Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
samahani wakuu kuna kada mbalimbali zimetangazwa na SADC kupitia utumishi, naomba kufahamu, application letter unaandika address kuelekea kwa anunani gani. Nashukuru.
3 Reactions
3 Replies
889 Views
Habari wakuu, Anahitajika kijana mchapakazi mwenye ujuzi wakutengeneza video za katuni (animation). Kama una hicho kipaji,tengeneza 'clip' yenye maudhui yafuatayo na utume kwenye email...
1 Reactions
146 Replies
10K Views
Mimi ni fundi wa magari upande wa body & painting, ninakusudia kwenda moja ya hizo nchi kujaribu bahati yangu. Ombi langu kwenu ni juu ya ufahamu wa hizo kazi kwenye hizo nchi soko lake lipoje...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi sasa kutafuta ajira Tanzania ni kazi ngumu sana. Ukweli ni kwamba kuna watu wengi zaidi wanatafuta ajira lakini wanakosa connection ya watu either hafahamiki na watu wenye potential au hata...
12 Reactions
154 Replies
27K Views
Habari wakuu, Wiki kadhaa zilizopita palifanyika usahili wa kada tofauti mwajiri akiwa IAA, Kuna yeyote amebahatika kupata wito wa ajira.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwenye anaejua nafasi za kazi kwa kozi ya production and operations management na ina husika na nini zaidi, lakini pia mhitimu atafanya kazi wapi endapo akimaliza.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimemaliza diploma ya journalism and mass communication (2020) mwenye nafasi ya kazi katika taasisi yoyote ile naomba msaada wako iwe ndani au nje ya field yangu nitashukuru sana. Ama kibarua...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Sales Force Executive Position: Sales Force Executive Job Location: Dar es salaam, Bic Unit Insurance was established in August 2013, as the first locally incorporated Insurance Company...
0 Reactions
0 Replies
484 Views
Nimemaliza bachelor degree of education in history and kiswahili language (2019)mwenye nafasi ya kazi katika taasisi yoyote ile naomba msaada wako iwe ndani au nje ya field yangu nitashukuru sana...
4 Reactions
14 Replies
934 Views
Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitarajia kutiliana saini ya makubaliano ya mwisho kabla ya kuanza utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa uchakataji na usimikaji gesi asilia (LNG) wenye thamani ya Sh70...
0 Reactions
0 Replies
368 Views
Ilikuwa ni mwishoni mwa mwezi wa sita na tarehe ya mwisho ya maombi ilikuwa tarehe 8 Julai, 2022. Hadi sasa sina taarifa yeyote juu ya walioitwa kwenye usahili, nilikuwa miongoni mwa walioomba...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Kama unafahamu kuna shule ina uhaba wa walimu wa biashara katika masomo ya commerce,book keeping, accounts na economics Tupia connections ya shule ambayo unafahamu ina uhaba ya walimu hao ili...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Wakuu kwema? Tarehe 27 mwezi huu nimeitwa interview mbili kama ifuatavyo; Saa 2 kamili asubuhi natakiwa kuwa Iringa University mkoani Iringa kufanya usaili wa kuandika ya nafasi ya Uhasibu...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Hello I am looking for a job, my professional is production and operations manager with experience in engineering drawing using Autocad software, maintenance, workshop management, logistics...
0 Reactions
0 Replies
361 Views
COMMUNITY RELATIONS MANAGER-NGARA Position Summary: Tembo Nickel is seeking to recruit Community Relations Manager to join Tembo Nickel Project Team. She/he will have full responsibility for the...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
Ni kiwanda kidogo kinazalisha bidhaa na kusambaza. Kwaiyo anatafutwa kijana mwenye ushawishi wa kuuza bidhaa pamoja na uzoefu wa kazi za mauzo. Malipo kwa commision ila utapewa usafiri au nauli...
0 Reactions
5 Replies
522 Views
Habari za kazi wapendwa... Mimi ni binti nna umri wa miaka 24 Elimu yangu nina Degree ya maendeleo ya jamii. Natamani kujiunga na jeshi kwasababu napenda kua mwanajeshi sana Kabla sijajiunga nna...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari zenu wana jukwaa nahitaji kumhamisha mke wangu yeye ni mhudumu wa afya yupo hospital ya rufaa Mbeya kama kuna mtu humu jukwaani ana ndugu au rafiki anaetaka kuja Mbeya kwa kubadilishana...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Napenda kujua kwanini walimu hawaitwi kwenye usahili, ajira zikitoka wao hutuma maombi na kuitwa moja kwa moja kwenye kazi kwa wale waliofanikiwa kupata, kwanini na wao wasifanyiwe interview?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Anahitajika mtu wa stationary awe Arusha
1 Reactions
1 Replies
548 Views
Back
Top Bottom