufua kupika,,usafi wa ndan,na kuangalia watoto bas,watoto ni wakubwa wanasoma umri wao 4yrs &6yrs.mfanyakaz acje na mwanae au asiwe na mtoto...
Naitwa RABSON JOHN
Naishi DAR ER SALAAM MABIBO
NINA MIAKA 27
Mimi ni kijana ambae nina fani ya Udereva.
Pia nina uzoefu wa Sales & Marketing nimewahi fanya kazi na makampuni mengi hapa Dar er...
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Makatibu Wakuu wa Wizara, Watendaji Wakuu wa Idara Zinazojitegemea, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri za...
Habarini,
Naomba tujadili mada hii.
Hivi ni kwanini ukiajiriwa huwezi kuwa na msukumo wa kuwa na maendelo makubwa.
Hivi kusingekuwa na wafanyabiashara miji yetu ingeendelea kweli?
Ukifika...
Wakuu poleni na majukumu. Moja kwa moja kwenye mada. Hawa jamaa zetu wa Arusha walitangaza nafasi ya kazi mwaka jana kwa nafasi ya assistant accountant. Kuna yeyote kaitwa kwenye interview...
Kwenu Secretariat ya Ajira. Mliweka Nafasi za kazi za MDA na LGA hapo July 2022. Wasaka Ajira tukajitosa kuomba Tena Kwa Gharama kubwa na Sifa mlizotaka zipo. Mrejesho toka kwenu ikawa Received...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.