Wakuu naomba anayelifahamu, vizuri hili shirika anieleze kidogo.
Maana naonaga kazi zao Ila nkitaka kuomba nasita maana NGO nyingi kazi zao ni za kujuana
Kuna shughuli yangu nahitaji usafiri wa pikipiki walau tano.
Hivyo natafuta mtu mwenye pikipiki tano tufanye biashara atapewa mauzo ya uhakika kwa mwezi mafuta na matengenezo juu yangu.
Karibuni...
Kuna shughuli yangu nahitaji usafiri wa pikipiki walau tano.
Hivyo natafuta mtu mwenye pikipiki tano tufanye biashara atapewa mauzo ya uhakika kwa mwezi mafuta na matengenezo juu yangu.
Karibuni...
Habari za saiz wapendwa samahanini nimemaliza chuo lakin nmepata kazi ambayo sijaisomea.
Nimeitwa kwenye interview ya marketing officer kwenye bandari apa dar es salaam, upande wa Export lakin...
Habari zenu!
Naomba msaada wa kupata kazi ya udereva kumuendesha mtu binafsi au kuanzia gari ndogo, UBER au private, coaster za private au daladala yeyote ile kwa umakini na uaminifu. Nina leseni...
Naombeni jamani ushauri kati ya hizo kozi Clinical dentistry (utabibu meno) na Clinical medicine (utabibu) nichague nisome nini kwa kuangalia upatikanaji ajira nchini sasa hv naomben ushauri wenu
MARKETING OFFICER JOB VACANCY
About ECOACT Tanzania Limited
EcoAct Tanzania Limited is a social enterprise established to address the challenges of post consumer plastic pollution, waste...
The Embassy of Switzerland / Swiss Agency for Development and Cooperation (SDC) is currently looking for experienced
Driver
Job Description / Responsibility
- Drive Embassy/SDC personnel /...
Naomba kwa anaefahamu mishahara ya NGO ya save the children kwa Tanzania maana nimeona tangazo la kazi likitaka mwombaji ataje na mshahara anaotaka alipwe akiajiriwa
Habari zenu wanajamvini,
Naomba kuuliza kuhusiana na matokeo ya usahili wa mahojiano ilifanyika tarehe 19/09/2022 chuo Cha Tengeru Institute of community development kwa kada mbali mbali, je...
Habari zenu,
Nimerudi tena baada ya kutafuta ajira bila mafanikio . Mimi ni binti wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu nina uhitaji mkubwa sana wa ajira au sehemu ya kujishikiza hata ya...
Kwa mahitaji ya mifumo ya ulinzi kama CCTV Camera, Uzio wa umeme, Mifumo ya alarm, Mageti ya kufungua kwa remote na vinhine vungi vya kiusalama usisite kunitafuta.
Prosper Technologies.
Barbershop ya kisasa ipo Kimara Temboni,
Kinyozi mwenye sifa zifuatavyo anahitajika:
1.Awe na uzoefu wa kunyoa mitindo mbalimbali
2.Awe msafi/mtanashati.
3.Awe na kauli nzuri kwa wateja.
Malipo...
Nina degree ya Telecommunication Engineering,CCNA (Routing ang and switching).Nipo vizuri sana ktk:
Cisco
• LAN switching configuration and troubleshooting.(VLAN,Intervlan,DTP,VTP,Etherchannel...
Wakuu.
Kuna hizi nafasi 20 za Maafisa Wanyamapori zilitangazwa Mei, 2022, lakini mpaka leo hakuna shortlist. Shida ni nini au twende na msemo wa "Subira yavuta heri"
JOB ADVERTISEMENT
To ALL qualified individuals,
Please see below, the job advertisement under the Business Department.
Job Title: NEO Sales Intern
Position: Twenty (20)
Job Grade...
Nlivyomaliza form four na nikachaguliwa kwenda kusoma electrical engineering pale DIT nilisoma mwaka mmoja tu na kumaliza nilivyoingia mwaka wa pili Ada ikawa changamoto kutokana na matatizo ya...
Habari,
Natafuta kazi. Naishi Mbezi Mpiji Magohe. Natafuta kazi ya saloon ya kike au uuguzi msaidizi (nurse assistant) kituo chochote Cha afya, au kazi ya USAFI nakupikia nakufulia nakuoshea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.