Kumekuwa na tatizo la wakurugenzi na wakuu wa idara Mkoa wa Morogoro hasa Manispaa ya Morogoro kuwazungusha Watumishi hela zao za nauli wakati wa kwenda likizo.
Hili ni tatizo limekuwa...
Naitwa Yusuph , umri miaka 20 natafuta Ajira au kazi yoyote ile ya halali.
Elimu yangu kidato cha nne.
Aina ya kazi , naweza kufanya Kazi mbali mbali , zakutumia akili pamoja na nguvu...
Habarini wakuu naomba kuelekezwa sehemu ilipo office inayoshughulika na maswala ya mfumo wa ajiraportal Kwa hapa Dar es salaam maana nilijaribu kuwapigia simu ila sikupata utatuzi nahitaji kwenda...
Ni muda mrefu sasa tangu serikali itoe tangazo kwa watumishi wanaotaka kuhama kufata wenza wao lakini mpaka sasa kimya.
Labda kama kuna mwenye majibu kuhusiana na hili naomba atoe ufafanuzi...
Utapewa pakulala.
Kazi ni masaa 12.
Mshahara 600k.
Chakula ya asubuhi mchana na jioni utapewa na kampuni.
Utafanya kazi zingine zitakazo husiana na mechanical.
Habari wanaJF
Mimi ni kijana umri miaka 21, elimu kidato cha sita na nimefanikiwa kusoma chuo kikuu mpaka mwaka wa pili na nimeacha mwaka huu kutokana na changamoto za maisha.
Nimekuja kwenu...
Habari ya Uzima wanaJF!
Nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kibarua chochote Cha halali.
✅Nna shahada kwenye real estate management (hiki kisiwe kigezo Cha Mimi kupewa kazi)
✅Najua vema kutumia...
Habari wadau
Mimi ni mtaalamu wa maabara ngazi ya Diploma na nina uzoefu wa kutosha katika fani hii.
Naomba kazi ya muda mfupi(part time) kipindi hiki cha sikukuu kwa mwenye uhitaji au unayetaka...
Wakazi wa Iringa mjini kwa yoyote mwenye nafasi au anajua sehemu ambayo naweza kupata nafasi ya shughuli yoyote hapa Iringa mjini kama kubeba/kupanga mizigo godown/store, kibarua shambani kwa...
Habari za jion wa wakuu,
Leo nimejaribu kuangalia mwenendo wa malipo yangu kwenye account yangu ya NSSF imekuta claim status imeandika pending hii inamaana gani?
Na ni takribani wiki ya nne...
Naomba kuuliza Mishahara katika NGO Hizi ICAP Ni shingapi? Nafasi ya ART NURSE
Naomba kuuliza kwenu
Licha ya kusikia Kuna changamoto ya kulipwa pesa ningependa kujua wanalipaje? Na wanamishahara...
Habari wanaJamiiForums,
Nisizunguke sana. Ni kama tanagzo linavyojieleza. Wanahitajika vijana wawili ambao wana uwezo mzuri sana wa kuchambua habari za burudani (Gossip), matukio nk. Ambae...
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of Tanzania Ports Authority (TPA), Public Service Recruitment Secretariat invites dynamic and suitably qualified Tanzanians to fill 333 vacant posts...
Habari wadau wa JF,
Hivi mtu mwenye masters lakini hana undergraduate degree ya hiyo course aliyopitia post graduate diploma anatambulika kwenye ajira sekta binafsi au serikalini?
Habari, mimi ni kijana mzoefu katika biashara ya tax mtandaoni na nina account active natafuta boss mwenye gari tufanye biashara asante.
Mawasiliano yang:
0713458555
Mdullanicholous@yahoo.com
Ndugu zangu naomba tutumie ukrasa huu kujadi tunazo kutananazo kwenye mfumo wa maombi mpaka hivi leo tarehe 21/4/2022 nimefanikiwa kufungua akaunti mbili tu kwa mbinde sana nilicho kigundua ni...
Moja kwa moja kwenye uzi ,,
Ni zaidi ya siku tano sasa zimepita toka utumishi wasitishe sahili zote za walimu.
Lakini utumishi wameyafanya haya bila ya kutoa sababu zozote zile kwa walimu ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.