Kichangani Garden & Resort
We are Hiring a Bartender to join our team at Kichangani Garden & Resort .
Send Your Resume to
kichanganigardenandresort@gmail.com
Deadline for Application is on 31...
Naomba kujuzwa namna ya kufuta course ambayo nimesave kwenye mfumo wa ajira portal.
Nimeweka level ya education ni diploma na nimesave but nikijaribu kufuta inakataa, lengo niombe kazi kwa...
Haki na Wajibu wa Mtumishi wa Umma. Mtumishi wa Umma una wajibu wa kutumia elimu, ujuzi na bidii katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Kadhalika una haki na stahiki mbalimbali unazopaswa kuzipata...
Habari zenu
Human Resource Officer anahitajika
Ni Kiwanda cha Mafuta ya Alizeti
Mahali pa Kazi: Dodoma.
Anahitajika HR mwenye uzoefu wa kufanya Kazi viwandani.
Mwenye Kujua kuzungumza Kingereza...
Mimi nasikia tu kuwa Zanzibar Kuna kazi nyingi za ulinzi, kampuni nyingi nimewatafuta ila vigezo vyao wanataka mtu alopitia mafunzo ya mgambo au jkt.
Sasa ikiwa Kuna mtu yoyote anaijua kampuni...
Hivi karibuni ajira nyingi mno zimetangazwa Tanzania katika Kada mbalimbali. Lakini hata hivyo inaonesha wazi kua uhitaji wa ajira ni mkubwa kuliko ajira zenyewe.
Kwa mfano mwanzoni mea mwezi huu...
Naomba msaada wa kupata mawasiliano na connection ya kupata bidhaa za kuuza vya stationary
Naomba hili kwakuwa nipo kwenye mpango wa kufungua Stationary
Natanguliza Shukrani
Habari zenu,heri ya mwaka mpya wapendwa.
Mimi ni mdada mwenye degree ya accounting na nina uzoefu kwa zaidi ya 5 years.Niko vizuri sana kwenye tax compliance zote za TRA na za serikali kama...
Mahali: Kazi ya Mtandaoni (Remote)
Kampuni: Online Profits
Nafasi: Wakala wa Mauzo
KUHUSU ONLINE PROFITS
Online Profits ni kampuni ya e-learning inayolenga kusaidia wajasiriamali wanaotaka...
ESHOD & B SECURITY COMPANY LIMITED
P.O. BOX 30112
KIBAHA - PWANI
Simu: 0656 166 742
Barua pepe: eshodmang23@gmail.com
ESHOD & B SECURITY COMPANY LIMITED tunapenda kukutaarifu kwamba tunatoa...
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Jinsia ni Me
Mkoa : Dar es salaam.
Kazi : yeyote iwe ya kutumia nguvu au akili Niko tayari
Mawasiliano kwa sababu za kiusalama nisingependa kuweka hapa ila...
Wakuu, habari za muda huu na poleni kwa shughuli mbalimbali za maisha. Nina maswali mawili kuhusu procedure za ajira NMB Bank upande wa Contact Centre Agent .
1. Maswali common yanayoulizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.