Wasalaam. Nina mdogo wangu hapa, ni mwajiriwa wa Serikali mwalimu sekondari kazi aliyoifanya karibia miaka 6 na juzi kapanda hadi daraja.
Aliomba kazi UKaid na wamemwita kwenye interview mshahara...
Habarii......natumai kila mtu ni mzima na anaendelea na upambanaji ili kujipatia mkate wa kila siku.
Naombeni msaada wenu kujua kuwa tangazo hili[emoji116][emoji116] la ajira la TRA ni la kweli...
Habari. najitokeza kwenu kijana wenu kuomba connection ya kazi. Mimi ni mkazi wa kibaha ni Muhitimu wa Bachelor degree of adult education and Community Development chuo kikuu dodoma. Nina uzoefu...
Habari mkuu! Za hukoo;
Mimi nikijana wa miaka 23, naishi Dar es salaam, elimu yangu ni form six nilikuwa naomba msaada wa kazi kwako, nikusaidie katika kazi zako.
Mungu akubariki
Wakuu habari za asubuhi,
Naomba kujua kwenye ufahamu na hii kampuni esra company ltd nimejaribu kuifuatilia sielewi ofisi zao ziko wapi kwa hapa Dar mana walinitumia Email kuhusu kazi...
Job Summary
Job Purpose: Support operations by ensuring proper usage, regular maintenance and repairs of assigned vehicles for high performance and to undertake driving assignments within and...
Habari za muda huu Ladies & Gents nakuja Moja Kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu....
Nilikuwa nauliza hawa madereva wa hizi gari za Azam zinazojulikana kama SARAFU mishahara yao inaweza fika...
Habari wanajamvi naomba mnisaidie kujua vigezo gani vinaangaliwa ili kupata tenda ya usafi mgodini Mimi n mjasiriamali mdogo lengo langu ni kupata takataka za chuma km drill bit nk yan skrepa...
Napenda kutoa salamu kwa wote jamani ni wote ni wazima poleni kwa majukumu mimi ni kijana wakiume mwenye umri wa miaka 21 elimu kidato cha nne natafuta kazi yeyote ile iwe ya kiwandani, ofisini...
Wakuu nimerudi kwenu tena, nipo dar es salaam natafuta nafasi ya kazi. Kazi yoyote inayo husu computers naweza fanya!. Data entry, Microsoft Office works, computer software repair and maintenance...
Unitrans Tanzania Limited has the following exciting opportunity at Kilombero and Kilosa Districts, Morogoro Region where is subcontracted for various agricultural operations to the sugar...
Waziri Ummy Mwalimu alihaidi kuwa kufikia mwezi December watakasema ameajiri walimu elfu 10.
Hiyo ilikuwa mwezi wa 8, mwezi wa9 majaliwa akasema kibari Cha ajira kimetoka,lakini mpaka Leo mwaka...
Looking For:
Unpaid Internship in IT fields, specifically Networking, Database Management, Web Development.
Name: AvailableIntern
Sex: Female
Age: 26yrs
Address: Kigamboni, Dar es Salaam...
Niko maeneo ya Pugu
Nina kazi kidogo ya kupaka rangi chumba kimoja. Nahitaji fundi wa kufanya kazi hiyo na awe anatoka maeneo ya jirani na Pugu.
Karibuni sana.
Sent from my TECNO CC6 using...
Mimi kijana mwenye miaka 29 natafuta kazi yeyote kuhusu elimu mi degree holder, lakini njaa haijui Mambo ya degree.
Nahitaji kazi yeyote iwe halali au haramu. Naweza fanya sales and marketing...
Hello naitwa Kelvin nipo mbeya kwetu kwasasa(from kahama). Nimekuja mbele yenu tena ndugu zangu natafuta kazi/kibarua. Nna elimu ya ualimu wa sekondari.
Pia nna ujuzi wa kutumia computer (Ms...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.