Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Ajira ya Konstebo wa Uhamiaji 2022.
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Wakuu naomba kueleweshwa, nimekutana na baadhi ya matangazo ya kazi ambayo Yana kigezo kimojawapo cha muombaji kuwa ni mwajiriwa na aambatanishe barua yenye muhuri kutoka ofisi aliyoajiriwa. Sasa...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa. Meneja...
27 Reactions
67 Replies
2K Views
Hellow guys nimatumain yangu wote wazima na pia tunamshukur mola kutupa mwaka mpya Jamani mimi natafta kazi ya kufanya iwe n kiwandani iwe n kushusha mizigo au kazi ata ya ufundi. Nipo tayari...
4 Reactions
14 Replies
594 Views
Ndio hivyo tena hii ni 2025 .... Napikiwa na naandaliwa na maji ya kuoga, kila mwaka napiga hatua moja mbele japo ndio hivyo kibishi sana alhamdulilah. Nyie endeleeni kutusagia kunguni...
7 Reactions
10 Replies
459 Views
Mliowahi kufanya saili uko private sectors tunawaomba MJE mtupe miongozo wakubwa wangu
4 Reactions
8 Replies
7K Views
niamatumian yangu wote wazima nami namshukuru MUNGU kwa yote ndugu zangu kwa majina naitwa yusuph wambura. napatikana dar kilicho nisukuma mimi mpaka kufikia hatua ya kuvunja ukimya wangu n...
7 Reactions
24 Replies
494 Views
Habari za muda huu Ndugu zangu naitaji msada wenu wa gar la kufanyia Kazi bolt Uber Nina uzoefu wa mwaka Moja Kwa sasa Niko tayari hata kuendesha gari binasfii Niko tayari naomba ushirikiano wenu...
1 Reactions
0 Replies
160 Views
Wadau naomba maelekezo nimeisahau password ya kuingia ajira portal maelekezo tafadhali
3 Reactions
12 Replies
677 Views
Nina uzoefu wa miaka 8 nimeendesha katika nchi tatu ikiwemo rwanda, kenya,pamoja na south Afrika Nina mepitia veta na nina cheti, nina leseni class E, C, B,D Nipo tayari kufanya kazi mkoa...
1 Reactions
4 Replies
387 Views
Join GreenLife Microfinance Ltd as a Loan Officer/Relationship Officer at our Dar es Salaam Branch (Summit Building, 3rd Floor, Mnazi Mmoja - Kariakoo). 💼 What You’ll Do: ✔️ Identify and assist...
3 Reactions
0 Replies
261 Views
Mtihani unafanyika kwa njia ya kidigitali, cha muhimu unatakiwa ufike kwenye kituo utakachopangiwa siku ya interview mapema kabla ya saa 1 asuhuhi maana huwa kuna heka heka za hapa na pale...
10 Reactions
31 Replies
5K Views
Naomba serikali itukumbuke na kutuzingatia. Ni mwalimu wa kujitolea nafundisha shule ya sekondari. Huu ni mwaka wa Tano naingia tangu nilipoanza kufundisha kwa kujitolea. Natembea kilometa 10...
3 Reactions
23 Replies
743 Views
Heri ya mwaka mpya, kwa majina Naitwa Christian naishi Dar es Salaam, Niko apa kuomba mwenye ajira ya dereva bolt iwe Mkataba au hesabu. Leseni yangu iko clean na pia nitakuja na barua ya...
0 Reactions
0 Replies
192 Views
Ndugu wa JF, Nina uhitaji wa kazi nina ujuzi wa IT, namba 0744968695
1 Reactions
3 Replies
297 Views
VACANCY: DIRECT SALES AGENTS SimbaNET (T) Ltd is part of, “The Wananchi Group” and one of East Africa’s leading Internet, Data & Communication Solutions Provider. We are looking for several...
0 Reactions
4 Replies
390 Views
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu...
28 Reactions
156 Replies
7K Views
Nahitaji mwalimu wa Economics kwa ajili ya kumfundisha kijana wangu. Umbali siyo tatizo, anaweza akamfundisha hata online kupitia whatsapp n.k Mwenye sifa awasiliane nami whatsapp kwa namba...
3 Reactions
19 Replies
377 Views
Nina Ordinary Diploma ya Information Technology nina Ujuzi sehem zifuatazo :- 1. Graphics Designing and Printing 2. Data Entry 3. Class D license ya Magari (Manual na Automatic transmission) 4...
3 Reactions
7 Replies
229 Views
Yupo Dada anahitaji nafasi ya kazi za ndani . Yupo Dar DSM Kuhusu yeye Ana age 18 Darasa la saba Anatoka Mtwara vijijini Dini yake Muslim. Uzoefu kazini ni miaka miwili amelea mtoto alikuwa...
3 Reactions
7 Replies
258 Views
Back
Top Bottom