Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kote ni mjini, Kote nitapanga, Nina usafiri binafsi. Watu wanasema Dar es Salaam maisha ni gharama sana bora niende ya Mwanza. Mdau unashaurije ?
7 Reactions
42 Replies
1K Views
Position: HSE Officer Reports To: H3SE Manager Employment Duration: September 2023 to May 2025 Job Type: Full Time Location: Tanga Port Purpose and scope of assignment The main objective of HSE...
1 Reactions
3 Replies
541 Views
Habari za asubuhi wapendwa. Kijana mpambanaji miaka 28 nimekuja Dodoma kupambana ila hali imekuwa tete nimeshindwa kiukweli naomba kama kuna mwenye ramani ya kazi au kibarua dodoma naomba...
0 Reactions
3 Replies
288 Views
Kwa: Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, S.L.P 2483, Dodoma. YAH: OMBI LA KIBALI KWA WAHITIMU WA KOZI YA DIPLOMA IN PIPE WORKS OIL AND GAS ENGINEERING...
1 Reactions
5 Replies
520 Views
Habari za usiku huu wanabodi wenzangu na pole pia kwa mihangaiko ya shughuli zenu za kila siku Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo juu kuwa nilikuwa nawaomba members wenzangu wa hili jukwaa...
1 Reactions
11 Replies
545 Views
Nafanya kazi kituo Cha serikali Kilwa nipo tayari kwenda sehemu yoyote ambayo Ina baridi Kali Mkoa wowote wenye baridi Iwe mjini iwee kijijini sijali naangalia kuwe na baridi tu.
6 Reactions
13 Replies
580 Views
Wakuu habarini za wakati huu kama kichwa cha habari kinavojieleza nahitaji wahudumu wakike watano,Kaunta wawili na mtu wa jikoni mmoja.Mshahara mhudumu ni laki moja,Kaunta ni laki na nusu na...
3 Reactions
20 Replies
854 Views
GardaWorld is a leading company in the region in provision of security solutions, facilities management, and training services across East and Central Africa. HEALTH & SAFETY MANAGER KAHAMA To...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Position: Safety Health & Environment Manager Reports to: the Risk & Security Executive Officer Core Job Description: To oversee the organization’s comprehensive safety and environmental...
0 Reactions
3 Replies
574 Views
TANGAZO #EPMCOMPANY Tunatoa huduma za research za aina zote kwa sasa! Tupo Mwanza, Mtaa wa Selemani, na pia tunatoa huduma online kwa urahisi wako. Mawasiliano: WhatsApp: 0768615672 Simu...
0 Reactions
1 Replies
103 Views
Habari, Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa...
3 Reactions
15 Replies
736 Views
Habarini za mchana ndugu zangu mi ni kijana wa miaka 24. Na nilikuwa nina malengo makubwa sana kimaisha ila ndoto zangu zilikuja kufifia baada ya baba yangu mzazi ambae ndio alikuwa kila kitu...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Walimu wa Biashara
1 Reactions
10 Replies
703 Views
Nimepoteza namba ya simu ambayo ilitumika kujisajil katika mfumo wa nacte (AVN) na kwa sasa nashindwa kupata password ya kuweza ku log in katika account yang na nna uhitaj sana wa kupata AVN...
1 Reactions
2 Replies
227 Views
Natafuta kazi ya kufundisha Mathematics na ICT,dar es salaam Shukran 0621594478 napatikana kiwalani.
0 Reactions
11 Replies
474 Views
Walimu Foeni mabegi yenu kwani Mda wowote mtaitwa (ku) zini. 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
7 Reactions
70 Replies
4K Views
Company Summary: Simera Transport Ltd is a Tanzanian company under private ownership, was founded in 2012 and has since evolved into the preferred choice for road freight transport and logistics...
1 Reactions
1 Replies
291 Views
Interview za Tutorial Assistant kada ya Computer Science. Kwa anayejua au kumbuka maswali yanayoulizwa (written/oral) naomba aweke nondo humu, tafadhali.
1 Reactions
3 Replies
571 Views
Habari wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 24 mkazi wa apa dar es salaam naitaji kufanya KAZI ya uvuvi naomba mwenye connection anisaidie.
2 Reactions
20 Replies
681 Views
Back
Top Bottom