Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Tunahusika na kufanya usafi nyumbani, ofisini, ukumbini na popote pale panapohitajika. Gharama za usafi wetu zinategemea na ukubwa wa eneo, pia kama unasumbuliwa na wadudu wasioisha tunaku-connect...
1 Reactions
0 Replies
534 Views
Mimi ni kijana wa miaka 23 nipo dar ubungo natafta ajira yoyote ambayo itakuwa inaniingizia kipato kwa siku......ili kukidhi mahtaji yangu na familia yangu... Elimu yangu ni kidato cha sita arts...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Habari wana jamvi..naomba ku-share jambo juuya uandishi wa CV. Nimebahatika kuwa mmoja wa watu wanaopitia CV za watu wengi sana, waliopo kwenye ajira na wasio kwenye ajira. Nilichokigundua kuna...
14 Reactions
22 Replies
39K Views
FINANCE OFFICER JOB VACANCY About EcoAct Tanzania Limited EcoAct Tanzania Limited is a social enterprise established to address the challenges of post consumer plastic pollution, waste...
1 Reactions
0 Replies
556 Views
Ndugu zanguni Kama kunamtu humu anakonektioni kwenye kampuni yoyote iliyopo kwenye mgodi wa makaa ya mawe ruvuma anisaidie Mimi ni welder lakini sijui pakuanzia nahitaji msaada nataka nikafukuzie...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Nimehitimu SUA 2021. Natafuta shule ya kufundisha. Nipo tayari kufanya kazi maeneo yoyote Tanzania.
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Kazi ya kuweka urembo kwenye nguzo 6, pamoja na mkanda wa slab wenye mzunguko wa mita 50. Hela iko mfuko wa shati, laki 4; haiongezeki ila inaweza kupungua.
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari Naomba kujuzwa, mtu ambae anatakiwa afanye practical interview kwa nafasi ya Information System Auditor anatakiwa ajiandae hasa maeneo gani ? Natanguliza shukrani kwa watakaonijibu
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habari za wikend! Wakuu baada ya Mh, Raisi Magufuli kuruhusu shughuli na miradi ziendelee , Nime Jaribu kutafuta riziki kwenye miradi ya ujenzi inayo endelea hapa Dar bila mafanikio...
5 Reactions
40 Replies
8K Views
Habari za muda huu wadau. Anatafutwa mtu wa kuuza duka la dawa muhimu. SIFA Awe na ADO Awe mwaminifu Awe mwadilifu Awe na ujuzi wa kutoa dawa kwa usahihi Sehemu ya kazi ni Sikonge - Tabora...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Karibu' kwetu kwa Huduma za uhasibu
1 Reactions
3 Replies
483 Views
Tafadhali, kwa yeyote mwenye waraka huo au anayejua maudhui yake naomba anisaidie Waraka huo unazungumzia: Utaratibu wa kuomba Kibali cha kurejea katika Utumishi wa Umma Mara nyingi nafasi za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Pitieni wavuti wa Tume ya ajira Kuna mabadiliko kwa watakaofanya usaili kwenye taasisi hizo USAILI UTAFANYIKA ZANZIBAR
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Baada ya HR kusema hayo alitutoa nje ya ofisi yake, Hapo nikajiuliza kitu. Hivi yule "Dada Kulwa" alivyokuwa ananiambia kuwa amefunga kutoa vibali siku ile nilipofika na mimi kumkubalia hiyo...
10 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau naomb kujua idadi ya walioitwa kweny usaili TANROAD Mwanza nisije choma nauli bure. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Position: Loan Officers (LO’s) -100 Posts Job Responsibilities: To build and maintain a substantial and high-quality loan portfolio. To conduct members recruitment and screening. To orient...
3 Reactions
26 Replies
5K Views
Habari wakuu, Natafuta mtu mwenye ujuzi wa kutengeneza matangazo ya TV pamoja na graphic designs ambaye hajaaajiriwa tuungane kwenye project zangu za utalii kwa malipo ya commission. Kama upo...
1 Reactions
7 Replies
999 Views
Habari wanaJf. Mimi ni mjasiriamali, na supply vitu mbali mbali ikiwemo vyakula (nafaka na vyakula vingine) Kwa sasa natafuta tenda ya Ku supply nyama ya ng'ombe na kuku wa kienyeji either kwenye...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada Wanandugu, Nawezaje kupata Visa ya Sweden au ukanda ule kwa anaejua ,pls anaefahamu kuhusu hili msaada wapendwa. wangu[emoji2969]
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Yaani vigezo vya kuwa Karani eti Kidato cha nne? Seriously? Yaan na hili la ukosefu wa Ajira. Tarajieni mafuriko, gombania goli hata huo mfumo wa kupokea applications Lazima uzimike!
9 Reactions
51 Replies
7K Views
Back
Top Bottom