Ndugu zangu kwa anaejua Taratibu zakuomba kazi kwnye hii kampuni ya GARD SECURITY WORLD mana nimengalia mtandaoni naona kingereza kingi sana afu nchi nyingi nimeshindwa kuelewa, Naomba msaada...
Hellow, Habari zenu waungwana,
Mimi ni mjasiriamali mdogo mdogo natafuta oda ya vyakula mbalimbali, nina uwezo wa kupika vitafunwa, chakula cha mchana, kutengeneza juice na vimiminika vingine...
Habari za ujenzi wa taifa wakuu.
Hii ni kwa wakazi wa moshi pekee, nafanya biashara mchele pamoja na dagaa mafuta wa mwanza ambao ni grade 1 kwa bei nafuu. Mchele kuna packages(viroba) uzani wa...
MABADILIKO YA FIKRA KATIKA MRADI / AJIRA
Nakuu!
Jim Rohn aliwahi kusema “Haulipwi kwa sababu ya MUDA tunaotumia bali kwa sababu ya THAMANI unayotoa katika huo muda katika Mradi”
(You are not...
Hodi kaka na dada zangu,
Naitwa Sarah, nina umri wa miaka 24, nina uzoefu wa Kazi ya duka la bidhaa za nyumbani / Retail shop. Mwenye nafasi au kama anafahamu mtu anayehitaji dada wa kazi ya...
habari za wakati huu wakuu, kama kichwa cha maada kinavyojieleza nina jamaa yangu jinsia kiume,umri 29 years ana certificate ya tourism and hotel management anaexperience ya kufanya kazi sehemu...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Najua JF KUNA kila aina ya watu nimekuja kuomba
Yeyote mwenye ABC kuhusu huo ujenzi wa reli anisaidie jinsi ya kuomba kazi uko nk.
Geita Gold Mining ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer...
Jina; Joseph .D. Migini
Umri; 25
Elimu; kidato cha nne
Natafuta kibarua chochote mahali nilipo MWANZA.
Mawasiliano:- +255766604683 kwa meseji, simu au WhatsApp.
Email...
Natafuta kazi ya ukondokta mabasi ya mkoani nina elemu ya certificate irrigation engeering pia naweza ongea lugha mbili za kigeni na nyumbani mbili nazo ni Spanish, English , kiswahili na kichaga...
Habari wakuu?
Nahitaji mtu anayeweza kutengeneza software ya 'animation', yaani ya kutengeneza 'video' za katuni.
Hiyo 'programme' iwe na angalau sifa hizi:-
Iwe ni rahisi kutumia
Iweze kutumia...
MEDICAL DOCTOR (1)
EMPLOYER: EL-OLAM SPECIALISED POLYCLINIC
LOCATION: KONGOWE - KIBAHA
QUALIFICATION AND REQUIREMENTS;
Doctor of Medicine (MD), must have completed one-year internship...
Habari zenu ahsanteni wote mliokua interested na thread hii😊, nimerudi kuwajulisha tayari nimeshapata mtu. Kwa ambao mme ni dm will consider you kama ikitokea kazi nyingine, til next time💯
Habari wakuu
Mimi ni designer wa UI&UX za mobile Apps...sasa kuna mambo mawili ambayo yamefanya nije jukwaani kutafuta mtu wa marketing.
1) Wanunuzi wa designs zangu.
Kama ambavyo producer huwa...
Ndugu zangu kuna maelfu ya watafuta ajira wenye vigezo ila wanashindwa kuhudhuria saili kwa kutomudu gharama zinazohitajika. Binafsi naamini ziko njia nyingi zinazoweza kupunguza sana ukubwa wa...
Wapendwa nawasalimu nyote,
Wapendwa,Dada yenu nimeitwa kwenye Usaili wa English Language Test nafasi ya Protocol Assistant Jumatatu ijayo Ubalozi wa Marekani.Nafasi hiyo waliitangaza mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.