Sikia hii Kuna wanachuo wengi hawana uzoefu wa kujibu maswali ya Interview Vizuri,Hawajui ni kwa namna gani wanaweza Kuandika Barua ya kuombea kazi (Application Letter), Au wastaafu wamesahau...
Habari za mda huu ndugu zangu,mimi ni mwalimumwenye shahada ya masomo ya chemistry na biology, natafuta nafasi ya kufundisha shule yoyote sehem yoyote tangu nimehitimu chuo 2018 mambo hayajawa...
Upcountry Kitchen Taste iliyopo Kibosho -mweka kilimanjaro inatangaza nafasi za kazi ya kuhudumia vinywaji na chakula ( service).
Waombaji wawe jinsia ya kike , wakazi wa Kilimanjaro wenye ujuzi...
Wakuu naombeni maelekezo juu ya hili, mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni binafsi baadae nikaacha kwa hiari yangu, kwenye account yangu ya NSSF kuna kiasi changu kadhaa cha pesa, sasa...
Habari wakuu poleni na majukum
Mimi mtalaam wa maabara ngazi ya cheti Nina licence PRP naomba kazi au mwenye connection na kazi katika hospital au sehemu nyingne simu 0682333100
Habari za leo wakuu.
Napitia kipindi kigumu sana kiuchumi
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kibarua cha malipo ya siku au vyovyote vile nipo tayari.
Naweza kufanya saidia fundi au...
Habari zenu wadau wa JamiiForums,
Nina ombi kama kuna mtu yeyote anaeweza kunisaidia kupata internship kwenye kampuni yoyote ile ya Electrical Technician anisaidie.
Au kama una kazi yoyote...
mimi ni fundi wa finishing nikijihusisha na blandaring gypsum dizain kufunga pvc body dula vent skiming kupaka rangi pamoja na tv kebinet.
napatikana Dar es Salaam
Habari naitwa Daniel, ni dereva mwenye uzoefu, muadilifu, mchapakazi, mtunzaji wa chombo na muaminifu. Natafuta gari kwaajili ya biashara ya mtandaoni Uber, Bolt, Paisha, Moovin, InDriver either...
1. Utangulizi
Flydream Company Limited ni kampuni ya kitanzania iliyoanzishwa mwaka 2019. Ni mujumuisho wa biashara zinazotoa huduma mbalimbali ikiwemo mafunzo ya Udereva, huduma ya ufundi Magari...
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s Central Bank is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant...
Reports To: Incharge of Weighbridge Unit
Duty Station: Mwanza, Tanzania
Terms of Service: Contract Terms of Three (3) years, renewable subject to satisfactory performance, efficiency and...
Habari za Mwezi February wana-JF.!!
Ndugu yenu Nina changamoto ya Kodi, chakula (kwa mtoto na Ndugu zangu tegemezi na kwangu binafsi).
Naombeni mwenye kuweza kunisaidia kupata kibarua cha namna...
Habari
Nimeona nianzishe uzi huu tufahamishane kwa wale wapambanaji na wale ambao bado tunasubiri kufikiwa na ajira hususan kwa wale wanaoishi Jijini Dar es salaam, Je untumia mbinu gani kumudu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.