Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wakuu naomba kufahamu kama mchakato wa kuita Vijana walioomba kuandikishwa jeshini tangazo la ajira mwezi wa saba mwishoni je tayari wamemaliza?
0 Reactions
5 Replies
317 Views
Habari, naomba kujua cha kufanya Baada ya kushinda rufaa tume ya utumishi na kuamuru kurudishwa kazini. natakiwa kwenda ku report kazini au mpaka mwajiri anipe barua ya kurudi kazini.]
0 Reactions
1 Replies
409 Views
Anahitajika dereva daraja la D au C uzoefu miaka 3 na kuendelea kuendesha gari la kampuni na hoteli Jijini Mwanza Kirumba. mshahara mazuri na maslahi yatatolewa. piga 0739290084 au 0655290084.
2 Reactions
5 Replies
338 Views
Position: Trainee Dealer (15) We are seeking enthusiastic individuals with a keen interest in games and a drive to deliver exceptional service to our valued guests. As a Trainee Dealer, you...
1 Reactions
3 Replies
414 Views
Habari WanaJF Naomba anayejua mishahara ya hizo taasisi za TCRA na BOT anijuze maana nimesikia ndio Taasisi zinazoongoza kwa mishahara.
2 Reactions
51 Replies
13K Views
WanaJF nisaidie sheria za kazi zinasemaje kuhusu mtumishi wa umma anayeenda kusomea kada tofauti na ile aliyoajiriwa nayo? Mf. niliajiliwa kama mwalimu nina miaka 8 kazini na nimejiendeleza...
2 Reactions
61 Replies
48K Views
Habari wakuu? Baada ya serikali kunyakua madaktari na kuwapa ajira, sasa baadhi ya hospitali kuna nafasi zimeachwa wazi, hospitali ya rufaa inatafuta madktari daraja la II. Kama una ndugu yako...
0 Reactions
3 Replies
371 Views
Jf habari za humu Uzi wangu huu hauna mambo mengi, mimi n kijana wa kiume umri miaka 25 kwa sasa sina kazi yeyote na ninatamani sana kuhama mkoa niliopo. Ombi langu kwenu najua humu kuna watu...
0 Reactions
5 Replies
316 Views
Job Summary Financial strategy and Planning – Contribute strongly to the formulation of SCB Tanzania strategic and medium-term financial plans and their implementation. Ensure accurate and...
1 Reactions
2 Replies
237 Views
Hivi kwa mfano mtu akikuuliza mashahara mzuri kwako ni Tsh ngapi au unaanzia Tsh ngapi? Kwangu nikipata kuanzia net ya Tsh. 2,000,000/= nitajiita moja ya wenye mishahara mizuri Tanzania, wewe je?
14 Reactions
201 Replies
32K Views
Suala la uhamisho kwa watumishi wa umma limekua kero kubwa hasa baada ya ujio wa mfumo wa ess,ambapo sasa maombi yote ya uhamisho hufanyika katika mfumo huu. Tangu kuanza kwake hadi sasa kumekua...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mimi ni kijana miaka 25, Natafuta kazi yoyote iwe ya halalli. Namba yangu 0757 692 993
6 Reactions
16 Replies
458 Views
Natamani kujiunga na jeshi la Tanzanzania, Je ni vigezo gani natakiwa niwe navyo ama ni mbinu gani naweza kufanya ili nijiunge na jeshi la Tanzania. Natamani sana kuwa Mwanajeshi nitetee nchi...
1 Reactions
2 Replies
206 Views
HIRING COMPANY: DELEX LOGISTICS LIMITED JOB OPPORTUNITY: SALES & MARKETING EXECUTIVE Job Description A Fantastic Opportunity for ... Develop new clients and retain existing clients. Prompt...
2 Reactions
0 Replies
200 Views
Wakuu kwani majibu ya waliotuma maombi ya kazi ya kuandikisha watu katika daftari la kudumu la wapiga kura,mkoa wa Dar es salaam yanatoka lini? Au ndo tayari yametoka?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Iinachukua muda gani kuitwa interview TAESA baada ya kufanya registration. Shukrani
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Poleni na Majukumu wana JF Nilikuwa naomba kujua kutoka kwenu, kuna mdogo wangu amepata kazi kwenye kitengo cha “STOCK AUDIT & MANAGEMENT “ hivyo hajawahi kufanya hii kitu so nilikuwa naomba...
1 Reactions
14 Replies
375 Views
Position: Consultant for Content Development of an E-learning Course Location: Tanzania (Dar es Salaam) Duration: 1st December 2024 – 28th February 2025 Application Deadline: 18th November 2024...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
https://ajiratimes.com/tag/tpfcs-3000-vacancies-november-2024/ Kuna hizo ajira nilionaga ila nika zi ignore..Leo nimejaribu kufuatilia nikasema inaweza kuwa kweli ni ajira Wajuzi wa kujua...
1 Reactions
2 Replies
347 Views
TRADESAFE LIMITED LOCATION: DAR ES SALAAM, TANZANIA POSITION: SENIOR BUSINESS AND MARKET INTELLIGENCE OFFICER CONTRACT TYPE: FULL-TIME / PROJECT BASED --- ROLE OVERVIEW TradeSafe Limited is...
1 Reactions
1 Replies
246 Views
Back
Top Bottom