Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wana jamnvi, nina mdogo wangu yupo Dodoma anahitaji kazi ya coster special hire, ana leseni umri wake 26. Naomba msaada ili apate kazi hiyo. Atakaye fanikisha nikapata hiyo naahidi kumpa zawadi...
1 Reactions
3 Replies
171 Views
Wale waajiriwa wapya wa bodi ya korosho Tanzania.. mkeka wenu huu hapa... Hongereni sana.
2 Reactions
4 Replies
349 Views
Ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 32 nina leseni halali iliyohakikiwa na jeshi la police yenye madaraja B, D, CI,C2 naomba mwenye connection anisaidie. Nina uzoefu wa kuendesha magari madogo na...
2 Reactions
2 Replies
182 Views
Serikali inapaswa kutafakari ni kwa namna gani wanaweka usawa kwenye hili. Wahitimu kutoka bara wanalalamika sana. Ajira zinazotangazwa bara wanasailiwa hadi wazanzibar, lakini ajira...
3 Reactions
127 Replies
5K Views
LinkedIn imekuwa jukwaa muhimu kwa wataalamu kuungana, kushiriki maarifa, na kutafuta fursa za kazi. Hata hivyo, jukwaa hili pia limekuwa uwanja wa kuonyesha mafanikio bandia, ambapo watu...
1 Reactions
6 Replies
501 Views
Ndugu zangu kwa manufaa ya wapambanaji wote . Mimi sio mmilisi wa lugha kwahiyo kwenye mapungufu tuvumiliane zaidi naamini ujumbe utaeleweka . Leo nimeamua kushare hili suala na watanzania wezangu...
3 Reactions
3 Replies
669 Views
Habari, Mimi ni binti wa miaka 23 naishi Dar es Salaam. Level yangu ya elimu nina degree ya Information systems Management. Npo hapa kuomba kazi yoyote kama vile barista cafe, kuuza duka, kuuza...
3 Reactions
17 Replies
746 Views
Wakuu habari natafuta nafasi ya kujitolea katika kampuni yoyote au biashara yoyote inayoqeza nipatia uzoefu wa kazi hata kama hawalipi natafuta uzoefu katika fani ya uhasibu. Nipo temeke dar es...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Mimi ni mchumi kutoka chuo Cha ushirika Moshi(MoCU) TITLE: MR PROFESSION: ECONOMIST EXPERIENCE: FRESH GRADUATE LOCATION: MBEZI-DAR ES SALAAM Naomba kazi yoyote halali ambaye daily naweza pata...
4 Reactions
4 Replies
300 Views
Mpharmasia, mwenye cheti kinahitajika Kwaajili ya biashara ya pharmacy. Pharmacy ipo dar es salaam Biashara ni mpya ndy inaanza Call or Whatsapp 0767091177
0 Reactions
0 Replies
103 Views
Habari wanajukwaa Mimi ni kijana wa miaka 26 Jina ni Innocent Nyakunga Makazi kwa sasa ni Shinyanga Mjini. Elimu nimesoma hadi kidato cha sita kisha nikaenda chuo na kuhitimu Shahada ya...
16 Reactions
31 Replies
948 Views
Poleni na majukumu ndagu zangu. Nime-aplly kazi katika taasisi ya taliri ambayo inajihusisha na utafiti wa rasilimali za mifugo na mamlaka ya viwanja vya ndege TAA kupitia sekretarieti ya ajira...
3 Reactions
7 Replies
807 Views
POST ASSISTANT CUSTOMER SERVICE OFFICER II – 10 POST EMPLOYER Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA) APPLICATION TIMELINE: 2024-11-29 2024-12-12 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES i...
2 Reactions
1 Replies
522 Views
Habari wakuu, Hivi salary scale PMGSS 11 ni kiasi gani?
2 Reactions
2 Replies
641 Views
WhyNot In Lounge and Kitchen ipo Goba Dar es salaam Tunatafuta staff ili kufanya kazi katika hii business mpya iliyopo Goba, Dar es Salaam. Tunatafuta watu wenye vipaji na uzoefu kwa nafasi...
1 Reactions
4 Replies
273 Views
Wapendwa naomba kuulizia mishahara wanayopewa watu wanaofundisha katika vyuo vya serikali vinavyootoa certificate na diploma, kiasi gani pamoja na motisha nyinginezo!?
0 Reactions
17 Replies
17K Views
Nahitaji watu wa kufanya manual work kama kulilma, usafi etc mwanza mkolani. Piga simu namba 0766 524 042.
3 Reactions
6 Replies
432 Views
Affluence Express Ltd ni Kampuni inayotoa huduma za kusafirisha vifurushi na mizigo Tanzania, ipo Ghorofa namba 20 jengo la PSSSF Millennium Tower II Kijitonyama - Dar Es Salaam. Tuna karibisha...
1 Reactions
1 Replies
241 Views
Mlofanikiwa mje mtuambie mmetumia mbinu gani maana nateseka sana
1 Reactions
15 Replies
900 Views
Wale, jamaa ambao mlikuwa mnatafuta shamba boy . Amepatikana tayari yupo anasubiria simu ili aende sehemu husika. Ana umri 28 Hana familia Elimu darasa la saba Uzoefu wa kulima , kuangalia...
2 Reactions
27 Replies
694 Views
Back
Top Bottom