Habari wana JF katika jukwaa letu hili pendwa,
Nina shahada ya sayansi katika kemia UDOM.
Sijabahatika kupata kazi serikalini kama mnavojua ugumu ulivo lakini nimefanya kazi katika kitengo cha...
Habari Wana JamiiForums Mimi ni mkazi wa Dar es salaam ila kwa Sasa naishi Tunduma.
Natafuta KAZI YOYOTE katika taasisi binafsi mfano shule,kampuni ya mabasi,clearing & forwarding company na hata...
Stationery ipo Mwanza, Wilaya ya Nyamagana maeneo ya chuo cha SAUT
1. Awe na uwezo mzuri wa kutumia vifaa vya stationery kama vile computer, printer, photocopiers, pamoja na vifaa vingine...
Habarini wakuu mimi ni muhitimu wa BSc. Biotechnology and laboratory science mwaka huu kutoka Sokoine University of Agriculture (SUA).
Natafuta kazi ata nje ya taaluma yangu
Kwa mwenye...
Wakubwa zangu i hope mko fine,
Nilikua naomba ushauri wenu mimi ni kijana nilie maliza chuo mwaka huu.
Nimepata option mbili za kazi:
1. Kujitolea serikalini
2. Kuuza duka ambapo mshahara wake...
Job type: Full-time
Company: Dangote Cement
Location: Mtwara
Description
Responsible for coordinating and managing the activities of Fleet Managers and their teams.
Ensure compliance with...
Job type: Full-time
Position: Marketing Officer
Company: Simusolar
Role Overview
As a Marketing Officer, you'll play a key role in designing and implementing marketing strategies for...
Habari wanajamii, naombeni connection za upatikanaji wa ajira za data clerk, data collection na zingine zinaxohusiana na maswala ya data. Ninauzoefu wa matumizi ya komputer na elimu ya diploma ya...
Habari
Mimi ni Mhitimu wa chuo ngazi ya shahada (Uchumi) naomba mwenye kujua taasisi zinazohitaji mchumi, au connection ya kazi zinazoendana.
Nipo tayari kufanya kazi taasisi yoyote , naweza...
Ndugu zangu habari na heshima kwenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, mkazi wa Dar es Salaam, kwa sasa najishughulisha na kazi ya ufreelancer katika kampuni moja malipo ni kwa commission...
Habari wadau. Nina ofisi inayoshughulika na uuzaji mabegi ya nguo pamoja na mgongoni jijini Mwanza. Naitaji kijana wakusaidiana nae majukukumu ya dukani
Sifa; 1) awe anajua kusoma, kuandika na...
Habari wana JF
July 2021 nilikuja humu kwa wana JF nikiwa natafuta kazi Click here for the reference. Nataka kushare na nyie wadau mambo niliyojifunza katika utafutaji wangu wa ajira, pengine...
Anahitajika kijana anayeweza kufanya kazi za pedicure na manicure, Ni biashara ambayo ndiyo kwanza tunaanza, vifaa vyote vipo, kila tunapofunga hesabu jioni, tutagawana ikiwezekana 50/50, Eneo ni...
Naitwa Christian naishi Kurasini, uhasibu natafuta gari ya kufanya bolt, Nina account na tayar kuanza kazi mda wowote
0698568933 kwa yeyote mweny uhitaji wa derava bolt ahsateni
Msaada jamani. Sasa hivi kila kitu ni kupitia Esss.
Mimi niliomba uhamisho. Na maombi yapo utumishi yanasubiri approl. Je huwa yanachukua muda gani?
Mimi Mwl muuza Kangala
Ndugu zangu natafuta kazi ya kupiga msasa/finishing mbao na mdf bord....
Ni mzaliwa wa Tanga ila kwa sasa nipo Dodoma.
Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote. kikubwa maelewano
Habari zenu wakuu! Hope mnaendelea poa na majukumu.
Niende moja kwa moja kwenye lengo husika.,,, Katika harakati za kuomba mkopo via Ess napata changamoto, yaan mfumo unaniandikia phone no...
Habari za muda huu ndugu zangu naomba kufahamishwa kama kuna mtu alishawahi kufanya interview za electrical technician utumishi tusaidiane namna ya maswali yanavyokuja katika interview zote tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.