Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari za wakati huu!! Mimi ni muhitimu wa ngazi ya diploma in Civil Engineering mwaka 2017 pia namalizia masomo yangu ngazi ya Bachelor in Civil Engineering katika chuo cha DIT. Kwa sasa natafuta...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Tangazo la Kazi - Jiunge na Timu ya WhyNot In Lounge and Kitchen! Tunakukaribisha kujiunga na timu yetu yenye ari na ubunifu hapa WhyNot In Lounge and Kitchen, iliyopo Goba, Dar es Salaam...
1 Reactions
11 Replies
548 Views
Habari zenu. Mimi nilikuwa nauliza malipo ya sales agents wa NBC yanakuaje kwa waliowahi kufanya hii kazi miaka ya nyuma
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za mda huu wakuu. Natafuta kazi ya sales and marketing Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye iyo sector Nauwezo mkubwa wa kuongeza mauzo na soko kiujumla. Let win the market together 0774214255
2 Reactions
0 Replies
110 Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,,, "" hamna zipo ,,hamna zipo " hatimaye majibu yamepatika Bila shaka utumishi wameprove kile wanachokisimamia,,, kuwa hamna mtu atakaye pata kazi kwa kupitia...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Natafuta kazi nipo mkoa wa Tabora. Pia hata kufundisha masomo ya sayansi ya sekondari yaani Physics, chemistry,computer, na mathematics naweza. Kwa yeyote mwenye connection msaada
1 Reactions
6 Replies
356 Views
Habari Wakuu! Mimi ni Mechanical Engineer shahada yangu nimeipata mwaka 2017 katika moja ya vyuo hapa nchini. Tangu nihitimu nishajitolea katika makampuni/taasisi mbili tofauti, na kila moja...
6 Reactions
82 Replies
12K Views
Wakuu natamani sana kufanya ya call centre kwenye kampuni yoyote hapa Dar nataka nianze kusambaza cv zangu humo jee ni mambo gani muhimu ya kuzingatia?ni mambo gani l napaswa kuyazingatia ili...
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Habari wadau wa JM Mimi ni kijana wa kitanzania npo Dar natafuta kazi ya kuchoma nyama kwenye hotel au restaurant. Nina uzoefu mzuri na kazi hii .kwa ambae anatafuta mtu kwaajili ya kazi Kama hii...
1 Reactions
6 Replies
907 Views
Habari Member wa Jf Kwa Majina naitwa Deo Mariwa (24 years) nina degree ya vipimo na viwango ( Metrology and Standardization) Ninaomba mwenye connection ya kazi au mwenye kutoa ajira katika...
1 Reactions
1 Replies
164 Views
picha zinaoneka wasailiwa wamelala Usaili unaendelea lakini hali sio nzuri wanaumia zaid ni wale waliomaliza miaka ya nyuma . Any way tusubiri ripoti ya waziri. Soma Pia: Waombaji ajira za...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu habarini za wakati huu, mimi ni muajiriwa katika kampuni ya mawasiliano hapa Tanzania, ili kutimiza majukumu yangu nahitaji vijana wawili ambao nitasaidiana nao katika majukumu hayo...
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu natafuta sehemu yeyote ya kujitolea kufundisha hayo masomo, kama kuna shule inahitaji mwalimu nipo hapa kwasasa nipo Dar es Salaam Soma Pia: Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha...
2 Reactions
10 Replies
772 Views
Hello everyone I have a Bachelor degree of Art with Education specialized in English and Kiswahili from University of Dar es Salaam Nipo Dar es Salaam natafuta kazi ninao uwezo wa kufundisha na...
2 Reactions
4 Replies
412 Views
Habari, Mimi ni kijana ninaumli wa miaka 23, ni mvulana kwa sasa naishi Zanzibar, ila nyumbani ni Dar es Salaaam, nimejifunza kazi ya upishi na ninauzoefu wa kupika tokea 2019 mpaka sasa 2022...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari, husika na cha habari hapo juu. Mpishi anatafuta kazi, jinsia (Me). Sifa: Ana uzoefu wa kupika vyakula mbalimbali vya ndani na nje, michemsho ya kila aina hadi ya mamba! ni mpishi mzuri...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wakuu, Polen sana na majukumu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tafuta kazi ya upishi. Mimi ni mpishi mzuri sana wa bites na chakula.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanazengo Samahani nimepangiwa kikazi. Masasi Mazingira ya Masasi yapoje mwenyeji anijuze na ipo sehemu gani na mabasi ya kuja huko. Mtaa gani mzuri ambao hautakuwa mbali sana na...
2 Reactions
36 Replies
1K Views
POSITION DESCRIPTION: North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit four (04) Graduate Mechanical Engineers to join Underground Maintenance team. The successful candidates for...
1 Reactions
1 Replies
910 Views
Back
Top Bottom