Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26 natafuta kazi Nina elimu ya mechanical engineering level ya degree Napatikana dar es salaam kwa sasa 0656 548919
2 Reactions
73 Replies
16K Views
Details Application deadline: 2018-11-03 Salary Range (Tsh): More Than 4,000,000 Business / Employer name: Cement Company Company Industry: Manufacturing Job Level: Management level Work Type...
0 Reactions
2 Replies
757 Views
Job type: Full-time Job Purpose Mechanical Engineer Maintenance will be responsible to Identify and provide efficiency and output of all mechanical equipment through providing specialised...
0 Reactions
2 Replies
241 Views
Kuna watu wanamiili mikubwa Muonekano hamna Elimu hamna Nawao wanagombania kazi za restaurant, supermarket,dukan,sheli, Sasa endelea kuchagua sana kazi wakati waajili wanataka watu wanaojua wao...
2 Reactions
7 Replies
440 Views
Wakubwa, Kuna jamaa angu amenigusia kuwa ana mpango wa kwenda kwa mganga ili apate ajira nzuri either serikalini au kwenye makampuni makubwa yanayoeleweka. Amechoka kufanya kazi kwa wachina huku...
3 Reactions
18 Replies
745 Views
Habari ya uzima. Yupo binti anatafuta kazi , Elimu yake kidato cha nne, Ila anajua kutumia computer vizuri. Kazi yoyote anaweza kufanya mfano dukani , kwenye taasisi Kama office attendant, n.k...
5 Reactions
18 Replies
411 Views
Unaweza kuniunganisha na agent nikapata kazi ufundi umeme Qatar au Oman au falme za kiarabu mshahara wa miezi miwili nimalipo ya agant passport nitafuta Kwa gharama zangu WhatsApp me 0621264212
1 Reactions
2 Replies
387 Views
Katika skills ambayo watu wengi hawana ni "Communication skills" Asilimia kubwa ya watanzania wanakosa hii skills . Ukiwa hauna uwezo wa kuwasiliana vizuri basi hata hizi Ajira zetu za 300K-500K...
9 Reactions
6 Replies
476 Views
Binti mwenye umri wa miaka 20 Ana Certificate ya Pharmacy ame-postpon mwaka wa tatu wa dimploma anatafuta kazi ya Ufamasia yupo Dar Namba 0781239520
1 Reactions
0 Replies
132 Views
Anonymous (5ae0)
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuna changamoto ya ufatiliaji na ulipaji wa stahiki za watumishi hasa Fedha za likizo na malimbikizo ya mishahara. Ukifatilia kwa maafisa utumishi wanakuambia jaza...
0 Reactions
1 Replies
128 Views
Nawasalimu sana wote wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana, waheshimiwa kwa wasio waheshimiwa, ni matumaini yangu mpo salama na kama hali ni kinyume chake Mungu awape nguvu muwe salama. Naanza...
10 Reactions
53 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Taasisi za Usalama wa taifa ni moja ya taasisi nyeti kwenye taifa lolote duniani ambapo tukiwa nje huwa tunasikia au kuambiwa kwamba wanaofanya kazi humo ni watu wenye mafunzo...
9 Reactions
99 Replies
31K Views
Habari wana jukwaa, Naomba kufahamishwa mshahara au malipo kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Asante
4 Reactions
13 Replies
4K Views
Kama kuna Mtanzania anayefanya kazi Canada, tafadhali naomba tuwasiliane, kuna moja na mbili za huko naomba kufahamishwa.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi...
28 Reactions
522 Replies
59K Views
Samahani Wana JF kwa walio na taarifa au walioko huko uarabuni Nataka nikasome driving ili niombee kazi huko Sasa naomba kuuliza ni madereva gani wanahitajika kama ni taxi au maloro naomba...
1 Reactions
2 Replies
322 Views
Habari wana Jamii forum Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 ninae patikana Chamwino dodoma, Nina uhitaji wa kazi yeyote au nafasi ya kazi kama legal officer ELIMU Nimehitimu shahada ya Sheria...
4 Reactions
11 Replies
346 Views
Maombi sasa yamefunguliwa kwa walimu wa Kitanzania kutuma maombi ya kushiriki katika mpango maarufu wa Fulbright Teacher Exchange wa mwaka 2026! Hii ni fursa ya kipekee ya kushirikiana na...
2 Reactions
2 Replies
259 Views
Software Developer We are looking for a skilled and enthusiastic Software Developer with expertise in Odoo to join our dynamic team. The successful candidate will focus on developing, customizing...
0 Reactions
3 Replies
298 Views
Nawasalimu sana wote wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana, waheshimiwa kwa wasio waheshimiwa, ni matumaini yangu mpo salama na kama hali ni kinyume chake Mungu awape nguvu muwe salama. Naanza kwa...
1 Reactions
37 Replies
820 Views
Back
Top Bottom