Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mimi nikijana Nina umri wa miaka 25, nimhitimu katika chuo cha Bandari college mwaka 2022 katika fani ya Freight Clearing Forwarding and Port Management. Nina uwezo na uzoefu wa kufanya kazi hizi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu Mimi shida yangu kubwa umu ndani NI kutaka kujua vyeo vyao kijeshi vya watunzaji misitu au Tanzania forest service vipoje kuanzia vyeo vyao Askari mbaka maofisa maana nimeona...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu poleni kwa majukumu! Ndugu zangu naombeni msaada wenu mwenye connection ya kazi naomba aniunganishe,hakika nimechoka kujitolea now ni mwaka 3 najitolea bila ajira.nina experience ya...
6 Reactions
10 Replies
358 Views
Naombeni ushauri wa namna nzuri ya kuandika CV ya kuomba kazi kwenye hayo mashirika tajwa hapo juu hasa hasa UN. Namna ya kuapply mara nyingi wanakuambia utume CV yako kwenye email. Sasa kimbembe...
4 Reactions
86 Replies
28K Views
Habari naitwa Hassan Msham, Mkazi wa Gomz Dar es salaam, Elimu kidato Cha nne, NILIKUA naomba MSAADA Kwa yeyote mwenye bajaj au anaefamiana na mwenye bajaj na anataka dereva, nipo hapa kijana...
2 Reactions
2 Replies
177 Views
Habari za asubuhi Kama kichwa kinavyojieleza nahitaji mfanyakazi HR awe mwanamke na anaishi mkoa wa Lindi. Elimu ni certificate au diploma Mshahara 400,000 Naomba kusisitiza awe mwanamke na...
4 Reactions
15 Replies
592 Views
Majeshi ya ulinzi na usalama hutangaza nafasi za kazi kama taasisi nyingine. Mathalani Jeshi la polisi, JWTZ, Kikosi cha zimamoto, Uhamiaji, etc wamekua na kawaida ya kutangaza nafasi za mafunzo...
6 Reactions
76 Replies
11K Views
Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira...
3 Reactions
8 Replies
998 Views
Tunahitaji MAFUNDI wa Kushona CHEREHANI 1. Sifa za Kitaaluma Uzoefu wa angalau miaka mitatu katika kazi ya kushona cherehani. Uwezo wa kushona na kukata vitambaa kwa usahihi na uangalifu...
1 Reactions
5 Replies
379 Views
Habari, Natafuta Kazi ya Stationery. Nina cheti cha Computer na nina uzoefu wa Kazi ya stationary and internet cafe kwa muda wa miaka 6. Mkoa;- Dodoma, Dar es salaam na Iringa. Mkoa ninao ishi...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Wakuu nimepoteza barua ya ajira na inahitajika kwenye madai ya malimbikizo ya mshahara! Nishauri kama unajua kitu Wakuu msaada tafadhari.
0 Reactions
16 Replies
605 Views
Happy mary Christmas to all Jobless teacher's waiting to be called for interview soon.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Uzi maalum wa Wakemia wasionaajira, wanaotafuta kazi na waajira hata wanafunzi wakemia karibuni tupeane connection.
0 Reactions
4 Replies
345 Views
Kiukweli nimepambana lakini naona pekee yangu siwezi naombeni msaada watanzania wenzangu. Elimu yangu ni kidato cha nne ninae jitambua na mpambanaji kweli. Licha ya hapo nina elimu ya heavy...
26 Reactions
79 Replies
2K Views
Samahani ndugu zangu wapendwa, nisaidieni jinsi ya kuondoa taarifa zilizo jazwa kimakosa kwenye ajira portal pale kwenye academic qualifications
0 Reactions
3 Replies
496 Views
FURSA YA KAZI (UWE ACTIVE NA YOUTUBE) Anahitajika kijana wa kike au wa kiume kwa kazi ya utangazaji habari za burudani (ajue udaku) online. VIGEZO NA MASHARTI. 1. Umri kuanzia miaka 20 mpaka 30...
1 Reactions
2 Replies
213 Views
Deadline of Application 30 Desember, 2024, Work Location :Ruvuma,
1 Reactions
0 Replies
219 Views
Habari JamiiForums, Nina maswali mawili kidogo. 1. Nahitaji kukuuliza swali kidogo, hivi mtu akiajiriwa na Serikali anatakiwa kukaa miaka mingapi kazini ndo akasome tena mfano ana diploma...
1 Reactions
2 Replies
279 Views
Za saizi wakuu! Nafanya kazi private sector.kuna sehemu nafanya kazi nalipwa 1.2m hapa Dar,lakini katika harakati za hapa na pale nikafanya interview sehemu nikapata mshahara ni 1m. Sasa...
2 Reactions
9 Replies
389 Views
Habari wana JF Naitwa Aisha natafuta kazi kwenye mashirika yanayosaidia watu au EGOs nina shahada ya sheria msaada tafadhali
2 Reactions
1 Replies
217 Views
Back
Top Bottom