Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Nmejaribu tangu muda walioweka nakuwa rejected sijui shida imekuwa nini na muda umeisha kuna yeyote aliepata shida kama yangu kazi ndo imepita hivyo
5 Reactions
399 Replies
59K Views
Huu uzi ni mhimu kwa mwenye mapenzi mema na watakaofuata watusue tusu la usaili. usiogope kutupa tips za nini umekutana nacho wakati wa kusailiwa, Maswali, uzoefu na taratibu zingine. Ndugu kuwa...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni mbumbumbu tu anayeweza kuamini kuwa usaili ndio wenye uwezo wa kutupatia walimu bora!! Usaili unasaidia tu kuondoa wengine na kubakiza wachache kulingana na nafasi zilizopo!! Utaratibu wa...
20 Reactions
81 Replies
7K Views
Ndugu zangu hivi swala la Referees mnalichukuliaje? Mimi naliona halijakaa kitaalam kabisa kwa mfano maofisini tunaona unakuta boss wako hataki ugrow hata ukipata safari tu ananuna ( huyu kweli...
2 Reactions
20 Replies
481 Views
Mimi ni binti wa miaka 24, nina degree ya Information systems Management. Natafuta kazi nina ujuzi wa computer (word, power point na excel). Mchapakazi, msikivu na ninaependa kujifunza. Utanipata...
13 Reactions
63 Replies
1K Views
Habari wakuu. Mimi ni dereva wa Magari makubwa Kama Scania ,Faw .n.k Nimekuja hapa kutafuta Ajira au Kazi Kwa wamiliki wa maroli . Nipo na uzoefu wa kutosha wa jumla miaka 8 Namba yangu ya...
0 Reactions
4 Replies
172 Views
Hello ndugu zangu, mimi ni jinsia (ke) nina miaka 25 nina shahada ya lishe (2022) lakini pia nina uzoefu wa kufanya kazi za miradi ya afya na lishe (nimefanya intern kwenye miradi hiyo kwa muda wa...
4 Reactions
14 Replies
580 Views
Life can humble you. Hili ndo limenitokea Wakuu nimekuja kwenu kuomba kazi ya udereva bodaboda. Mwenzenu ni kijana wa kitanzania ninaishi mkoa wa Dar es Salaam Kimara. Naomba mwenye bodaboda na...
5 Reactions
22 Replies
562 Views
Kwa mfano jina langu katika NIDA ni Mussa Ramadhani Mussa ila kwenye vyeti vyangu vya taaluma ni Mussa Ramadhani. Nimesikia kuwa naweza kupata affidavit na nikafanikiwa. Je, kuna ukweli katika...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Mambo yanakwendaje wadau kwa mtu ambae tiyari ni degree holder na ana passion ya kwenda jeshi ni umri gani wa juu wa mwisho jeshi Lina chukua recruit! Na kama huna cheti cha Jkt je mafunzo ya...
1 Reactions
22 Replies
811 Views
Habari za leo ndug zangu hope mko poa, Nina habar njema natafuta Wakalimani(Translators) wanaojua lugha ya kichina vijana kama sita ivi kazi yao kutafsir watakuwa na hao wachina ambao hawajui...
5 Reactions
10 Replies
400 Views
Jamani Kuna anaewajua Chaka force security? Maana Kuna Uzi nimeupitia naona watu wanalalamika kuwa kazi ya ulinzi wengine hawalipwi wengine wanapewa laki Moja Yani balaa tu. Mi naomba kwa...
1 Reactions
3 Replies
199 Views
Heshima kwenu wakuu! Nahitaji developers watatu (3) wasio na ajira rasmi, kuna kazi watatakiwa kuifanya na baaada ya hapo kutakuwa na ajira rasmi kwao kwaajili ya kukiendesha walichokiunda, ajira...
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Whether you’re looking for a government position, a private-sector job, or an internship, numerous online platforms help you find your ideal job. With that out of the way, here are the leading...
1 Reactions
11 Replies
895 Views
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima...
1 Reactions
17 Replies
814 Views
Kesho rasmi walimu wanaanza usaili, na usaili huu utaendelea hadi tarehe 24 mwezi wa pili. uzi huu umeandaliwa mahsusi ili kuwa jukwaa la kushirikiana mawazo, maswali mliyokutana nayo, changamoto...
1 Reactions
4 Replies
559 Views
Kwema wanajukwaa? napenda tutumie uzi huu kushare mambo mbali mbali yanayohusu utalii kama vile nafasi za kazi za utalii, mbinu na tecknolijia katika sector hii ili kuwezeshana na kubadilishana...
1 Reactions
7 Replies
213 Views
Habari wakuu, Mimi ni mwandishi wa makala mwenye uzoefu mkubwa katika kuandika maandishi yenye ubora wa hali ya juu kwa lugha zote mbili yani Kiswahili na Kiingereza. Nimejikita zaidi katika sekta...
3 Reactions
0 Replies
132 Views
T.M.J. Hospital, a renowned healthcare institution in Dar Es Salaam, Tanzania, is committed to delivering exceptional medical care, focusing on preventive medicine, health, and wellness. With its...
1 Reactions
1 Replies
334 Views
Leo bana nilikua nataka bidhaa flani ila kwa bei ya jumla,so jamaa angu flani akaniunganisha na hao sijui ni wahindi au wachina wale nikaenda kwenye hiyo office kupata hiyo bidhaa. Kwanza getini...
17 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom