Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari za wakati huu wadau, mimi ni mwanachuo niliyemaliza mwaka huu masomo Physics na Mathematics, katika pita pita zangu nimekutana na hii kwamba manispaa ya Ilala inatoa ajira za mkataba kwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
AMOPRIC PHARMACY inatangaza nafasi ya kazi ya kuuza Pharmacy katika Pharmacy zake zilizopo maeneo ya Tandika, Vingunguti na Chanika. Muombaji awe na sifa moja wapo kati ya hizi: 1) Addo 2)...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za muda huu wakuu,naombeni msaada namna ya kuresubmit vyeti vyangu hapa
0 Reactions
3 Replies
644 Views
Namba za Help Desk +255735398259/+255784398259 Malalamiko ++255736005511/ 255679398259 Ijulikane kuwa hizi namba hazipo au kama mtu ana malalamiko afike hapo Dodoma kuliko kuweka namba ambazo...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Poleni sana msiba mzito wa mtumishi mwenzenu kazi ya mungu haina makosa Hongereni kwa kazi njema mnayoifanya ya kuwapigania watoto wa maskini nao kupata fulsa katika taasisi mbali mbali Ila hapa...
1 Reactions
5 Replies
982 Views
Ni kweli hali ya ajira ni kitendawili kwa sasa na kwa miaka kadhaa mbele bado jibu linaweza kuwa halijapatikana hivyo fanya yafuatayo kama upo chuoni au mtaani umehitimu 1. Jitolee; piga kazi kwa...
15 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana jamii forum, Mimi Binti, Elimu yangu ni kidato cha 4. Natafuta kazi yoyote halali ndani Ya mkoa wa Mwanza . Nipo tayari kufanya kazi pia katika (kazi za ndani, viwandani na kuuza...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF Mimi Ni kijana mwenye umri wa miaka 29, Nina elimu ya BSc CIVIL ENGINEERING, ninatafuta kazi yoyote katika sekta ya ujenzi au sekta yoyote ile ipatikanayo, nimekua nikifanya kazi...
3 Reactions
2 Replies
528 Views
Nimemaliza mwaka huu degree ya sociology, naomba msaada wa kazi. Mtaani kugumu sana
4 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari wakuu, Anahitajika mtu kwa ajili ya kazi za financial transatcions awe mwanamke eneo la kazi ni Dar es Salaam.
0 Reactions
5 Replies
770 Views
Wadau mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20 nipo mtaani kwa sasa sina kazi na maisha ndio jinsi yanavyoonekana mtaani hivyo ninaomba mwenye ana uwezo wa kunisaidia nipate kazi yoyote nitashukuru...
0 Reactions
6 Replies
607 Views
Habari wakuu Naomba mtu mwenye ufahamu na mishahara ya hiyo kampuni ya ulinzi hapo juu, na pia taratibu zao za maombi ya kazi Asanteni
0 Reactions
13 Replies
3K Views
MSHAHARA UNAKUAJE, Ukiwa na degree ya Ualimu Ukasoma diploma ya nursing ukaajiliwa kwa diploma ya nursing vipi mshahara unasomaje utalipwa kwa ngazi ya diploma au kwa ngazi ya degree nazungumzia...
1 Reactions
9 Replies
665 Views
Nafahamu fika naingilia makubariano ya watu, ila kwa jambo kama hili si sawa! Anapika chakula, anafua nguo za watoto, baba na mama mwenye nyumba, kila siku kibarazani kunyoosha hizo nguo, usafi...
32 Reactions
204 Replies
14K Views
Naitwa Michael, natafuta gari ya hesabu iwe bolt au uber au hata kumuendesha mtu binafsi. Leseni ninayo Class C, napatikana Dar es Salaam.
0 Reactions
2 Replies
442 Views
Kuna kuitwa kweli kwenye interview au ndiyo tuendelee na mambo yetu kama tokea mwezi wa 4 hujaitwa na sasa hivi ni 11, si bora hiyo system ifutwe tu watu tufanye mambo yetu? Kuliko kila week au...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba kuwasilisha hoja kua mshahara wa kiasi cha Tsh. 350,000 ni mkubwa mno kwa kijana anayeanza kazi na hajaoa. Tunaomba serikali itupunguzie mshahara.
10 Reactions
73 Replies
6K Views
Wahi nafasi kabla hazijaisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello! Natafuta dereva wa bajaji mwenye uzoefu na bajaji vizuri. Awe anaishi Dar na awe na leseni yake tayari. Mwenye tabia ya uaminifu. Anahitajika urgently apige namba 0757302961. Nipo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la mada yangu. Mimi mi kijana wa kiume umri mwenye miaka 35. Nina degree ya Bachelor of Science in Information Technology (Bs. IT)...
7 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom