Pamoja na kwamba wengi hufikiria dereva anadharaulika katika utumishi na kuchukuliwa Kama kibarua fulani lakini linapokuja suala la upataji wa posho madereva wako vizuri huenda kuliko watumishi...
Ndugu zetu ambao mmeshaanza kulamba asali, ebu mtujuze je status zenu za application katika account ya PSRS zilikuwaje na sasahivi zikoje?
Najua huwenda kila mtu aliandikiwa tofauti, basi usisite...
Knowledge Management and Communication Officer (1 post) – TMSA
The Officer will be responsible for all communication activities of the Project.
Position Summary
Ifakara Health Institute seeks a...
Habari wanajukwaa,
Mimi ni kijana niliyeomba ajira utumishi kupitia Dirisha la ajira za utumishi (Ajira portal). Mpaka sijajua ni lini watatoa short list yao.
Lakini cha kushangaza kuingia...
Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema.
Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo...
Kama kichwa Cha habari kinavyoelezea, anahitajika mtu aliebobea katika uandikaji wa wasifu wa kampuni( company profile), kwa ambae anauwezo na sifa za kuandika awasilishe maombi yake Kupitia...
Habari za muda huu ndugu wapambanaji..
Mimi nina hoja moja juu ya utumishi kutoa majibu ya written interview.. maana wanachukua muda kidogo halafu sasa majina ya shortlisted for oral interview au...
Habari wapendwa katika bwana.
Tumsifu Yesu Kristo.
Assalam Aleykum.
Habari ...
Ndugu zangu naona Mwenyezi Mungu amefungua neema na mdogo wangu hajawahi kuitwa kwenye Interview ila hakukata tamaa...
Humu jamiiforums jamani Kuna watu hawapo serious kabisa yaani haiwezekani mtu uweke post ya ajira kwamba unahitaji mtu wa fani Fulani unaweka namba yako ukipgiwa hupokei au unakata au ukipokea...
Kutokana na vijana wengi kupitia changamoto mara baada ya kumaliza masomo. Nimeona niandike uzi huu ili kutoa nafasi ya kubadilishana uzoefu na taarifa mbalimbali kuhusu changamoto ya ajira na...
Habari humu, naombeni mwenye connection ya ajira yoyote kwa Iringa mjini. Ni mama wa nyumbani natamani nitoke nikajishughulishe maisha magumu. Elimu yangu ni Degree
Habari naitwa Michael, natafuta kazi ya udereva. Kama kuna mtu anatafuta dereva wa kumuendesha au kuendesha gari ya biashara yaani taxi kama Uber au Bolt, nipo na leseni ya class C au kampuni...
Habarii wakuu,
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Mimi ni kijana wa kitanzania Mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzi(Ordinary diploma in civil engineering NTA level 6) kutoka chuo cha ufundi...
Tenders are invited for the construction of the boundary wall at Moshono Campus Arusha,-Tanzania.
Interested bidders must first visit the site at Sisia Campus and sign the construction guideline...
JOB ADVERTISEMENT
To ALL qualified individuals,
Please see below, the job advertisement under the Business Department.
Job Title: NEO Sales Intern
Position: Twenty (20)
Job Grade...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.